Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

Nyani

Nimefuatilia darasa la CMB na nimeridhika 100% vielelezo (picha) vimethibitika sio vya kufoji. Kwa maana hiyo hoja za Mugongo zimethibitika kuwa ni za KWELI na UHAKIKA na hoja za Mwafrika wa Kike ni UZUSHI na UBISHI usio na maana yeyote.

Si unaona sasa. Mwafrika wa kike anapayuka tu bila kujua wala kuwa na chochote. Sitashangaa akija tena na kuanza ubishi. Nzuri zaidi CMB amesema yuko tayari kumtumia info zaidi akiwasiliana naye kwenye PM na kutoa email yake.
 
Hats off to Mwafrika na CMB.

Very glad you are here with us.
 
Si unaona sasa. Mwafrika wa kike anapayuka tu bila kujua wala kuwa na chochote. Sitashangaa akija tena na kuanza ubishi. Nzuri zaidi CMB amesema yuko tayari kumtumia info zaidi akiwasiliana naye kwenye PM na kutoa email yake.

Mmh! haya!
 
mnataka kutoana macho bure tu. Tanzania ukweli na facts siyo mambo ya msingi kabisa. Jambo la msingi ni nini wananchi wameamua kuamini.

Katika suala la AC, wananchi wameamua kuamini kwamba AMEUAWA, na JK alikwenda kumuona kabla hajafariki. Watanzania pia wameamua kuamini kwamba Sokoine alishindiliwa risasi ya kichwa. Pia, Watanzania wameamua kuamini kwamba, Horace Kolimba aliuawa kwa sumu. The list goes on and on...

Sasa nyinyi mnaobishana inabidi msome nyakati ili kuelewa kwamba ni kipi wananchi ndiyo wameamua kiwe UKWELI/FACTS kwao.
 
Wanabodi,

Mtanisamehe kwa kutokuwepo hapa karibu siku nzima ya jana. Ni ktk kutafuta riziki tena siku ilikuwa ndefu sana kwangu. Nimejaribu kufuatilia hoja hii ama kweli miti inateleza!.
Nimezungumza na source yangu nikaambiwa kuwa hakuna picha wala mpiga picha aliyeruhusiwa kuingia pia ziara hiyo ya rais hapo Lugalo haikuwa official.
Nikasisitiza kuhusu tarehe na saa hapo ndipo nilipokwama kwani alikuwa akicheka na kuuliza.....WHY?...Ni mtu wa Protocal nimeshindwa kuuliza.
Nafikiri kilicho rahisi hapa kuondoa ubishi huu ni kwangu mimi kukubali kuwa MUONGO na MZUSHI kuwa JK alikwenda Lugalo kumtembelea marehemu ktk tarehe hiyo.

Sorry guys kama niliwa mislead ktk hili! That's all I can say!
 
mnataka kutoana macho bure tu. Tanzania ukweli na facts siyo mambo ya msingi kabisa. Jambo la msingi ni nini wananchi wameamua kuamini.

Katika suala la AC, wananchi wameamua kuamini kwamba AMEUAWA, na JK alikwenda kumuona kabla hajafariki. Watanzania pia wameamua kuamini kwamba Sokoine alishindiliwa risasi ya kichwa. Pia, Watanzania wameamua kuamini kwamba, Horace Kolimba aliuawa kwa sumu. The list goes on and on...

Sasa nyinyi mnaobishana inabidi msome nyakati ili kuelewa kwamba ni kipi wananchi ndiyo wameamua kiwe UKWELI/FACTS kwao.

Watu wanaweza kuamini wanachotaka kuamini. Nitakuwa mwenye furaha kama watu wataamini kwamba JK alienda "kumuaga" Amina saa 6:30 mchana June 26 Lugalo hospitali wakati recordings za TVT and ITV Live zinazoonyesha saa 6:15 mchana alikuwa Uwanja wa Mkwakwani Tanga.

The nation is as strong as the character of its people.
 
Wanabodi,

Mtanisamehe kwa kutokuwepo hapa karibu siku nzima ya jana. Ni ktk kutafuta riziki tena siku ilikuwa ndefu sana kwangu. Nimejaribu kufuatilia hoja hii ama kweli miti inateleza!.
Nimezungumza na source yangu nikaambiwa kuwa hakuna picha wala mpiga picha aliyeruhusiwa kuingia pia ziara hiyo ya rais hapo Lugalo haikuwa official.
Nikasisitiza kuhusu tarehe na saa hapo ndipo nilipokwama kwani alikuwa akicheka na kuuliza.....WHY?...Ni mtu wa Protocal nimeshindwa kuuliza.
Nafikiri kilicho rahisi hapa kuondoa ubishi huu ni kwangu mimi kukubali kuwa MUONGO na MZUSHI kuwa JK alikwenda Lugalo kumtembelea marehemu ktk tarehe hiyo.

Sorry guys kama niliwa miss lead ktk hili! That's all I can say!

Mkuu - tumeelewana. Na tuendelee na mijadala mingine.
 
Wanabodi,

Mtanisamehe kwa kutokuwepo hapa karibu siku nzima ya jana. Ni ktk kutafuta riziki tena siku ilikuwa ndefu sana kwangu. Nimejaribu kufuatilia hoja hii ama kweli miti inateleza!.
Nimezungumza na source yangu nikaambiwa kuwa hakuna picha wala mpiga picha aliyeruhusiwa kuingia pia ziara hiyo ya rais hapo Lugalo haikuwa official.
Nikasisitiza kuhusu tarehe na saa hapo ndipo nilipokwama kwani alikuwa akicheka na kuuliza.....WHY?...Ni mtu wa Protocal nimeshindwa kuuliza.
Nafikiri kilicho rahisi hapa kuondoa ubishi huu ni kwangu mimi kukubali kuwa MUONGO na MZUSHI kuwa JK alikwenda Lugalo kumtembelea marehemu ktk tarehe hiyo.

Sorry guys kama niliwa miss lead ktk hili! That's all I can say!

Apology ACCEPTED (me) huu ni ukomavu mkubwa na mfano wa kuigwa kwa na wengine. Thanx Bob, lets move on
 
Mimi naomba kuuliza Kiongozi gani wa kitaifa alienda kumuona Amina tangu aanze kuumwa kabla ya kuibuka kujaza vitabu vya rambirambi? Hasa ukizingatia kuwa Amina alianza kuumwa Mei 8?
 
hata kama mtaita watu malaya, hatuendi mahali popote tutabanana humu humu. Nani aliwaambia kuwa JF ni kijiwe cha wanaume peke yenu. Si ndio mnasema hoja hujibiwa kwa hoja mkizidiwa mwatuita malaya. It takes one to know one.

asante.

Bi senti wala usiwe na wasiwasi ni majina gani watakuita wanaume hapa. Nimeyazoea hayo.

Take it easy.
 
Mama wa Kiafrika,

Samahani sana kwa maneno makali uliyopata, endeleza hoja, tupo pembeni tunakusoma. Sam na Nyani Ngabu ni wenzetu tupo nao muda mrefu kiasi, sisi tunajuana. Ila wewe mgeni samahani.

Endelea..

FD

Asante FD

Asante sana, appology accepted
 
unajua some time ukiamka vibaya halafu ukamkuta mtu anakufata fata inakera sana, tena anakufata pasipo na hoja yyte ya msingi anakuletea kauzibe tu.


hata hivyo unapaswa kujimanage na huo hasa ndio udume, kwa hio hili kidogo kateleza bwana sama na ningeshauri ile post iwe deleted

Hakuna excuse yoyote unayoweza kutoa hapa ili kujustfy matusi yaliyotumika hapa kama hili la kuita wanawake malaya na kuwataka waende eharmony kama alivyofanya sam na nyani ngabu.

Nilidhani mnapojiita taifa kubwa mnamaanisha, kumbe hamwezi kuhandle presha?
 
Tatizo mkubwa na wewe unaambiwa eti umeongopea kwa maana ya kwamba zile tarehe na saa umezichomeka wewe kwenye picha za JK za Tanga, Serengeti, Kempenski na Mikocheni. Lakini mie na wewe tunajua hadi camera iliyopiga zile picha...labda tutafute ushahidi kutoka kuzimu...

Next...

ok, kumbe mnaijua kamera iliyotumika kupiga hizo picha, mbona usizipost hapa direct ili tuweze kuzichambua hizo picha kutrace time and day? Mbona mwasema twende kwa michuzi?
 
I wasnt baking up any body, nilichojaribu kufanya ni kutumia resources nilizonazo kuwasaidia mkandara na mugongo x2. so you can just decide on your own who's right and who's wrong

ulihusisha post ya muongo na picha zako ku-prove kuwa anachosema ni kweli. Rudi tena kasome posting zako mwenyewe.
 
Nitatoa mfano moja wa jinsi ninavyopata hizo tarehe na saa ya picha nilizotoa kupitia bulogu ya michuzi kwahiyo soma chini utaona

Waooooo yaani evidence ni kuhusu picha za michuzi na sio zako ulizoweka hapa.

sikuwa nafungana na upande wowote, bali nilitaka watu waache kubishana, kwahiyo nikatoa ushaidi wangu, sasa ni jinsi gani utaniamini i dont know, labda unipe email yako nikuforwdie picha hizo kwenye kutoka ikulu.

Huna sababu ya ku-forward picha hizo kwangu. Ziweke hapa katika original form yake na tukizi-evaluate zitatupatia time and day

Sasa twende kwenye jinsi nilivyopata tarehe na saa katika hizo picha.

1. Hebu twende katika hii link http://www.issamichuzi.blogspot.com

2. Nenda chini mpaka utakapokuta il "msumbiji" (au unaweza kuclick hapa http://issamichuzi.blogspot.com/2007/07/msumbiji.html)

3. Click ile picha ya chini kabisa inayoonyesha Benz la JK (kumbuka, click ile picha)

4. Save ile picha "jk1.jpg kwenye desktop yako

5. Kama tayari umesave, Right click ile picha alafu click "Properties"

6. Alafu click Summary

7. Alafu click Advance

8. Kisha niambie ni vitu gani vimeandikwa kwenye hiyo picha (nataka kujua mpaka tarehe ya hiyo picha imepigwa lini na kwa kutumia CAMERA gani, na pia niambie hiyo picha ilikuwa edited na SOFTWARE gani)

Nikitumia the same procedure kwenye picha zako hapa sipati hizo info kama za michuzi. Kumbuka kuwa tunajadili picha zako na sio picha za JK akiwa msumbiji.

Ngoja nijieleze on my site,

Mimi ni Mwandishi wa website moja ya habari hapa tz, kwahiiyo kati ya news na picha tunazozipata ikulu ni moja ya source zetu. kwahiyo vitu vingi Rais JK anavyofanya huwa tunapata Picha, sasa ili kuvalidate kama picha hiyo imetungwa na photoshop au vipi au ni feki, thats how we prove. Kwahiyo kwasababu unataka evidence, Just PM me with you mail address nitakutumia hizo picha kwenye email yako alafu ufanye kama nilivyoeleza hapo juu alafu utatuambia umeona nini. hizo picha nitaforward tuu, nitaacha uone hiyo picha ilikwenda kwa nani na nani ili uwaulize na hao wengine wakube uone saa na tarehe.

Kama ni wewe ni mwandishi wa habari basi natumaini utatuletea picha original na sio hizi ambazo zina too much kroping.

Sasa sielewi Mwafrika wa kike unahitaji ushahidi gani tena kutoka kwangu.

Umetoa link ya picha za michuzi, leta ushahidi wa picha zako ya tarehe na time......nakuhakikishia kuwa ukifanya hivyo nitaacha kumkera mtumwitu hapa.

Na sio kila picha unaweza ukakuta hizo information, utapata information kama hizo kwa picha ambayo imepigwa DIRECT na camera bila KUWAEDITED ndio hizo information utakuta. jaribu kuclick picha zingine za michuzi, hutaona info kama hizo.


Picha zako zote ulizotoa hapa hazina hizo info, kwa hiyo kulingana na unachosema hapa, picha zako sio direct au zimekuwa edicted. Tuambie mwenyewe....picha zako ni DIRECT? au zimekuwa edited ili ku-fit context?
 
Ubishi wako hauna lolote, Mkandara keshakiri kuwa ali-mislead watu na ame-confirm na source zake, end of story. Mugongo is 3 for 3. Hutaki?
 
Ziko wapi hizo hoja zenye ushahidi wa kutosha? Sanasana alichofanya Mwafrika wa Kike ni kuendelea kutilia mashaka tarehe na muda wa wa picha ilhali zinalingana kabisa na ratiba ya raisi ktk siku zile. Ndugu Kichuguu, unaposema huamini kitu, toa sababu za nguvu kwa nini huamini. Mwafrika wa Kike angekuja na ratiba ya raisi na kuibandika hapa halafu ionekane wazi inapingana na caption za picha hapo hata mimi ningemvulia kofia na kusema kweli kamwaga lazi. Na si kuendelea kubisha tu kusiko na mbele wala nyuma. Sasa CMB katoa somo fupi la picha...hebu lipitieni.

Kama ningedai kuwa najua JK alikuwa wapi that day basi ningekuwa na burden ya kuleta ratiba ya rais. Otherwise wanaodai kujua JK alikuwa wapi (muongo na CMB) kwa sasa ndio wana burden ya kutoa evidence ya madai yao

Somo la CMB ni kuhusu picha za michuzi. Picha zake zote zinafeli hiyo procedure. Nimeanza ku-doubt labda hizo picha ni feki
 
Nyani

Nimefuatilia darasa la CMB na nimeridhika 100% vielelezo (picha) vimethibitika sio vya kufoji. Kwa maana hiyo hoja za Mugongo zimethibitika kuwa ni za KWELI na UHAKIKA na hoja za Mwafrika wa Kike ni UZUSHI na UBISHI usio na maana yeyote.

Darasa la CMB ni kuhusu picha za JK akiwa msumbiji kutoka kwa michuzi. Picha zake zinafeli hiyo procedure. Endelea kuniita mbishi na mzushi (sijazua chochote hadi sasa zaidi ya kutaka watu watoe evidence hapa) kwani una haki ya kuamini chochote unachotaka.
 
Back
Top Bottom