Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

MugongoMugongo,
SOMA maelezo ya mpiga picha!

Jokakuu,
Hapana mimi sijafikia kabisa mahala pa kuisimamia Chadema. Nilitoa tangazo la kujiunga hadi hivi navyozungumza nipo ktk kusubiri kuwa mwanachama mpya. Niliwahi jiandikisha uanachama wa CCM mwaka 1972 na sikuwahi kufuatilia chochote...kwa hiyo siwezi kudai Uanachama wa CCM hata kidogo.
Hata huko Chadema sintakubali kuburuzwa kama mwanachama!.. nimechagua Chadema kwa sababu kubwa iliyotokana na nyie wachangiaji wa hiki kijiwe. Sipendi siasa na wala siziwezi ila naweza kuchangia mawazo yanayohusu jamii. Na ktk maswala haya nakubaliana kwa kiwango kikubwa na mrengo wa Chadema lakini haina maana hakuna akina Nchimbi huko niendako. Wanaweza kuwepo na nipo tayari kupambana nao kwani maji haya ndo nimesha yavulia nguo.
Wala hutaniona hata siku moja nikichukua dhamana ya mtu ambaye simfahamu ati kwa sababu yeye ni Chadema.
 
MugongoMugongo,
SOMA maelezo ya mpiga picha!

Jokakuu,
Hapana mimi sijafikia kabisa mahala pa kuisimamia Chadema. Nilitoa tangazo la kujiunga hadi hivi navyozungumza nipo ktk kusubiri kuwa mwanachama mpya. Niliwahi jiandikisha uanachama wa CCM mwaka 1972 na sikuwahi kufuatilia chochote...kwa hiyo siwezi kudai Uanachama wa CCM hata kidogo.
Hata huko Chadema sintakubali kuburuzwa kama mwanachama!.. nimechagua Chadema kwa sababu kubwa iliyotokana na nyie wachangiaji wa hiki kijiwe. Sipendi siasa na wala siziwezi ila naweza kuchangia mawazo yanayohusu jamii. Na ktk maswala haya nakubaliana kwa kiwango kikubwa na mrengo wa Chadema lakini haina maana hakuna akina Nchimbi huko niendako. Wanaweza kuwepo na nipo tayari kupambana nao kwani maji haya ndo nimesha yavulia nguo.
Wala hutaniona hata siku moja nikichukua dhamana ya mtu ambaye simfahamu ati kwa sababu yeye ni Chadema.


Nimeyasoma, yanasema "kikwete akiweka saini Kitabu cha maombolezo Nyumbani Kwa Wazazi wa Marehemu Amina Chifupa jana jioni. Rais alikwenda nyumbani hapo kifariji familia ya marehemu"

Picha ilitoka kwenye magazeti mengi hapa June 28. What is your point? Picha na maneno yana-prove nini?
 
Written by Maxence M. Melo Tuesday, 26 June 2007
dsc026333el4.jpg
Rais Jakaya Mrisho kikwete akiweka saini Kitabu cha maombolezo Nyumbani Kwa Wazazi wa Marehemu Amina Chifupa jana jioni. Rais alikwenda nyumbani hapo kifariji familia ya marehemu.

Ahaaa! I am sorry kaka...kumbe yale maandishi pale juu ya picha kwamba: "written by Mexence M. Melo, Tuesday 26 June 2007", ndio ushahidi wako kwamba JK alikuwa Dar on 26 June 2007!
 
Nafurahi sasa kwamba umekubali ukweli kwamba (i) Rais hakwenda kumuona Amina Lugalo siku aliyofariki, na (ii) Rais alikwenda kuhani baada ya sherehe ya BBC. I was surprised kwasababu you can find all this in google.

Ok, now that is out of the way, we can move to those majambazi wa CCM who killed Amina. What you got?

Na namba (iii) Mkandara ni MUONGO!
 
Duh! Mugongo taratibu basi....

Ila uongo mbaya taratibu naanza kukuheshimu bro...
 
The story written June 26. The president signs book-when? June 27 or 28? Is that so?

Therefore, MWONGO ni nani?

Credibility is everything, and I am beginning to appreciate Mugongox2's efforts, when those efforts are not driven purely by political partisanship.
 
written by Maxence M Melo; Tuesday 26th June, 2007 kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo alipokwenda jana jioni (yaani jumatatu 25th June, 2007)!???? KASHESHE!!! ...maana alikwenda kuomboleza kabla ya msiba!
 
Kalamu,
Hapana una miss the point. Kuna story aliyoiandika 26 ambayo sikuiweka hapa...nimechukua picha tu ya tarehe 28, ukitazama vizuri kuna pia vipande vya maelezo ambayo sikuyaondoa vizuri.

Habari inasema kuwa JK alikwenda pale JIONI hiyo ya tarehe 27 wakati ktk shehere za BBC alikaa muda hadi usiku! hata kwa Michuzi nakumbuka aliweka baadhi ya picha za sherehe hiyo hiyo.
 
written by Maxence M Melo; Tuesday 26th June, 2007 kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo alipokwenda jana jioni (yaani jumatatu 25th June, 2007)!???? KASHESHE!!! ...maana alikwenda kuomboleza kabla ya msiba!

Si ndo hapo! Halafu huyu bwana ndo anatuletea hiyo picha na anasisitiza tusome "maelezo" kama "ushahidi"!

Tusingefika kote huku kama tungekuwa waungwana tu na kukubali pale tunapoambiwa hatukunena ukweli kwenye jambo kubwa kama hili. Heshima ya forum mbele.
 
Kalamu,
Hapana una miss the point. Kuna story aliyoiandika 26 ambayo sikuiweka hapa...nimechukua picha tu ya tarehe 28, ukitazama vizuri kuna pia vipande vya maelezo ambayo sikuyaondoa vizuri.

Habari inasema kuwa JK alikwenda pale JIONI hiyo ya tarehe 27 wakati ktk shehere za BBC alikaa muda hadi usiku!

Sorry Mkandara tulikuelewa vibaya kuhusu tarehe ya kwenye caption. Kumbe you didn't mean the tarehe to be the evidence, but the neno "jioni". Kwa taarifa: nilikuwa nasikiliza BBC Live siku hiyo kwenye gari, nikasikiliza speeches zote za wale vijana waliokuwa wanashindania zawadi. Akaja JK akatoa zawadi na kuanza kutoa hotuba. Nikiwa kwenye mataa Morocco naenda Milleniumm Towers (Kijitonyama), kwenye saa moja na nusu jioni hivi, BBC ikakatiza hotuba ya JK na wakajiunga na Mombasa kuendelea na sherehe kwa kule. Baada ya nusu saa hivi, nikiwa napata kilaji changu Towers, naona msafara huooo unaenda Mikocheni kwa Mzee Chifupa.

Kwahiyo sijui unataka kusemaje? Manake shuguli ya BBC ilianza kabla giza halijaingia...hapo kwenye picha ni usiku tayari. Kaka uwe unatusikiliza na sisi tunaokaa hapa Dar, mambo mengine tunayaona wenyewe...hatuhitaji "sources".
 
Kwa hiyo msafara uliokutana nao ni wa kutoka Airport ama BBC?... maanake navyojua mimi na nilivyoambiwa mimi JK kaenda kwa marehemu akiwa njiani kwenda kwenye tafrija ya BBC na alikaa huko hadi usiku.
Kuona kwako na kilaji inawezekana ulikuwa kidogo shibe kubwa kuweka na msiba ule!... kwanza traffic yenyewe siku hiyo sijui wewe uliweza vipi kupenya na hata kupata nguvu ya kula hotelini mitaa hiyo hiyo.
Hata hivyo, sidhani kama unatusaidia kitu maadam umeamua swala hili kuwa ndio mada yenyewe. hadhi ya JF au sio??
 
Kwa hiyo msafara uliokutana nao ni wa kutoka Airport ama BBC?... maanake navyojua mimi na nilivyoambiwa mimi JK kaenda kwa marehemu akiwa njiani kwenda kwenye tafrija ya BBC na alikaa huko hadi usiku.
Kuona kwako na kilaji inawezekana ulikuwa kidogo shibe kubwa kuweka na msiba ule!... kwanza traffic yenyewe siku hiyo sijui wewe uliweza vipi kupenya na hata kupata nguvu ya kula hotelini mitaa hiyo hiyo.
Hata hivyo, sidhani kama unatusaidia kitu maadam umeamua swala hili kuwa ndio mada yenyewe. hadhi ya JF au sio??

Ha ha ha! Key sentence hapo kwenye posting yako ni "nilivyoambiwa mimi". Naomba nikuhakikishie kwamba umedanganywa. Shughuli ya BBC ilikuwa Kempinski. Msiba uko Mikocheni. Aliyekwambia "JK kaenda kwa marehemu akiwa njiani kwenda kwenye tafrija ya BBC" kakuongopea...manake Kempenski na Ikulu ni kutupa jiwe...na Mikocheni haiwezi kuwa "njiani" baina ya Ikulu na Kempenski. Granted, anaweza kuwa kweli akatoka Ikulu akaenda Mikocheni, then Kempinski. Kama ingekuwa hivyo, picha yako isingekuwa na giza...manake shughuli ya BBC ilianza 6:30pm.

Kuhusu traffic mkubwa...nani kakwambia mtu hawezi Millenium Tower. Swali lako lingekuwa na maana kama ungeuliza town centre niliondoka time gani. Mkubwa unaishi Dar, if I may ask?
 
Na picha za BBC zaonyesha mchana au sio..na JK ndiye alifungua hizo sherehe!

Sasa wewe umesema mchana alikuwa huko Serengeti sijui akifungua kituo gani cha umeme, mara yuko Dar umepishana na msafara wake. Wewe tena umekuwepo wakati msafara ukienda kwa marehemu!... mkali sana kwa data mjomba nakuheshimu itabidi nianze kupitia kwako kila mara, maanake source ni wewe mwenyewe hudanganywi na mtu.
Poa vile vile! mshindi wewe!
 
Back
Top Bottom