Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 64
Na hatutakubali longolongo nyingine zaidi ya solid alternative evidence kwamba: (i) JK alikuwa Lugalo hospital mchana wa June 26"kumuaga" Amina, na (ii) JK alienda kuhani msiba kabla ya sherehe ya BBC.
So far wewe ndio unaleta longolongo hapa bila kuwa na evidence ya kuthibitisha madai yako. Ukileta evidence ndio uta-clear doubt ambayo iko around madai yako na picha zinazotumika kuback hayo madai