Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

Issue hapa sio mimi kuleta hapa jipya. Kumbukumbu zangu zaonesha kuwa Mugongo na CMB wametoa madai ya kudai kujua alikokuwa JK that day na kuleta picha ambazo hazina ushahidi wowote wa lini na muda gani zilipigwa.

Mpaka hapa watakapoleta ushahidi wa muda, hizo picha sio evidence tosha ya kuback up madai yao. Naona wewe ndio umeanza mapya kwa kuita watu mabwana zangu hapa...good job kwa mjenga hoja kama wewe

You are entitled to your opinion even if that opinion is based on your feelings rather than facts.
 
ebwana inakuwaje babu?
watu hawataki kukubali ushahidi...halafu hawawezi kuleta wa kwao. Halafu wanadai tumeishiwa hoja....go figure

sema mkuu,
mimi nawafuatilia tu hapa mzee.. mimi naenda na ushahidi uliopo.
 
huyu mwanamke mbona ana moto namna hii, ameanza lini hapa JF?
 
Hana moto wowote Sam. Anabisha tu ili mradi. Mpaka sasa hajatoa ushahidi wake....ana recycle tu.
 
Wa kwako wenye nguvu (zaidi ya huo wa maneno) uko wapi?
Mbona inachukua muda hivyo kuuweka hapa...?

Nikitoa madai hapa nitatoa ushahidi. Kwa sasa nime-create doubt kuhusu picha za CMB na madai ya muongo.

BTW..usijaribu ku-avoid issue ya France. Bado nasubiri evidence za claims zako.
 
Nikitoa madai hapa nitatoa ushahidi. Kwa sasa nime-create doubt kuhusu picha za CMB na madai ya muongo.

BTW..usijaribu ku-avoid issue ya France. Bado nasubiri evidence za claims zako.

Unaposema huamini hizo tarehe, hayo ni madai tosha. Kwa hiyo lete ushahidi wako.....acha kucheza sarakasi za maneno hapa!
 
Hana moto wowote Sam. Anabisha tu ili mradi. Mpaka sasa hajatoa ushahidi wake....ana recycle tu.

mwanamke amedai evidence na mwanaume badala ya kuleta evidence umeanza name calling....good for you.

Utasema sana issue ya ku-recycle mpaka pale evidence zitakapoletwa hapa
 
Sasa huo ushahidi anaoutaka ni upi zaidi? Ngoja mimi nimsome The ‘Queen of The Weave’ na Kim halafu nilale zangu hawa waafrika wa kike sina muda nao siku hizi. Tutawasiliana babu.
 
Unaposema huamini hizo tarehe, hayo ni madai tosha. Kwa hiyo lete ushahidi wako.....acha kucheza sarakasi za maneno hapa!

Una kazi kweli wewe....waruhusu muongo na CMB walete evidence ya madai na picha zao....imekuwa kazi sana kwa wewe ku-overcome hii doubt niliyocreate hapa. Jibu ni simple.....evidence
 
Nimekwambia acha kujifanya victim.....lete ushahidi mbadala wa madai yako. Mbona mgumu hivyo wa kuelewa. Au unataka niongee kisukuma ndo unielewe?
 
Sasa huo ushahidi anaoutaka ni upi zaidi? Ngoja mimi nimsome The ‘Queen of The Weave’ na Kim halafu nilale zangu hawa waafrika wa kike sina muda nao siku hizi. Tutawasilimia babu.

Good for you na huyo "queen" wako. Waafrika wa kike wako hapa to stay. Huna choice zaidi ya kuishi na hiyo reality from today on.
 
Back
Top Bottom