Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Qur'an si kama vitabu vya tamthilia ya kuwa kwa kila msomaji atatoka kwa namna alivyoelewa kulingana na uelewa wake. Kwenye Qur'an au kwenye hadithi hakuna "mimi ninavyoona" hiyo hakuna. Ni lazima utoke na makusudio husika kwa kila aya husika. Kwa kututahadharisha Mtume akatuambia: "Yeyote atakayetumia rai (yake) kwenye kitabu cha Mwenyezi Mungu, mapema makazi yake ajiandalie motoni". Kwa sababu ukitafsiri wewe utakuwa unafanya mzaha!

Na kwenye Qur'an Mwenyezi Mungu alishahukumu ya kwamba; kuna watu duniani wanajiona wanafanya mema kumbe kwa Mungu hawana lolote. Kwa sababu wao aya za Mungu na Mitume yake walichukulia mzahamzaha.

Ili usifanye mzaha inakubidi urudi kwa wanawazuoni wenye isnad iliyothabiti ambao wanafahamika, wao ndiyo wakufahamishe hiyo aya ina maana gani! Na vitabu vyao vya tafsiri vipo! Ukitafsiri wewe unafanya mzaha!

Maadamu unauhukumu uislamu inakubidi urudi katika misingi ya uislamu ya namna ya kuielewa aya husika unaielewa kwa namna gani ? Uislamu unasema Qur'an inatafsiriwa kwa nyezo tatu:

1) Qur'an bi Qur'an
2)Qur'an bi Sunna
3)Qur'an bi Swahaba

Tuambie wewe umetafsiri kwa namna gani?
----------------------------

Halafu tukusaidie: Jini si jina la kiumbe mmoja. Jini ni neno la uainishaji linalomaanisha viumbe hai kwenye kundi wenye sifa zinazofanana. Hawa viumbe hai kwa ujumla ndiyo wanaitwa jini/majini.

Ili urudi uelewe aliyekusudiwa ni jini yupi inakubidi urudi kwenye tafsiri na wala siyo ulichoelewa wewe.
Maelezo marefu sana.
Na sijaona point ya kuchukua.

Maana hujajibu hoja.
Umejikita kujua mtoa hoja katumia vigezo gan.

Hebu jikite kwenye hoja.
 
Naona maandiko umekosa unaamua kupotosha kwa andiko hilo
Ok mimi na wewe sasa tuthibitishe na ni mkweli kati yetu kila mtu alete andiko linalosapoti anachokisema yaani wewe ulete andiko lingine ili kuonyesha kuwa aya hii ilikuwa inamtaja adui wa Jibril kama mteremsha Qur’an na mimi pia nilete andiko kuthibitisha kuwa aya imemtaja Jibril kama mshusha Qur’an
Ili tufunge mjadala
Kuna muislamu mwenzako hapa alikubali hoja yangu ...nilimuuliza kwa nini Mungu awatumii majini kama wajumbe wake kwa binadamu isipokuwa malaika na wanadamu tu?. Muislamu mwenzako akasema binadamu ndiyo kiongozi duniani ...nikamuuliza je kati ya wanadamu ni binadamu gani aliye kiongozi na mtukufu wa daraja kuliko wote, kwa mujibu wa uislamu? Bila shaka ni Muhammadi, hivyo Muhammadi ndiyo binadamu bora na kiongozi bora kuliko wote kwa mujibu wa uislamu, Sasa nikaleta AYA INAYO ONYESHA MUHAMMADI ALIKUWA NA JINI NA JINI LINAMUONGOZA KAMA MWENYEWE ALIVYO SEMA KWENYE HIYO AYA KUWA 👉JINI LANGU LINANIONGOZA KUTENDA MEMA, SWALI ? Ni nani aliye lipa mamlaka jini kumwongoza binadamu tena yule aliye mtukufu wa daraja ...kumbaka alisema Mungu hatumi majini kuwa ongoza wanadamu kwa sababu wanadamu ni viongozi duniani?....MBONA MUHAMMADI ANA SEMA JINI LAKE UMUONGOZA KUTENDA YALIYO MEMA?
 
Kuna muislamu mwenzako hapa alikubali hoja yangu ...nilimuuliza kwanini Mungu awatumii majini kama wajumbe wake kwa binadamu isipokuwa malaika tu na wanadamu ...muislamu mwebzako akasema binadamu ndiyo kiongozi duniani ...nikamuuliza je kati ya wanadamu ni nani aliye mtuk7fu wa daraja kwa mujibu wa uislamu? Bika shaka ni muhammad, hivyo muhammad ndiyo binadamu bora na kiongozi bora kuliko w9te kwa mujibu wa uislamu nikaketa AYA INAYO ONYESHA MUHAMMADI KUWA NA JINI NA JINI LINAMUONGOZA KAMA MWENYEWE ALIVYO SEMA KWENYE HIYO AYA KUWA 👉JINI LANGU LINANIONGOZA KUTENDA MEMA SWALI ? Ni nani aliye lioa mamlaka jini kumwongoza binadamu tena yule aliye mtukufu wa daraja ...kumbaka alisema mungu atumii majini kuwaongoza wanadamu kwa sababu wabadamu ni viongozi duniani ?MBONA JINI LA MUHAMMAD LINAMUONGOZA
Jibu aliyetoa mamlaka ni Allah
 
Kuna muislamu mwenzako hapa alikubali hoja yangu ...nilimuuliza kwanini Mungu awarumii majini kama wajumbe wake kwa binadamu isipokuwa malaika tu na wanadamu ...muislamu mwebzako akasema binadamu ndiyo kiongozi duniani ...nikamuuliza je kati ya wanadamu ni nani aliye mtuk7fu wa daraja kwa mujibu wa uislamu? Bika shaka ni muhammad, hivyo muhammad ndiyo binadamu bora na kiongozi bora kuliko w9te kwa mujibu wa uislamu nikaketa AYA INAYO ONYESHA MUHAMMADI KUWA NA JINI NA JINI LINAMUONGOZA KAMA MWENYEWE ALIVYO SEMA KWENYE HIYO AYA KUWA 👉JINI LANGU LINANIONGOZA KUTENDA MEMA SWALI ? Ni nani aliye lioa mamlaka jini kumwongoza binadamu tena yule aliye mtukufu wa daraja ...kumbaka alisema mungu atumii majini kuwaongoza wanadamu kwa sababu wabadamu ni viongozi duniani ?MBONA JINI LA MUHAMMAD LINAMUONGOZA
Bro una point.
Ila weka point kwa mpangilio vizur.

Kobaz weng hawajatuliza akili na uelewa hafifu.
Hivyo Hawatakuelewa ukiweka point bila msisitizo na mpangilio rahisi.
 
Bro una point.
Ila weka point kwa mpangilio vizur.

Kobaz weng hawajatuliza akili na uelewa hafifu.
Hivyo Hawatakuelewa ukiweka point bila msisitizo na mpangilio rahisi.
Najua sija panga vizuri ila wataelewa tu
 
Jibu aliyetoa mamlaka ni Allah
Kwa hiyo Allah ndiye aliye mtuma shetani jibril pangoni mbona ulikuwa unabisha kuwa siyo shetani jini lililo mtokea pangoni ? Ni Allah tu ndiye anaye tumia majini kama wajumbe wake kwa wanadamu na wahii umeletwa na adui wa Mwenyezi mungu yaani huyo ALLAH na JIBRIL
 
Maelezo marefu sana.
Na sijaona point ya kuchukua.

Maana hujajibu hoja.
Umejikita kujua mtoa hoja katumia vigezo gan.

Hebu jikite kwenye hoja.
Na hutoweza kuelewa kwa sababu wewe ni kafiri!

Na maana ya kafiri ni kuficha
Neno "kāfir" (كَافِر) kwa lugha ya Kiarabu linatokana na mzizi wa neno "kafara" (كَفَرَ) ambalo maana yake ya asili ni kufunika, kuziba, au kuficha kitu.

Kwa hiyo kilugha, kafiri ni yule anayefunika au kuficha kitu.

Katika matumizi ya kidini (kisheria/kiistilahi), neno hili linamaanisha mtu anayeficha haki au anayeifunika haki au ukweli baada ya kuujua au kuujulishwa – yaani, anayekataa ukweli anakataa imani ya kweli. Wewe unaficha ukweli kwa mlengo wako. Wewe ni kafiri.

Huwezi kuona point ya kuchukua kwa sababu wewe ni kafiri!
 
Kwa hiyo Allah ndiye aliye mtuma shetani jibril pangoni mbona ulikuwa unabisha kuwa siyo shetani jini lililo mtokea pangoni ? Ni Allah tu ndiye anaye tumia majini kama wajumbe wake kwa wanadamu na wahii umeletwa na adui wa Mwenyezi mungu yaani huyo ALLAH na JIBRIL
Una andiko gani linalothibitisha kuwa shetani ndo alimtokea Mtume Muhammad pangoni 🤣
 
Una maandiko mengine ya kusapoti hoja yako 🤣🤣🤣

Quran haikinzani.
Kwahiyo sitarajii kuona sehem wanasema tofauti.

Ni maneno ya allah na yenye mnyoofu.

La hasha. Kukiwepo na aya nyingne basi Quran itakuwa inakinzana.

Haya basi tuwekee aya nyingne tuone jinsi Quran tukufu inavyokinzana.
 
Una andiko gani linalothibitisha kuwa shetani ndo alimtokea Mtume Muhammad pangoni 🤣
SIUMESEMA WEWE MUNGU ANATUMIA MAJINI KAMA WAJUMBE ANAWATUMA...HADI KWA MUHAMMAD KAPEWA JINI NA MAANDIKO YANASEMA QUR’AN IMELETWA NA ADUI WA MWENYEZI MUNGU yaani huyo ALLAH NDIYE ALIYE LETA QUR’AN
 
Quran haikinzani.
Kwahiyo sitarajii kuona sehem wanasema tofauti.

Ni maneno ya allah na yenye mnyoofu.

La hasha. Kukiwepo na aya nyingne basi Quran itakuwa inakinzana.

Haya basi tuwekee aya nyingne tuone jinsi Quran tukufu inavyokinzana.
Hiyo aya iliyotajwa hapo tu inamtaja Jibril ila kwa vile hoja mmekosa ndo hivyo mnabadilisha 🤣

Vipi kule kwingine umeshindwa au?
Nimekuomba unionyeshe neno lenye maana ya Mwenyezi Mungu halafu na mimi nikuonyeshe neno Allah 🤣
 
Na hutoweza kuelewa kwa sababu wewe ni kafiri!

Na maana ya kafiri ni kuficha
Neno "kāfir" (كَافِر) kwa lugha ya Kiarabu linatokana na mzizi wa neno "kafara" (كَفَرَ) ambalo maana yake ya asili ni kufunika, kuziba, au kuficha kitu.

Kwa hiyo kilugha, kafiri ni yule anayefunika au kuficha kitu.

Katika matumizi ya kidini (kisheria/kiistilahi), neno hili linamaanisha mtu anayeifunika haki au ukweli baada ya kuujua au kuujulishwa – yaani, anayekataa imani ya kweli. Wewe ni kafiri.

Huwezi kuona point ya kuchukua kwa sababu wewe ni kafiri!

Hata Biblia inakuona ww ni Kafiri.

Yuda 1 :4
"Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo."

Mm sio Kafiri. Ninamuamini Yesu.
 
Achananeni na majini
Yaani mashehe kila kukicha ni kuongelea majini tu:
Mala yamejenga msikiti, mala yamsaidie mama, mala nimeoa jini, mala kuna majini mema maislamu:
Kwani Malaika sio Waislamu ?

Yaani ni majini majini majini tu:
 
Hiyo aya iliyotajwa hapo tu inamtaja Jibril ila kwa vile hoja mmekosa ndo hivyo mnabadilisha 🤣

Vipi kule kwingine umeshindwa au?
Nimekuomba unionyeshe neno lenye maana ya Mwenyezi Mungu halafu na mimi nikuonyeshe neno Allah 🤣

Nimeonyesha tofaut ya allah na mwenyezi Mungu.

Ww ukasema lile neno ni allah na sio Mungu.

Screenshot lile neno tena.
Screen shot arabic ya allah
Screen shot arabic ya Mungu.

Utaona pale neno la kiarabu lililoandikwa ni Mungu na sio allah
 
Achananeni na majini
Yaani mashehe kila kukicha ni kuongelea majini tu:
Mala yamejenga msikiti, mala yamsaidie mama, mala nimeoa jini, mala kuna majini mema maislamu:
Kwani Malaika sio Waislamu ?

Yaani ni majini majini majini tu:

Bro. Washakubali haya ya majini.

Ila wanakataa kukubali kuwa Shetan ni Muislam..
-hapo juu tumeonyesha Shetan kushusha Quran.
 
Hata Biblia inakuona ww ni Kafiri.

Yuda 1 :4
"Kwa maana kuna watu waliojiingiza kwa siri, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, makafiri, wabadilio neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi, nao humkana yeye aliye peke yake Mola, na Bwana wetu Yesu Kristo."

Mm sio Kafiri. Ninamuamini Yesu.
Katika uislamu kuna mitume 124,000

Katika hiyo mitume kuna mitume mitano inayoutwa Ulul Azm. Yaani ni heavyweight.

Nao ni
1)Nuh A.S
2)Ibrahim A.S
3)Musa A.S
4)Issa mwana wa Mariam A.S
5)Muhammad s.a.w

Nguzo za imani ni 6 katika uislamu. Nguzo ya 4 ni kuamini mitume ya Allah ambaye miongoni mwake ni masihi Issa mwana wa Mariam. Ninamwaamini Issa mwana wa Mariam kuwa ni mtume wa Mungu.

Wewe ni Kafir! Na imethibiti kwako wewe ni Kafir.
 
Toka nizaliwe kwa mala ya kwanza naona Viongozi wa Kiislamu wanakusanyika kuyaomba Majini ili yawasaidie:

Kuna andiko linalosema muyaombe majini ?

Hiyo sio Shirki mnayoilopoka lopoka humu ?

Yaani Allah kashindwa mnayageukia majini hadharani ili yamsaidie mama:

Au Allah ndio Jini mkuu ila mnaficha ficha:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom