Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Haya nipe maana ya Neno ISRAEL kwa mujibu wa Quran

Ukinipa Leo nakuwa muislamu na nitaenda mecca kubusu jiwe jeusi
Hauwezi kuacha kuwa muislam eti Kwa sababu kwenye Quran hakuna maana ya Jina Israel.hayo yatakuwa matatizo yako.
 
madjin yalisilimu na kuupenda Uislamu kuwa huo sasa ndo unamuabudu mola wao. Na toka siku hiyo waislamu wakawa na udugu nayo wa kudumu majini. Wanaswali pamoja na kuoana.
 
Hauwezi kuacha kuwa muislam eti Kwa sababu kwenye Quran hakuna maana ya Jina Israel.hayo yatakuwa matatizo yako.
Basi niambie nijue maana ya hilo neno , au mliiba bila kujua maana yake

Basi nakubadilishia swali ,nini maana ya neno ZABURI
 
Ewaaa!sasa Quran haijatoa tafsir ya Jina Israel.
Ila Kwa mujibu wa wanazuoni wa kiislam wametafsri kama "MJA WA MWENYEZI MUNGU"
ALAFU Quran SIO kama kamusi.yaani imtaje Muhammad alafu ianze Muhammad maana yake hivi hivi na hivi HAPANAAA Quran haipo hivyo.
MJA WA MWENYEZI MUNGU kwa tafsiri ya wapi au asili ya wapi?

Wanazuoni ni wahuni kama wahuni wengine

Elezea vzr ,Neno Israel kwenye Quran maana yake nini ,kila kitu kina asili

MJA WA MWENYEZI MUNGU kwa lugha au asili ipi


ISRAEL NI muunganiko wa maneno mawili


ISR...NA EL ..
 
MJA WA MWENYEZI MUNGU kwa tafsiri ya wapi au asili ya wapi?

Wanazuoni ni wahuni kama wahuni wengine

Elezea vzr ,Neno Israel kwenye Quran maana yake nini ,kila kitu kina asili

MJA WA MWENYEZI MUNGU kwa lugha au asili ipi


ISRAEL NI muunganiko wa maneno mawili


ISR...NA EL ..
ISRA maana yake ni MJA na el maana yake ni Mungu.Sasa unapobisha na kutaka hyo maana itoke kwenye quran.utakuwa una matatizo ya akili.Quran sio NGONJERA nilishakwambia muda tu.sasa sioni point yako ya msingi zaidi ya kubishana
 
Basi niambie nijue maana ya hilo neno , au mliiba bila kujua maana yake

Basi nakubadilishia swali ,nini maana ya neno ZABURI
Si nilikwambia ni kitabu alichopewa mtume daud?unataka maana gani nyingine?unauliza maswali ya kitoto sana.
 
ISRA maana yake ni MJA na el maana yake ni Mungu.Sasa unapobisha na kutaka hyo maana itoke kwenye quran.utakuwa una matatizo ya akili.Quran sio NGONJERA nilishakwambia muda tu.sasa sioni point yako ya msingi zaidi ya kubishana
ISRA maana yake MJA kwa lugha gani ?ACHA UPOTOSHAJI

El ni Mungu kwa lugha gani

“ISRA” nakusaidia maana yake ni kusonga mbele, kushindana, au kufanya juhudi na

“EL” = Mungu. Hivyo “Israel” linamaanisha “Mtu aliyesonga mbele/kushindana na Mungu
 
Si nilikwambia ni kitabu alichopewa mtume daud?unataka maana gani nyingine?unauliza maswali ya kitoto sana.
Nauliza Neno Zaburi ,usijitoe fahamu,

Neno ZABURI (תְּהִלִּים Tehillim kwa Kiebrania) linatokana na mzizi wa Kiebrania “HLL” (הלל),

Sasa nataka maana yeke hilo neno kwenye uislamu mnalijuaje ,au ndio kama kawaida KUIBA MAJINA ,MANENO YA WATU bila kujua misingi yake
 
Nauliza Neno Zaburi ,usijitoe fahamu,

Neno ZABURI (תְּהִלִּים Tehillim kwa Kiebrania) linatokana na mzizi wa Kiebrania “HLL” (הלל),

Sasa nataka maana yeke hilo neno kwenye uislamu mnalijuaje ,au ndio kama kawaida KUIBA MAJINA ,MANENO YA WATU bila kujua misingi yake
Sasa wewe hapo.umetoa maana ya zaburi?
 
ISRA maana yake MJA kwa lugha gani ?ACHA UPOTOSHAJI

El ni Mungu kwa lugha gani

“ISRA” nakusaidia maana yake ni kusonga mbele, kushindana, au kufanya juhudi na

“EL” = Mungu. Hivyo “Israel” linamaanisha “Mtu aliyesonga mbele/kushindana na Mungu
MUNGU UNASHINDANE NAE VIPI?
 
ISRA maana yake MJA kwa lugha gani ?ACHA UPOTOSHAJI

El ni Mungu kwa lugha gani

“ISRA” nakusaidia maana yake ni kusonga mbele, kushindana, au kufanya juhudi na

“EL” = Mungu. Hivyo “Israel” linamaanisha “Mtu aliyesonga mbele/kushindana na Mungu
Mwanzo 32:25 “Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.

26 Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.

27 Akamwuliza, Jina lako n’nani? Akasema, Yakobo.

28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda”.

Mungu alichwapwa na MJA WAKE MPAKA AKAOMBA KUKIMBIA🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
MUNGU UNASHINDANE NAE VIPI?
Usikimbie mbele,

Jibu unachoulizwa, NENO ISREL unasema ni MJA wa MWENYEZI MUNGU,

Kwa tafsiri ipi ya lugha gani

ISRA unasema ni MJA ,kwa lugha gani nikukamate hapa

El ni Mungu kwa lugha ya kihebrania/kiyahudi

Hiyo ISRA ni MJA kwa lugha ipi ?

Jina moja Lina mizizi ya lugha ngapi?😂😂😂
 
Mwanzo 32:25 “Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.

26 Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.

27 Akamwuliza, Jina lako n’nani? Akasema, Yakobo.

28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda”.

Mungu alichwapwa na MJA WAKE MPAKA AKAOMBA KUKIMBIA🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ISRA maana yake MJA kwa lugha gani ?ACHA UPOTOSHAJI

Usikimbie mbele nipo na wewe hapa ,nataka kukuonesha jinsi uislamu ulivyo ni dini ya juzi na ya mchongo ,ujue kwanini Sisi tumeiacha
 
ISRA maana yake MJA kwa lugha gani ?ACHA UPOTOSHAJI

Usikimbie mbele nipo na wewe hapa ,nataka kukuonesha jinsi uislamu ulivyo ni dini ya juzi na ya mchongo ,ujue kwanini Sisi tumeiacha
Kwa hyo wewe unaona ni sahihi tafsiri ya biblia inayosema ALIYEMPIGA MUNGU AKASHINDA?
 
Usikimbie mbele,

Jibu unachoulizwa, NENO ISREL unasema ni MJA wa MWENYEZI MUNGU,

Kwa tafsiri ipi ya lugha gani

ISRA unasema ni MJA ,kwa lugha gani nikukamate hapa

El ni Mungu kwa lugha ya kihebrania/kiyahudi

Hiyo ISRA ni MJA kwa lugha ipi ?

Jina moja Lina mizizi ya lugha ngapi?😂😂😂
Sawa sio MJA WA MUNGU.
NIAMBIE SASA NI SAHIHI HYO TAFSIRI YA BIBLIA KWAMBA YAKOBO ALIMPIGA MUNGU AKASHINDA?
 
Kwa hyo wewe unaona ni sahihi tafsiri ya biblia inayosema ALIYEMPIGA MUNGU AKASHINDA?
Hiyo tafsiri Ina marefu na mapana yake

Kwakuwa Quran mnasema imekamilika na uislamu ni dini ya haki

Naomba nipe maana ya maneno haya ndani ya Quran

Israel na Zaburi

Au Quran imeyaweka haijui maana yake?😂😂
 
Sawa sio MJA WA MUNGU.
NIAMBIE SASA NI SAHIHI HYO TAFSIRI YA BIBLIA KWAMBA YAKOBO ALIMPIGA MUNGU AKASHINDA?
Kwahiyo umekiri kwanza uliongopa ?

Ukikubali sasa nitakwambia ujue kwanini tuliuacha uislamu sababu ya UPOTOSHAJI kama huu

Kwanza unakubali Quran Ina maneno kama ISRAEL,ZABURI, N.K na haijui maana na misingi yake?
 
Hiyo tafsiri Ina marefu na mapana yake

Kwakuwa Quran mnasema imekamilika na uislamu ni dini ya haki

Naomba nipe maana ya maneno haya ndani ya Quran

Israel na Zaburi

Au Quran imeyaweka haijui maana yake?😂😂
Hapanaaaaa hakuna marefu Wala mapana.NI TAFSIRI SAHIHI KWAMBA YAKOBO ALIMPIGA MUNGU AKASHINDA NDO MAAANA YA ISRAEL?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom