Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Wewe UMEKUBALI QURAN IMEIBA,sasa hivi unadandia mada NYINGINE 😂😂😂


Mitume wote wayahudi, Paulo alikuwa myahudi,

Leo Kuna Messianic Faith unawajua 😂😂


Wewe UMEKUBALI QURAN IMEIBA MANENO YA WATU,unabakije kuwa muislamu? Unajiteteaje hapa
Narudia Tena hakuna myahudi YEYOTE ANAYEMKUBALI YESU.na hata agano lipya HAWALIKIBALI.ila wapi waisrael wanaomuamini YESU.uyahudi ni Imani TOFAUTI KABISA NA UKRISTO AMBAO UNAMUAMINI YESU.WAO na Imani yao hawataki kusikia habari za yesu Wala Paulo.ELIMIKA
 
Jibu swali ,SITAKI HIZO POROJO

YESU KASEMA WOKOVU UNATOKA KWA WAYAHUDI


WEWE UNASEMA SIO NENO SAHIHI

YAANI WEWE UNAONA SAHIHI KWAMBA YESU ALIKOSEA?


HIVI KWANINI MNAPENDA UPOTOSHAJI?

KWAHIYO WEWE UNAMZIDI AKILI YESU ALIYESEMA NENO "WAYAHUDI"?
Siyo neno sahihi..... kasome maandiko ya torati Yesu atakuja wapi na ni muisraeli...jina uyahudi ni jina walilojipachika baadhi ya Waisraeli kutokana na uovu wao na ubaguzi pale taifa lilipo pasuka kutokana na wao na mfalme Sulemani kumuasi mungu...tokea hapo jina ilo likawa jina la kibaguzi dhidi ya makabila 9 ya Waisraeli...wayahudi ni kabila ya Yuda (daudi) na walawi(waliopewa dhamana ya kidini na mungu) na Benjamin..hawa ufalme ulivyo gawanyika kutokana na maovu walijibagua kwa kujihita WAYAHUDI ...Ndiyo maana yesu anajikuta ndani ya uyahudi kwa sababu ni uzawa wa daudi ...HIVYO JINA YAHUDI SIYO JINA LA KITAKATIFU NI JINA LA KIBAGUZI na yesu alijikuta ndani yake kwa kuzaliwa
 
Inatakiwa wewe unayeona tafsiri ni potofu, kwakuwa hilo neno ISRAEL lipo kwenye Quran,ni vema ukaleta maana halisi

Simple tu
ila uko too petty na unafanya cherry picking.

Kuwa na maana ya Israel kwenye Quran haimaanishi eti ndiyo kitabu cha halali au kukosekana kwake ikawa ndio ubatili.
Quran ina aya 6236 na maneno 77,430, unataka kila neno lililo humo liwe na maana yake? Je, Bible zote 99 ziko hivyo?
Hiyo siyo riwaya eti lazima kuwe na dibaji au acknowledgement, index na abbreviations
Kutokuwepo kwa maana ya Zaburi au Israel haimaanishi kuwa si kitabu halali
ni kama eti useme kwa kuwa Mwanza haijatajwa kwenye Katiba ya JMT basi katiba siyo halali

1. Israel haijatajwa kama nchi, political entity kwa sababu haikuwepo
2. Israel imetajwa kwa maana ya Bani (wazao wa) Israel, ikiwa na maana ya uzao wa Yaqub .(sisi tunaitwa Bani (wazao wa) Adam... (Quran Al Baqarah 2:47, Enyii watoto wa Israel kumbukeni neema zangu ambazo nimewapa....na As Sajdah 32:23 Tukampa Musa kitabu na kuwa mwongozo wa Watoto wa Israel)
3. Israel imetajwa kama eneo, Bait al Maqdass , Al Maidah 5:21. (enyi watu wangu, ingieni katika ardhi tukufu ambayo Allah amewaagiza,.........)
na aya nyinginezo nyingi tu

Zabur imetajwa kwa kupitia Daudi, kitabu kitakatifu , ( An-Nisa 4;163 .na tulimpa Daud Zaburi....) na Al Isra 17:55 .......na tulimpa Daud Zaburi). Hivyo inathibitisha kuwa ni kitabu alichopewa Daudi. Sasa hapo unataka maana gani zaidi

Unasema Quran ya juzi 1924 Hizo hapo chini ni manuscript ya Quran imeandikwa kwa mkono wa Caliph Uthman ipo Topkapi Palace, kasri la Sultan Mehmed II wa Ottoman Empire tangu 1490 ambalo kwa sasa limebaki kuwa eneo la makumbusho baada ya kuanguka kwa dola hilo 1920s
IMG_5711.jpg
IMG_5712.jpg
IMG_5725.jpg
 
Facts lazima ziwe na ushahidi bila hivyo ni sifuri
Quran 2:97 -98
"Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail
 
Haujui yakobo alimpiga vipi Mungu?

Malizia mstar wa 29.
"Mwanzo 32:29
[29]Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko."

-Kwanini Yakobo alitaka kujua jina la aliyekuwa ana pigana nae?.

-Kwanini aliyepigana nae akasema "umepigana na Mungu na mwanadamu na ukashinda"?

-Kwanini Binadamu amehusishwa hapo wakat tunaona hakukuwa na mtu mwingine zaid ya hao wawili tu?.
(Kwamba Yakobo kapigana na Binadamu wote na kuwashinda?)

Yakobo alipigana na Malaika wa Mungu. Na sio Mungu.
Malaika ambaye alitumwa na Mungu.

Zingatia hapa
👉👉Yakobo alikuwa ana pigania kutokea kwa jambo ambalo halikuwa Linapaswa kutokea.

Ila alilazimisha na kumuomba Mungu litokee.
Kumbuka alikuwa anajiandaa kupigana na Esau. (Kaka yake)
Na Yakobo aliona vita atashindwa.

Isaka aliwazaa Esau (mtoto wa kwanza )na Yakobo.
Yakobo alijifanya ni Esau na kuiba baraka za kaka yake.

Kwasababu aliyekuwa anatakiwa kubarikiwa ni Esau.

Kwahiyo Yakobo alilazimisha kubarikiwa na baba yake (akafanikiwa) na pia alilazimisha Mungu ambariki yeye kama ambavyo Mungu aliahidi kwa babu yake Ibrahim(na akafanikiwa)

Ndio maana ya huu mstari kuwa
"Umepigana vita na Mungu na binadamu na ukawashinda".

Na sio kama Alipigana vita.
Hapana sio vita .
Alikuwa anapigania Kubarikiwa.
 
Pia mwanamke mmoja wa Kaanani alimlazimisha Yesu amponye Binti yake.
Yesu alikataa ila baadae alivyoona Mwanamke yule kinganganizi.
Akamponya Binti wa yule Mama.

Kwahiyo tunaweza kusema Yule Mwanamke alimshinda Yesu.

Mathayo 15:24
“Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli
25 Naye akaja akamsujudia, akisema Bwana, unisaidie.
26 Akajibu, akasema, Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa.
27 Akasema, Ndiyo, Bwana, lakini hata mbwa hula makombo yaangukayo mezani pa bwana zao.
28 Ndipo Yesu akajibu, akamwambia, Mama, imani yako ni kubwa; na iwe kwako kama utakavyo. Akapona binti yake tangu saa ile”.
 
Malizia mstar wa 29.
"Mwanzo 32:29
[29]Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko."

-Kwanini Yakobo alitaka kujua jina la aliyekuwa ana pigana nae?.

-Kwanini aliyepigana nae akasema "umepigana na Mungu na mwanadamu na ukashinda"?

-Kwanini Binadamu amehusishwa hapo wakat tunaona hakukuwa na mtu mwingine zaid ya hao wawili tu?.
(Kwamba Yakobo kapigana na Binadamu wote na kuwashinda?)

Yakobo alipigana na Malaika wa Mungu. Na sio Mungu.
Malaika ambaye alitumwa na Mungu.

Zingatia hapa
👉👉Yakobo alikuwa ana pigania kutokea kwa jambo ambalo halikuwa Linapaswa kutokea.

Ila alilazimisha na kumuomba Mungu litokee.
Kumbuka alikuwa anajiandaa kupigana na Esau. (Kaka yake)
Na Yakobo aliona vita atashindwa.

Isaka aliwazaa Esau (mtoto wa kwanza )na Yakobo.
Yakobo alijifanya ni Esau na kuiba baraka za kaka yake.

Kwasababu aliyekuwa anatakiwa kubarikiwa ni Esau.

Kwahiyo Yakobo alilazimisha kubarikiwa na baba yake (akafanikiwa) na pia alilazimisha Mungu ambariki yeye kama ambavyo Mungu aliahidi kwa babu yake Ibrahim(na akafanikiwa)

Ndio maana ya huu mstari kuwa
"Umepigana vita na Mungu na binadamu na ukawashinda".

Na sio kama Alipigana vita.
Hapana sio vita .
Alikuwa anapigania Kubarikiwa.
Maana ya israel ni ALIYEPIGANA NA MUNGU AKASHINDA.
Unasemaje alipigana na malaika🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
 
Ulete tu na andiko linalosema kuwa yule aliyemuona Mtume mapangoni alikuwa ni jini
Quran 2:97 -98
"Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail adriz FaizaFoxy Covax Malaria 2 Jagina
 
Quran 2:97 -98
"Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail adriz FaizaFoxy Covax Malaria 2 Jagina
Bado hujalipata tafuta sana 🤣
 
Maana ya israel ni ALIYEPIGANA NA MUNGU AKASHINDA.
Unasemaje alipigana na malaika🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.

Ni Malaika wa Mungu.
Mwanzo 32:24
[24]Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.

Zingatia neno "mtu"
 
Quran 2:97 -98
"Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail adriz FaizaFoxy Covax Malaria 2 Jagina
Hapo yeye inamrejea Jibril
Lete andiko linalomtambua kama yule wa pangoni alikuwa ni jini
 
Mwanzo 32:29
[29]Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko."

Zingatia neno "Akambariki"

Ambalo Yakobo alisema hatamuachia hadi abarikiwe.

Na Yakobo alivyokuwa kinganganizi ndio yule mtu akasema "umeshindana na Mungu na wanadamu na ukawashinda".

Refer na post ya juu kwann Yakobo kawashind Binadamu na Mungu kwenye (Yakobo)alivyotaka Kubarikiwa.
 
Soma kwa akili 🙄🙄🙄 adui wa Mwenyezi Mungu ndiye aliyekuwa anamjia muhammad na kumpa muongozo
Acha kupotosha hapo wayahudi wanaambiwa kama wao wanamchukia Jibril basi yeye ndo alimteremshia Mtume Muhammad Qur’an
 
Acha kupotosha hapo wayahudi wanaambiwa kama wao wanamchukia Jibril basi yeye ndo alimteremshia Mtume Muhammad Qur’an
Kwann Wayahudi wamchukie Jibril?.
Kwamba wayahudi wanaona Jibril kuwa ni adui yao kiaje?.
Wayahudi wanamjua Jibril?.

Kumbuka Mohamed alikuwa Madina na Makkah na sio Uyahudini.

Haya ww unasema adui wa Jibril ni Wayahudi.

(Ngoja nijaribu kukubaliana na ww)

Ila sasa Huyo adui (myahudi) kwenye kukubali hii hoja anatakiwa awe adui pia na hawa👇👇👇.

Quran 2:98
"Aliye kuwa adui wa Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Mitume wake na Jibril na Mikail, basi hakika Mwenyezi Mungu ni adui wa makafiri."

Je Wayahudi ni maadui wa Mwenyez Mungu au mitume. Au Mikael?.
Jibu ni hapana.

Kwahiyo Bro Lwiva .
Quran imeshushwa na shetan.
Aliyemtokea Mtume pangoni ni Shetan.
Hakuna shaka kwenye hili.

Maana shetan ndio adui wa hao wote.
Shetani ni adui.
Quran 2:36
Shetani ni adui aliye wazi.
Quran 2:208
Shetani ni adui aliye dhaahiri.
Quran 36:60
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom