Papaah
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 2,893
- 4,265
Toa wewe ushahid, mshasema alislim basi sisi inatutosha kuamin.Achana na heading maana mtoa mada kashindwa kutoa ushahidi kuwa alisilimu
Toa wewe ushahid, mshasema alislim basi sisi inatutosha kuamin.Achana na heading maana mtoa mada kashindwa kutoa ushahidi kuwa alisilimu
Wayahudi awajawai kumchukia malaika wa kweli isipokuwa shetani na malaika zake majini hivyo wayahudi wanamchukia jibril kwa sababu ni shetani na jini .....hapo muhammad anawaambia wayahudi kuwa Mungu kamuamrisha shetani na jini Jibril kumshushia wahi Muhamad yaani ndiyo yale yale ya muhammad kumsikimisha shetani kisha huyo shetani kumwongoza muhammad....muhammad kathibitisha kuwa na jini linalo muongoza kumcha munguAcha kupotosha hapo wayahudi wanaambiwa kama wao wanamchukia Jibril basi yeye ndo alimteremshia Mtume Muhammad Qur’an
Unachotakiwa kujua ni kuwa yeye ilikuwa inamuhusu Jibril na hilo linathibitishwa na maandiko mengine je ikiwa huyo adui wa Jibril ndo ametajwa kuwa aliyeiteremsha Qur’an kuna maandiko mengine ya kuthibitisha?👉ALIYE kuwa ADUI WA JIBRIL NI NANI?
Kwani huko Makka hakukuwa na wayahudi?Kwann Wayahudi wamchukie Jibril?.
Kwamba wayahudi wanaona Jibril kuwa ni adui yao kiaje?.
Wayahudi wanamjua Jibril?.
Kumbuka Mohamed alikuwa Madina na Makkah na sio Uyahudini.
Haya ww unasema adui wa Jibril ni Wayahudi.
(Ngoja nijaribu kukubaliana na ww)
Kwani huko Makka hakukuwa na wayahudi?
Quran 2:98
"Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail, basi hakika Mwenyezi Mungu ni adui wa makafiri."
Jamaa anajidai kachanganyikiwaKwann Wayahudi wamchukie Jibril?.
Kwamba wayahudi wanaona Jibril kuwa ni adui yao kiaje?.
Wayahudi wanamjua Jibril?.
Kumbuka Mohamed alikuwa Madina na Makkah na sio Uyahudini.
Haya ww unasema adui wa Jibril ni Wayahudi.
(Ngoja nijaribu kukubaliana na ww)
Ila sasa Huyo adui (myahudi) kwenye kukubali hii hoja anatakiwa awe adui pia na hawa👇👇👇.
Quran 2:98
"Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail, basi hakika Mwenyezi Mungu ni adui wa makafiri."
Je Wayahudi ni maadui wa Mwenyez Mungu au mitume. Au Mikael?.
Jibu ni hapana.
Kwahiyo Bro Lwiva .
Quran imeshushwa na shetan.
Aliyemtokea Mtume pangoni ni Shetan.
Hakuna shaka kwenye hili.
Maana shetan ndio adui wa hao wote.
Shetani ni adui.
Quran 2:36
Shetani ni adui aliye wazi.
Quran 2:208
Shetani ni adui aliye dhaahiri.
Quran 36:60
Aloooo...madjin yalisilimu na kuupenda Uislamu kuwa huo sasa ndo unamuabudu mola wao. Na toka siku hiyo waislamu wakawa na udugu nayo wa kudumu majini. Wanaswali pamoja na kuoana.
Naona umeandika kwa urefu ili nipoteeKwann Wayahudi wamchukie Jibril?.
Kwamba wayahudi wanaona Jibril kuwa ni adui yao kiaje?.
Wayahudi wanamjua Jibril?.
Kumbuka Mohamed alikuwa Madina na Makkah na sio Uyahudini.
Haya ww unasema adui wa Jibril ni Wayahudi.
(Ngoja nijaribu kukubaliana na ww)
Ila sasa Huyo adui (myahudi) kwenye kukubali hii hoja anatakiwa awe adui pia na hawa👇👇👇.
Quran 2:98
"Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail, basi hakika Mwenyezi Mungu ni adui wa makafiri."
Je Wayahudi ni maadui wa Mwenyez Mungu au mitume. Au Mikael?.
Jibu ni hapana.
Kwahiyo Bro Lwiva .
Quran imeshushwa na shetan.
Aliyemtokea Mtume pangoni ni Shetan.
Hakuna shaka kwenye hili.
Maana shetan ndio adui wa hao wote.
Shetani ni adui.
Quran 2:36
Shetani ni adui aliye wazi.
Quran 2:208
Shetani ni adui aliye dhaahiri.
Quran 36:60
Ndiyo wayahudi ni maadui wa hao woteInawezekana hawakuwepo au wakawepo.
Ngoja nikubali. Walikuwepo.
Sasa je Wayahudi ni adui wa hawa pia👇👇
Muda mwingine unatakiwa uwe na hoja na usitangulize chuki mbelemadjin yalisilimu na kuupenda Uislamu kuwa huo sasa ndo unamuabudu mola wao. Na toka siku hiyo waislamu wakawa na udugu nayo wa kudumu majini. Wanaswali pamoja na kuoana.
Soma vizuri haya maandikoKwani huko Makka hakukuwa na wayahudi?
Naona maandiko umekosa unaamua kupotosha kwa andiko hiloSoma vizuri haya maandiko
Quran 2:97 -98
"Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail👈 HUYO ADUI WA MWENYEZI MUNGU NA ADUI WA KALAIKA NA ADUI WA MITUME WAKE NA ADUI WA MIKAELI 👉Ndiye aliye ITEREMSHA QUR'ANI KWA MTUME WAKE MUHAMMAD
Halafu mbona kule kwenye ile aya uliyosema kuwa haikumtaja Allah ila Mwenyezi Mungu nikakupa ushahidi mbona umekimbia wakati nataka uniambie nani alikuambia kuwa haijamtaja Allah 🤣🤣Inawezekana hawakuwepo au wakawepo.
Ngoja nikubali. Walikuwepo.
Sasa je Wayahudi ni adui wa hawa pia👇👇
Ndiyo wayahudi ni maadui wa hao wote
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani
Qur'an si kama vitabu vya tamthilia ya kuwa kwa kila msomaji atatoka kwa namna alivyoelewa kulingana na uelewa wake. Kwenye Qur'an au kwenye hadithi hakuna "mimi ninavyoona" hiyo hakuna. Ni lazima utoke na makusudio husika kwa kila aya husika. Kwa kututahadharisha Mtume akatuambia: "Yeyote atakayetumia rai (yake) kwenye kitabu cha Mwenyezi Mungu, mapema makazi yake ajiandalie motoni". Kwa sababu ukitafsiri wewe utakuwa unafanya mzaha!Jibu swali au ukae kimya.
Shetani ni Muislam?.
Kabla ya kujibu. Soma
Quran 18:50
"Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu."
Msisitizo weka hapo waliposema "YEYE ALIKUWA MIONGONI MWA MAJINI".
Huko nyuma tumeona majini yamesomewa Quran ya yakawa Waislam.
Jibril ndo ameshusha Qur’an na maandiko mengi yapo wazi tu😁😁😁😁😁
Sasa haya tuseme Wayahudi ni adui wa Jibril, Mwenyezi Mungu, Mikael na mitume woote.
Je yeye ndio alishusha Quran.?
Maana adui hapa ndio kashusha Quran.
"
😂😂😂😂😂
Huon hata uiwekeje.
Huiwez kukaa sawa.
Kwenye hili kubalini tu kama mnavyokubali kuwa majini ni Waislam
Halafu mbona kule kwenye ile aya uliyosema kuwa haikumtaja Allah ila Mwenyezi Mungu nikakupa ushahidi mbona umekimbia wakati nataka uniambie nani alikuambia kuwa haijamtaja Allah 🤣🤣
UNACHEKESHA SANA KIJANA, UNADHANI SHETANI NI SAWA NA BABA YAKO WA TANDALEKitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:
“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”
Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Nitajie neno lililotajwa pale lenye maana ya Mwenyezi Mungu halafu na mimi nikuonyeshe neno Allah 🤣Kule nimekuonyesha kuwa neno allah na neno mwemyezi Mungu lilivyoandikwa kwa kiarabu.
Achana na Tafsiri.
Tuseme kama ilivyo kiarabu.
Hakuna Allah pale ila kuna mwenyezi Mungu