Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

Naomba kuuliza tu, hivi kuna mtu alimuona Amina akienda Iringa na baba yake kurudisha fomu za NEC kama ilivyoripotiwa?
 
I am happy unasoma michango yangu.

Look, habari ya Tanzania Daima kupunguza print order, nobody challenged asked me to bring "the evidence"...a couple of people only challenged whether a drop from 20,000 to 10,000 copies represents a 100% or 50% drop - and I conceded that Bush is smarter than me! Watu wa TD wamo humu, na ni wanachama wa JF, they should have brought up a different figure. Now you blame me because people didn't dispute my figures? Give me a break!

Ya Ngurumo kumuandikia Mbowe papers na makala, hiyo habari alileta mtu mmoja anaitwa Chinga...and it made sense to me knowing Mbowe's level of intellect. So, what did you expect Ngurumo to say? Kwamba ni kweli anamuandikia? Geez!

I find ridiculous hii idea kwamba tusi-challenge falsehood hapa JF kisa you may have unknowingly presented false information in the past.

And I find disturbing the comfort kwamba watu wanadanganya hapa JF na bado Forum ni credible. Well, up to a point.


Hii hapa chini ndiyo post ambayo ulimsahihisha Chinga kwamba sio Balile anayemsaidia Mbowe, bali ni Ngurumo. You seem to be an A-type personality.....ila mimi bado hujanisadikisha kwa lolote.

Mzee Mwanakijiji

I quite don't understand why a member of JF should have to go through your radio to respond to his fellow members.

Chinga,

Umekosea kidogo detail. Anayemsaidia zaidi homework Mbowe in Ansbert Ngurumo sio Balile. Hata zile Tafakuri anaandika Ngurumo. I have always said kwamba sooner or later, it will emerge as to who the real Mbowe is.

Tanzania Njema,

Acha kuuhada umma kwamba CUF inaelekea kaburini. Hii habari kwamba CUF ni chama cha Zanzibar (na Waislam) pekee ni propaganda ambayo mtu sophisticated kama wewe hukupaswa kuinunua. But I can understand, as a member of CHADEMA, you are bitter kwamba kwenye uchaguzi mwaka jana mmepata kura nusu ya CUF (600,000 to 1.3 mil). Hata uchaguzi ukiitishwa leo, matokeo yatakuwa hayo hayo. CHADEMA is all about mbwembwe za Dar, mikutano ya ukumbi wa Maelezo, kuandika makala ndefu na kuhudhuria makongamano. CUF wanazidi kutengeneza washabiki nazi nchi nzima.
Reply With Quote
 
there is no substance-whatsoever in the latest postings in this thread! Evidence, evidence, evidence for trivialities....Let us move on lads.

We have a heap of important and unsolved issues........

Hypocrite!

Look chaps, blow-dry Mkandara. Game's over.

By the way, bring the evidence that I am your daddy.
 
Hypocrite!

.....Look chaps, blow-dry Mkandara. Game's over.

By the way, bring the evidence that I am your daddy.

Game is not over mpaka ulete evidence za claim zako hapa. Wewe ndio unataka ku-have it both ways... Mkandara hakuleta evidence za kumweka JK hospitali hiyo siku kama aliyodai at the same time na wewe hukuleta any evidence ya kumweka JK somewhere else for the 24hrs of that day.

Huwezi kuwa daddy bila kuwa na daddy, get to know one first for yourself kabla ya kudai kuwa daddy hapa.
 
Game is not over mpaka ulete evidence za claim zako hapa. Wewe ndio unataka ku-have it both ways... Mkandara hakuleta evidence za kumweka JK hospitali hiyo siku kama aliyodai at the same time na wewe hukuleta any evidence ya kumweka JK somewhere else for the 24hrs of that day.

Huwezi kuwa daddy bila kuwa na daddy, get to know one first for yourself kabla ya kudai kuwa daddy hapa.

Kwi kwi kwi! A good comeback there, on the daddy thing.
 
Game is not over mpaka ulete evidence za claim zako hapa. Wewe ndio unataka ku-have it both ways... Mkandara hakuleta evidence za kumweka JK hospitali hiyo siku kama aliyodai at the same time na wewe hukuleta any evidence ya kumweka JK somewhere else for the 24hrs of that day.

Huwezi kuwa daddy bila kuwa na daddy, get to know one first for yourself kabla ya kudai kuwa daddy hapa.


sasa mbona unambana mugongo mugongo peke yake? mwambie na Mukandara atupe evidence, maana naye ni muongo mpaka sasa.
 
sasa mbona unambana mugongo mugongo peke yake? mwambie na Mukandara atupe evidence, maana naye ni mwongo mpaka sasa.

Ilongo, usiumize kichwa na hii habari. Picha za CMB zimetoka jikoni, kwenye camera...with date, day, hour, and minute. Kilichobaki sasa ni comedy tu. Just play it along.
 
sasa mbona unambana mugongo mugongo peke yake? mwambie na Mukandara atupe evidence, maana naye ni muongo mpaka sasa.

Hata wewe waweza ku-demand hizo evidence toka kwa mkandara. yeye hajatoa evidence akaitwa muongo...the same judgement ina-apply kwa mugongo na CMB - waje na evidence za ku-claim otherwise la sivyo na wao ni waongo na wanafiki.
 
Ilongo, usiumize kichwa na hii habari. Picha za CMB zimetoka jikoni, kwenye camera..with date, day, hour, and minute. Kilichobaki sasa ni comedy tu. Just play it along.

ha haa haha jikoni?
Huna evidence na sasa itabidi uplay along na kutafuta your new daddy hapa...
 
Hata wewe waweza ku-demand hizo evidence toka kwa mkandara. yeye hajatoa evidence akaitwa muongo...the same judgement ina-apply kwa mugongo na CMB - waje na evidence za ku-claim otherwise la sivyo na wao ni waongo na wanafiki.

ukweli ninaujua na ndiyo maana sihitaji evidence kutoka kwa mtu yeyote. nawaka balance tu basi.
 
ukweli ninaujua na ndiyo maana sihitaji evidence kutoka kwa mtu yeyote. nawaka balance tu basi.

balance ni kwamba..pande zote mbili ya mkandara na ya mugongo+cmb wameshindwa kuleta evidence kuthibitisha madai yao hapa.
 
ukweli ninaujua na ndiyo maana sihitaji evidence kutoka kwa mtu yeyote. nawaka balance tu basi.

Ilongo -

Unapoteza muda. She will be fine. Mkandara mwenyewe aliyeanzisha huu ubishi kaona picha, kaona tarehe, he is smart anajua zimetoka wapi, he bowed out. Wewe unahangaika na hawa wadandiaji? Achana naye.
 
Ilongo -

Unapoteza muda. She will be fine. Mkandara mwenyewe aliyeanzisha huu ubishi kaona picha, kaona tarehe, he is smart anajua zimetoka wapi, he bowed out. Wewe unahangaika na hawa wadandiaji? Achana naye.

Ushaanza kuwaambia wenzako cha kufanya..Binadamu wana uwezo wa kufanya maamuzi yao wenyewe....umeshindwa kuthibitisha uongo wako hapa na sasa unadictate watu wengine wafanye nin...

aha ha hahaha hahaha hahaha hahah

hapa umeishiwa
 
Kwa mara ya kwanza nimeamua kuchangia mjadala wa JF. Mimi sina elimu sana kama wengi wenu hapa. Mimi hukubali hoja ambayo ina back ups (ninapenda kuona evidence).

Hizo picha zote za CMB hazina tarehe na muda wa lini zilipigwa. Yeye ndio ametuandikia tarehe na muda, siamini kama hizo tarehe ni hakika mpaka pale nitakapoona picha yenye tarehe na muda sio kwa CMB kutuandikia mwenyewe muda na tarehe. Tafadhali usitumie adobe kuweka tarehe na muda kwa sababu wengi hapa watakuumbua ukifanya hivyo.

Kwa sasa bado nampa Mkandara the benefit of the doubt.

Kwani ni picha zote ambazo hupigwa huwa na tarehe na muda? Hebu tembelea kule kwa Michuzi uone kama picha zake zina tarehe na muda? Au tembelea Whitehouse.gov uone kama picha zote zina tarehe na muda wa kamera ilipopiga. Na kwa nini humwamini CMB? Wewe umejuaje kama haaminiki? Na wewe unapompinga mtu unatoa ushahidi wako kwa nini unampinga. Haya mambo ya kusema hadi nione hiki..hadi nione kile....are not acceptable. Saying you don't believe CMB is not enough. You need to disprove him by presenting yours. If you don't have anything to counter his, you'd better shuuussh.
 
Ushaanza kuwaambia wenzako cha kufanya..Binadamu wana uwezo wa kufanya maamuzi yao wenyewe....umeshindwa kuthibitisha uongo wako hapa na sasa unadictate watu wengine wafanye nin...

aha ha hahaha hahaha hahaha hahah

hapa umeishiwa

Haya sasa, kuna la zaidi? Mpaka kieleweke!
 
Mwafrika wa kike na wewe sasa unaboa.

Unaposhindana na mugongomugongo kwa stail hii sio tu inakuwa ngumu kukutofautisha kiupeo na huyu ndugu lakini vilevile unamsaidia katika kazi yake ya kubadili mwenendo wa mada halisi kwa manufaa ya wakubwa zake na maslahi yake binafsi.

Ushauri wangu ni kuwa achana naye watu waendelee na mjdala ambao kwa hapa ni nia na maudhui ya tungo ya Muhingo Rweyemamu on Amina's Death.

Kusatana humu sio mahala muafaka...utamaduni huo una mahala pake kama kule Dodoma katika ukumbi tuliotumia mabilioni ya pesa za walalahoi kuujenga. Si unakumbuka mambo ya "tupo, tumejaa tele"

Tanzanianjema

Tanzanianjema
 
Back
Top Bottom