Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Kwasababu huna majibu
HOJA zangu zipo wazii.wajumbe wanasoma na KUJIFUNZA.sina zaidi ya hayo kwenye hii mada.
Ila acha nibaki Kwa ALLAH huko Kwa YAHWEH anapopigwa na kiumbe wake HAPANA.
 
Sasa utakuwa na ushahidi gani kama alikuwa Jini?
Unajua mimi ninaujua uislamu kuliko mtu yoyote sijawai kukuonyesheni ujuzi niliona haya ninayo wacharenji hapa ni cha mtoto na naujua ukristo kupita kiasi ndiyo maana nawaona wakristo wanao acha ukristo na kuwa waislamu kuwa ni wapumbavu na waislamu wanao acha uislamu na kuwa Wakristo pia ni wapumbavu...hakuna heri yoyote ndani ya uislamu wala ukristo wa sasa ni upotovu na upumbavu...
Ninao uwezo wakukuelezea kuwa Muhammad alikutana na shetani ibilisi pangoni siyo malaika...tatizo lenu waislamu huwa amjibugi maswali yangu ivyo naishia chini katika kuwafunulieni mambo makuu ndani ya uislamu ambayo nyinyi amyajui wala amjawai kujiuliza
 
HOJA zangu zipo wazii.wajumbe wanasoma na KUJIFUNZA.sina zaidi ya hayo kwenye hii mada.
Ila acha nibaki Kwa ALLAH huko Kwa YAHWEH anapopigwa na kiumbe wake HAPANA.
Maana ya Israel ni ipi ? Je hilo neno kwenye Quran mmeiba wapi had hamjui maana yake ?

By the way Allah ni mungu wa wakureshi
 
😃😃😃..
Hivi waarabu wote ni waislam?
Jibu unachoulizwa Mzee,

Neno Israel ,Zaburi ,Injili ndani ya Uislamu yana maana gani ?

Nikisema uislamu ni dini ya kupangwa na kuiba vya watu nitakuwa NAKOSEA?
 
Umeleta hoja nzuri sana za mtu mwenye uelewa Mkubwa. Na kiukweli Muhamad alitokewa na Jin ila hapo hawataki kukubali. Wanasema Malaika. Ila ukiwasema majin hawataki wasemwe vibaya umenipa jambo moja zuri sana la kuanzishia mjadala.
Waislamu awana akili ya kupambanua mambo ...ndiyo maana huwa awajagi kunijibu
 
Jibu unachoulizwa Mzee,

Neno Israel ,Zaburi ,Injili ndani ya Uislamu yana maana gani ?

Nikisema uislamu ni dini ya kupangwa na kuiba vya watu nitakuwa NAKOSEA?
😃😃😃.mbona wayahudi wameiba kitabu cha taurati wakafanya cha kwao.kwani Musa alikuwa myahudi?
Kwanini wasichukue injili ya ndugu yao yesu?
 
Jibu unachoulizwa Mzee,

Neno Israel ,Zaburi ,Injili ndani ya Uislamu yana maana gani ?

Nikisema uislamu ni dini ya kupangwa na kuiba vya watu nitakuwa NAKOSEA?
Israel ni nabii yakobo
Zaburi kapewa mtume daud
Injili kapewa mtume ISSA.
Alafu quran sio mashairi au insha ijibu unavyotaka wewe vinginevyo kutakuwa kitabu cha shigongo
 
Sasa utakuwa na ushahidi gani kama alikuwa Jini?
Muhammad hadi anaondoka pangoni alikokuwa kwa ajili ya ibada akutambua kuwa ni kitu chema ndiyo kimemtokea yeye mwenyewe alisema ni jini au shetani ...malaika akitumwa na Mungu uja kwa unyoofu na kuwasilisha ujumbe ulionyooka kabisa ...pia mtu mchamungu mtukufu wa daraja awezi kutishwa na shetani wala jini wala mchawi ...muhammad katoka pangoni kama kichaa kwa hofu ...muhammad nanapewa taarifa ya kiumbe kilicho mtokea na mtu mpuuzi na mkewe kuwa wewe ni mtume na huyo kiumbe ni jibili .
 
😃😃😃.mbona wayahudi wameiba kitabu cha taurati wakafanya cha kwao.kwani Musa alikuwa myahudi?
Kwanini wasichukue injili ya ndugu yao yesu?
Wayahudi ni waisrael pia tumia akili..yesu naye ni muisraeli pia ..wasamalia pia ni waisrael walio tawanyika na kuchanganya damu na mataifa mengine
 
Wayahudi ni waisrael pia tumia akili..yesu naye ni muisraeli pia ..wasamalia pia ni waisrael walio tawanyika na kuchanganya damu na mataifa mengine
Ila sio Kila muisrael ni myahudi?
 
😃😃😃.mbona wayahudi wameiba kitabu cha taurati wakafanya cha kwao.kwani Musa alikuwa myahudi?
Kwanini wasichukue injili ya ndugu yao yesu?
Musa ni uzao wa Lawi moja ya mtoto wa Yakobo, hao ni familia inayounda makabila 12 ,

Torati ilitolewa kwa Wana wa Israel (Yuda, Lawi, Reuben ,Had,asheri ,n.k)

Hili swali huwez kukwepa kijinga hivo


Nyie waislamu ndio maana dini yenu imekaa kinchongo sana ,ona sasa

Hamjui maana ya Zaburi ,Torah, Injili , Israel,n.k

Wenzenu tunajua kila kitu kwa details na maana yake ,Hadi majina ya manabii yana maana yake ,

Jina la Yesu tu linamaana yake ambayo ni MUNGU ANAOKOA


Kama kweli uislamu dini ya haki, nijibu maana ya NENO ZABURI
 
Wayahudi ni waisrael pia tumia akili..yesu naye ni muisraeli pia ..wasamalia pia ni waisrael walio tawanyika na kuchanganya damu na mataifa mengine
Anajua ila anajizima data ,makabila yote ya Wana wa Yakobo wanaitwa pia wayahudi ,baada ya kurudi utumwani babel wote waliitwa hivo

Huyu anakwepa swali maana nimemuuliza ,Neno Israel kwenye uislamu wanajua maana yake au Huwa wanaropoka tu


Neno ZABURI wanajua maana yake au wanaropoka tu
 
Musa ni uzao wa Lawi moja ya mtoto wa Yakobo, hao ni familia inayounda makabila 12 ,

Torati ilitolewa kwa Wana wa Israel (Yuda, Lawi, Reuben ,Had,asheri ,n.k)

Hili swali huwez kukwepa kijinga hivo


Nyie waislamu ndio maana dini yenu imekaa kinchongo sana ,ona sasa

Hamjui maana ya Zaburi ,Torah, Injili , Israel,n.k

Wenzenu tunajua kila kitu kwa details na maana yake ,Hadi majina ya manabii yana maana yake ,

Jina la Yesu tu linamaana yake ambayo ni MUNGU ANAOKOA


Kama kweli uislamu dini ya haki, nijibu maana ya NENO ZABURI
unajua kwanini wayahudi wanalikataa agano la kale na yesu japo ni ndugu yao?
 
Ila sio Kila muisrael ni myahudi?
Ni kweli wayahudi ni Waisraeli walibuni jina ilo kutokana na kiburi cha DINI, ili kuwa bagua wenzao Waisraeli...hivyo UYAHUDI NI JINA OVU MBELE YA MUNGU
 
Musa nae ni myahudi?
Musa ni myahudi ,watoto wote wa Yakobo au Israel waliitwa Wayahudi

Ushahidi nakupa maandiko

Ezra 4:12
"Na liwe wazi kwa mfalme, ya kwamba Wayahudi waliokwea kwetu, kutoka kwako, wamefika Yerusalemu; wanajenga tena mji huu wa uasi, tena mbaya, na wanakamilisha kuta zake, na kuondoa misingi yake."

Hapa Ezra anawaita wote Wayahudi, hata kama walikuwa wa makabila tofauti, kwa sababu waliokuwa wakirudi walihesabiwa kama taifa moja.

Ezra 5:1
"Ndipo manabii Hagai nabii, na Zekaria mwana wa Ido, wakatabiri kwa Wayahudi waliokuwako katika Yuda na Yerusalemu, kwa jina la Mungu wa Israeli aliyekuwa juu yao."
 
Anajua ila anajizima data ,makabila yote ya Wana wa Yakobo wanaitwa pia wayahudi ,baada ya kurudi utumwani babel wote waliitwa hivo

Huyu anakwepa swali maana nimemuuliza ,Neno Israel kwenye uislamu wanajua maana yake au Huwa wanaropoka tu


Neno ZABURI wanajua maana yake au wanaropoka tu
Wewe.utakuja kuelimika lini?..
Wayahudi huo ni ukoo uliotokana na yuda .
Kama wewe haujatokana na huo ukoo wewe sio myahudi
Ndio maana wana KOO 12.
KAMA WENGINE HAWAJATOKANA NA YUDA UNAWAJUMLISHS VIPI KWENYE UYAHUDI?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom