Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

Nyani,

Huwezi kusoma hoja ya mtu ukakubaliana naye katika vipengele kadhaa na kupingana naye katika vipengele vingine?
 
Kichuguu,
Of course yawezeakana. Lakini always midahalo ina tabia ya ku-gravitate towards the the person rather than stick to the issues. Kila siku hapa naangalia Hannity & Colmes...na kila mara midahalo yao huiishia ku-bash watu badala ya hoja iliyotelewa...mbona Clinton hivi...mbona Bush vile...Ashcroft hivi...Janet Reno vile....
 
Nakuelewa, ila ukiangalia kwa makini mijadala ya namna hiyo huwa ni ile ya kutafuta ushindi, yaani kati ya upande huu na upande ule ni upi umeshinda. Kwenye jamvi hapa hatujagawanyika makundi mawili kwa hiyo upambanaji wa personality siyo wa muhimu kabisa.

Halafu kumbe huwa unawaangalia jamaa hao? FOXNews na mimi mbalimbali kabisa, hasa huyu Bill O'Reilly.
 
Wakati tunaendela na matanga ya dada yetu Amina nadhani itakuwa busara vilevile kujitayarisha na matanga ya ndugu yetu mugongomugongo.

Nimekuwa nikifuatilia mambo yake humu. Mwanzoni nilidhani ndio wale kina Muhingo walioamua kujipa kazi maalumu ya kutetea wenye nchi na kuwavua nguo wale wote wanao onyesha kuwavua nguo mabosi wao katika ulaji.

Lakini sasa ninakuwa na wasiwasi kuwa huyu jamaa amekumbwa na matatizo ya kisaikolojia. Ukifuatilia mwenendo wa uchangiaji wake humu utagundua kuwa hakuna mahala ambapo ameongelea kingine zaid ya kujaribu kuonyesha jinsi gani wenzake walivyo na mapungufu.

Ukiondoa uwezekano wa kuwa anafanya kazi maalum ya kuzuia ushawishi wa baadhi ya wana forum hapa ambao wanaonekana wana mlengo wa kupingana na maslahi ya wenye nchi naamini kuwa vilevile anasumbuliwa na chuki na wivu mkubwa dhidi ya wengine.

Kwangu mimi ni kuwa huyu jamaa hana raha na maisha yake binafsi na zaidi anajiona valueless hivyo inakuwa vigumu kwake kuona wenzake wanaonyesha dalili za kupata umuhimu ama katika forum hii ama katika jamii ya Tanzania. Na hili analijua ndio maana hata siku moja hajibu maswali wala kurespond counter arguments ambazo wanaforum huzielekeza kwake kama majibu ya michango yake.

Hizi zote ni dalili za depression ambayo hupelekea katika kile ninachokiita vicious circle of self destruction na huko ndiko anakoelekea ndugu yetu mugongomugongo.

Mimi sio daktari wa darasa la muhimbili lakini darasa la mitaani limenifundisha mengi kiasi....

na tujiandae na matanga mengine..

Tanzanianjema


Ha ha ha! Hatred. Hatred. Hatred. Brother, take it easy. This is just a forum. I am sorry you are frustrated by my way of discussing mpaka umejipa u-Dr. Phil. Ha ha ha!

Mkubwa, one thing you can be sure: nitaendelea na mawe tu - hata kama unaniombea kifo.
 
Tanzanianjema,

Matumizi yako ya maneno "matanga ya mugongo mugongo" siyo mazuri. Tumia lugha nyingine tafadhali.

Kichuguu,

Hii inaonyesha frustration ya hali ya juu kwa hawa Mbowe groupies. Hawataki kukosolewa na hawakuzoea kupingwa humu JF...ukiwapinga pale wanapoleta habari za uongo na umbeya, basi una matatizo binafsi. I don't mind lugha ya huyu bwana ya kuombeana umauti. With these people pissed off, I am in heavens!
 
Mugongo Mugongo,
Nimekuomba unithibitishie kuwa JK aliondoka Dar tarehe 25 na kulala huko hadi tarehe 26, iweke hiyo source yako usitake kuzungusha vitu, na kama kweli unavyosema basi naahidi kuiweka source ya habari yangu.

Sources: RTD (taarifa ya habari ya saa mbili usiku, tarehe 25 June (Kikwete awasili Tanga); tarehe 26 July - Live on TVT Rais akipokea maandamano Tanga; later mchana phone conversation with G. Baluah mpiga picha wa Rais wakiwa airport Tanga kuelekea Serengeti; July 27, mchana - nimezuiwa Mandela Rd. for 25 minutes kusubiri msafara wa Rais upite kutokea airport akitokea Serengeti kurudi Dar - this is not from a "source", I saw it kwa macho yangu).

Haya na wewe leta "source" yako kwamba Rais alikuwa Dar mchana wa June 26 kumuona Amina Lugalo. Nilikuwa nakuamini sana mkubwa. Kama ambavyo ES husema, tusimamie heshima ya Forum.
 
MugongoMugongo,
this is not from a "source", I saw it kwa macho yangu)

Wewe ulimwona Rais akiwasili Tanga June 25 na kulala pale hadi 26?....nipe source nimeuliza na kama huyo G.Baluan alikuwa ktk msafara mpe PM yangu!....mazungumzo yote kati yetu yaweke hapa wazi... Hilo la RTD mtu yeyote anaweza kusema. My source ni kubwa kuliko umri wako - JK kenda Lugalo mara mbili kumtazama AC safari ya kwanza alipolazwa na pili siku ya Jumanne.
Wee sema umeona msafara wa Rais wakirudi tarehe 27 sio vinginevyo.

Mpango wa kutumiwa na hawa wauza Unga mjomba achana nao kabisa!.. washenzi hawa jamaa huna haja kabisa ya kuwatetea wanapojaribu kujikosha na kumweka lawama mzazi wa marehemu na uungwana wote aliouonesha kwao.
 
MugongoMugongo,


Wewe ulimwona Rais akiwasili Tanga June 25 na kulala pale hadi 26?....nipe source nimeuliza na kama huyo G.Baluan alikuwa ktk msafara mpe PM yangu!....mazungumzo yote kati yetu yaweke hapa wazi... Hilo la RTD mtu yeyote anaweza kusema. My source ni kubwa kuliko umri wako - JK kenda Lugalo mara mbili kumtazama AC safari ya kwanza alipolazwa na pili siku ya Jumanne.
Wee sema umeona msafara wa Rais wakirudi tarehe 27 sio vinginevyo.

Yes, Rais aliwasili Tanga tarehe 25 majira saa tisa, na siku hiyo hiyo akaenda moja kwa moja kwenye mabanda ya maonyesho ya mambo ya madawa ya kulevya, shughuli ambayo pia iliripotiwa na vyombo vya habari, including TVs.

Kesho yake asubuhi (tarehe 26 June - siku ya Jumanne, ambayo unadai ndio alienda kumuona Amina Lugalo) akaenda kupokea maandamano Uwanja wa Mkwakwani - Tanga, na kuhutubia. Kwenye saa saba mchana, akaenda kupata lunch Mkonge Hotel. Later mchana waka-fly to Serengeti, na kufikia Seronera Lodge ambapo alilala hadi kesho yake (June 27), akafungua mradi wa umeme Serengeti, na kuondoka kurudi Dar. Jioni akawa mgeni rasmi shughuli ya BBC, na baada ya hapo straight akaenda kuhani msiba.

Kwahiyo, bwana mkubwa, usitudanganye. Heshima ya Forum mbele.
 
MugongoMugongo,
Alikwenda kuhani baada ya sherehe za BBC?....na hizo sherehe zilifanyika saa ngapi vile!

Nipe huyo mwandishi kupitia PM au simu na mazungumzo kati yetu unaweza ya record, habari nyingine zote tisa... najua kama alikuwa kwenye msafara huo ndiye namhitaji....bado ni maneno yako mwenyewe toka mdomoni mwako ama magazeti ya Bongo.
 
Kaka yangu Mkandara,

Mimi nimekuwa nakuamini hapa JF kwasababu moja tu: huwa unaongea mambo kwa uhakika na, kwa tone yako, ulionyesha huwa una uhakika na unachosema.

Hata hii ya kwamba JK kaenda kumuona Amina Lugalo Jumanne ya June 26, pia umeongea with the same tone...wakati si kweli. Hapo I felt disappointed and cheated kwasababu nimekuwa nakuamini siku zote on the basis of your tone. Kumbe kuongea with certainty haina maana watu wanasema ukweli humu ndani. Why can't we use the word "inasemekana" kama hatuna uhakika?
 
MugongoMugongo,
Alikwenda kuhani baada ya sherehe za BBC?....na hizo sherehe zilifanyika saa ngapi vile!

Nipe huyo mwandishi kupitia PM au simu na mazungumzo kati yetu unaweza ya record, habari nyingine zote tisa... najua kama alikuwa kwenye msafara huo ndiye namhitaji....bado ni maneno yako mwenyewe toka mdomoni mwako ama magazeti ya Bongo.

1. Kama hujui kwamba alikwenda kuhani baada ya sherehe za BBC, then you don't know anything.

2. Huamini picha za still na za television zinazoonyesha uwepo wa JK Tanga mchana na jioni ya June 25, asubuhi na mchana wa June 26, na Serengeti asubuhi ya June 27? Huamini coverage ya entire media (hata ya Tanzania Daima) kwamba JK alikagua mabanda alipowasili Tanga June 25, akapokea maandamano na kuhutubia June 26, na kwenda Serengeti the same day na kufungua mradi wa umeme Serengeti June 27th?

3. Baluah mtafute mwenyewe. I thought you are resourceful. Huogopi mie ntamfundisha akwambie nini?
 
Mugongo Mugongo,
Huna haja ya kuniamini with my tone hata kidogo. Siku zote mimi huja na ushahidi inapobidi. Na kama nimekosea basi hukubali makosa baada ya ushahidi wangu kutofautiana na ukweli. Sizungumzi kwa lugha ya udadisi ila kwa maandishi. Kwani kuna shida gani kukubali makosa?...hakuna nachoweza poteza zaidi ya kuaminiwa tena bila source inayo aminika. hakuna hata mtu mmoja humu ambaye hajawahi kosea!.. lakini bob sio kwa hili.

Nimekuomba source zako kwa sababu hii habari sio tu kwamba watu tumefuatilia kifo bali hata wahusika. sasa waaanza kutapatapa na kusema ovyo wakitumia waandishi wa habari. Huyo mpiga picha wako atakuwa anamfahamu mtu ninaye msema mimi na naweza kuunganisha habari hizi mbili na kuufahamu ukweli, Good for both of us!

Swala la JK kumtembelea AC umelivuta tu hapa baada ya wewe kujikuta uko kona hali mimi sikusema vibaya zaidi ya kukuomba uachane na hao wanafiki.
Kilichokuuma mimi sikielewi, na umekuja na hili ukifikiria kuwa unaweza kuondoa credibility yangu... which I refuse to give.
Umefungua mwenyewe mlango na habari za kusimuliwa na sasa umesha sema kuwa JK alikwenda kuhani baada ya sherehe za BBC!.. sasa mimi sintakwenda huko ila nakuomba sana kwa mara nyingine -Achana na hao kina Rweyemamu ambaye ni kada mkubwa wa wauza unga kina Mkapanjia na Johnson!...
Tunawafahamu sana nyendo zao!
 
Tatizo ni siasa. Katika siasa hata kama unaujua ukweli, ni lazima utajitahidi kadri uwezavyo uupindishe na kadri unavyorudia uongo wako ndiyo jinsi ukweli unavyozidi kupotoshwa.

Ubaya wa siasa hizi za vyama ni kwamba ukishaamua kuwa upande mmojawapo inakuwa kama umelishwa yamini kuzusha na kutetea hata yasiyokuwepo. Uwezo wako wa kujenga hoja, kuzitafakari na kujadili unapungua na kinachobaki ni ushabiki tu na uongo mwingi ili uonekana upande wako ndiyo mzuri. Ogopeni sana wanasiasa.
 
Ninavyomjua mimi Amina ni kijana mzuri. Lakini all said, dini zote zinafundisha kuzungumza mazuri ya wafu wetu. Lets do justice to Amina. Mwacheni apumzike kwa amani. Mbona mna haraka na kiherehere? Si wote tunakwenda aliko Amina? Tutakutana nae huko na mwenye maswali atamuuliza! Au wenzangu hamuanini kuwa tutakwenda njia ya Amina? If so, why the hurry? Si tusubiri tukaanzishe mdahalao huko?

tehe tehe tehe
 
Mnoko

Sadakta!

Jina lako na maandishi yako hata havifanani. What you wrote make a lot of sense.

Amina, Rest in Peace! Ameen
 
Mugongox2

huyu bwana ni bingwa wa ubishi, mtakesha hapa!

Leo hii rasmi natangaza kuomba kadi ya Chadema!...
Mh. Freeman, Zitto, J.J.Mnyika, Mwanasisa naomba tuwasiliane!
Mkandara sina kuficha wala mpango wa kupitia mlango wa nyuma.Nataka kutiwa maji ya ubatizo..
Ila tu kumbukeni Mkandara nina sifa moja!.......BABU UBISHI!

Tupo pamoja 2010!
 
Back
Top Bottom