FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 731
we mugongomugongo wewe....
The good thing abt "Babu ubishi" ktk recollections zake msamiati SAMAHANI haumo!
nnaomba unijuilishe ni nani huyo babu ubishi? nimelipenda hilo jina
Tupo pamoja 2010![/QUOTE]huyu bwana ni bingwa wa ubishi, mtakesha hapa!
Mkandara
Leo hii rasmi natangaza kuomba kadi ya Chadema!...
Mh. Freeman, Zitto, J.J.Mnyika, Mwanasisa naomba tuwasiliane!
Mkandara sina kuficha wala mpango wa kupitia mlango wa nyuma.Nataka kutiwa maji ya ubatizo..
Ila tu kumbukeni Mkandara nina sifa moja!.......BABU UBISHI!
Fuatilia hiyo alafu fuatilia na picha
Case closed. Nimeitwa majina mengi hapa, lakini as long as ukweli umejidhihirisha, I am in heavens. Wengine wanaona hili suala dogo...lakini sio dogo. Mtu unapoongea with authority hapa JF kwamba "Rais alienda "kumuaga" Amina mchana wa siku aliyofariki pale Lugalo kwa kuwa alijua what is going to happen jioni hiyo", people repeat this assertion mitaani kwasababu wanaiamini JF. Nilitaka tuwekane sawa tu...kwamba kumbe kuongea kwa tone ya authority hakumaanishi mtu anasema ukweli.
Now we can move on to other subjects.
mwaka huu kweli.................
tunaanza kuhukumiana kwa majina, mwisho tutaanza kuhukumiana kwa pua na rangi kazi si ndogo spoila endelea kuspoil
I am happy unasoma michango yangu.
Look, habari ya Tanzania Daima kupunguza print order, nobody challenged asked me to bring "the evidence"...a couple of people only challenged whether a drop from 20,000 to 10,000 copies represents a 100% or 50% drop - and I conceded that Bush is smarter than me! Watu wa TD wamo humu, na ni wanachama wa JF, they should have brought up a different figure. Now you blame me because people didn't dispute my figures? Give me a break!
Ya Ngurumo kumuandikia Mbowe papers na makala, hiyo habari alileta mtu mmoja anaitwa Chinga...and it made sense to me knowing Mbowe's level of intellect. So, what did you expect Ngurumo to say? Kwamba ni kweli anamuandikia? Geez!
I find ridiculous hii idea kwamba tusi-challenge falsehood hapa JF kisa you may have unknowingly presented false information in the past.
And I find disturbing the comfort kwamba watu wanadanganya hapa JF na bado Forum ni credible. Well, up to a point.
Mwafrika wa Kike,
Sorry, you are late by a day or so.
mwafrika wa kike,
Karibu sana kijiweni. Napenda style uliyoingia nayo. Uendelee na moto huo huo!
Asante Jasusi,
bado nawasubiri mugongo na CMB walete evidence kuback up claims zao otherwise forum itawahesabu wao kama waongo tu na waropokaji