Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Mkishiba na kuanza kujamba hovyo mnakuja na hoja za kijinga Leta hicho kitabu halafu unasoma hiyo Noval yenu vzr

Haya nenda kaisome.

Suratil Ahqaaf aya ya 29 mpaka 32,
Au Quran 46 : 29-32

]وَإِذْ صَرَفْنَا إِلَيْكَ نَفَرًا مِنْ الْجِنِّ يَسْتَمِعُونَ الْقُرْآن فَلَمَّاحَضَرُوهُ قَالُوا أَنْصِتُوا فَلَمَّا قُضِيَ وَلَّوْا إِلَى قَوْمِهِمْ مُنْذِرِينَ * قَالُوا يَا قَوْمَنَا إِنَّا سَمِعْنَا كِتَابًا أُنْزِلَ مِنْ بَعْدِ مُوسَى مُصَدِّقًا لِمَا بَيْنَ يَدَيْهِ يَهْدِي إِلَى الْحَقِّ وَإِلَى طَرِيقٍ مُسْتَقِيمٍ * يَا قَوْمَنَا أَجِيبُوا دَاعِي اللَّهِ وَآمِنُوا بِهِ يَغْفِرْ لَكُمْ مِنْ ذُنُوبِكُمْ وَيُجِرْكُمْ مِنْ عَذَابٍ أَلِيمٍ * وَمَنْ لا يُجِبْ دَاعِي اللَّهِ فَلَيْسَ بِمُعْجِزٍ فِي الأرْضِ وَلَيْسَ لَهُ مِنْ دُونِهِ أَولِيَاءُ أُوْلَئِكَ فِي ضَلالٍ مُبِينٍ[

Maana yake,
Na (wakumbushe) wakati tulipowaleta kundi la Majini kuja kwako kusikiliza Qurani. Basi walipoihudhuria walisema (kuambiana): “Nyamazeni! (Msikilize maneno ya Mwenyezi Mungu)” Na ilipokwisha somwa walirudi kwa jamaa zao kwenda kuwaonya. Wakasema “Enyi watu wetu! Sisi tumesikia Kitabu kilichoteremshwa baada ya (Nabii) Musa,

kinachosadikisha yaliyokuwa kabla yake na kinachoongoza kwenye haki na kwenye njia iliyonyooka. Enyi kaumu yetu! Muitikieni Mlingani, (Muitaji) wa Mwenyezi Mungu na muaminini, atakusameheni (Mwenyezi Mungu) dhambi zenu na atakukingeni na adhabu iumizayo.

Na wasiomuitikia Muitaji wa Mwenyezi Mungu, basi hao hawatamshinda (asiwapate) hapa katika ardhi, wala hawatakuwa na walinzi mbele Yake. Hao wamo katika upotofu ulio dhahiri.”
 
Shetani ni sifa ya uasi. Sifa hii wanayo binadamu na Majini

Shetani mkuu ni Ibilisi, huyu ameshalaaniwa milele, hawezi kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu tena na hawezi kusamehewa.

Ila mashetani wengine wa kijini na watu hao wakibadili njia zao wakampokea ALLAH, wakatubu, wakafanya mambo ya heri basi hao Mwenyezi Mungu atawasamehe.
 
Bro umeelewa hiyo aya vzr ama mambo ya Roho mtakatifu yamekupoteza ndo maana mnapuliza ⛽️ gas
enyi wagalatia msio na akili ni nan amewaroga “

😂😂😂😂😂 bro tuko kwenye kutoa hoja kuwa Quran ni ya Kobaz, majini na mashetani.
 
Bro Chizi Maarifa , hiv unajua hata Kitimoto na bia Muislam anakula tu na hakuna dhambi.

Kitimoto ikiwa ni dharula.
Bia atumie akili.

Quran 2:173
"Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilicho tajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu.

Lakini aliye fikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu."

Na
Quran 16:67
"Na kutokana na matunda ya mitende na mizabibu mnatengeneza ulevi na riziki nzuri. Hakika katika hayo ipo Ishara kwa wanao tumia akili."

Kwahiyo kobaz wanaotumia Kitimoto na Bia Wanafuata Quran tukufu.
 
Kwahiyo ibilisi ni mwisilam?
alikuwa miongoni mwa majini.
Baadae akaasi .alipoambiwa amsujudie Adam akakataa akasema yeye kaumbwa na moto na Adam kaumbwa na udongo.ndipo Mungu akamlaani ibilisi na kuwa jini muovu.
Kabla ya kuasi inasemekana ibilisi alikuwa jini mwema na alikuwa anafanya ibada kama malaika
 
alikuwa miongoni mwa majini.
Baadae akaasi .alipoambiwa amsujudie Adam akakataa akasema yeye kaumbwa na moto na Adam kaumbwa na udongo.ndipo Mungu akamlaani ibilisi na kuwa jini muovu.
Kabla ya kuasi inasemekana ibilisi alikuwa jini mwema na alikuwa anafanya ibada kama malaika

Jibu swali au ukae kimya.

Shetani ni Muislam?.

Kabla ya kujibu. Soma
Quran 18:50
"Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu."

Msisitizo weka hapo waliposema "YEYE ALIKUWA MIONGONI MWA MAJINI".

Huko nyuma tumeona majini yamesomewa Quran ya yakawa Waislam.
 
Jibu swali au ukae kimya.

Shetani ni Muislam?.

Kabla ya kujibu. Soma
Quran 18:50
"Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Walimsjudia isipo kuwa Iblisi. Yeye alikuwa miongoni mwa majini, na akavunja amri ya Mola wake Mlezi. Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu."

Msisitizo weka hapo waliposema "YEYE ALIKUWA MIONGONI MWA MAJINI".

Huko nyuma tumeona majini yamesomewa Quran ya yakawa Waislam.
Wapo majini wema na wabaya.
Unataka kusema nini?
 
alikuwa miongoni mwa majini.
Baadae akaasi .alipoambiwa amsujudie Adam akakataa akasema yeye kaumbwa na moto na Adam kaumbwa na udongo.ndipo Mungu akamlaani ibilisi na kuwa jini muovu.
Kabla ya kuasi inasemekana ibilisi alikuwa jini mwema na alikuwa anafanya ibada kama malaika
HAKUNA JINI MWEMA
MUNGU - MALAIKA
SHETANI - MAJINI
 
Majini ni majini hakuna wema. Huo ni uongo. Na shetani hata afanyeje haji samehewa na Mungu. Yeye ndo wale malaika walioasi alitupwa nao ndo hao wakawa majini. Hawawezi kuja kuwa wema machoni pa Mungu.
Ibilisi hakuwa malaika.
Malaika waliumbwa Kwa Nuru,majini ambapo na ibilisi yupo wameumbwa Kwa moto na Adam alikuwa Kwa udongo.
 
IMG_0091.jpeg
 
HAKUNA JINI MWEMA
MUNGU - MALAIKA
SHETANI - MAJINI
Inavyosemekana Kabla adamu hajaumbwa majini walishaumbwa .
Na wakaishi Duniani ila walifanya maovu na uasi Mungu akatuma malaika kwenda kuangamiza hao majini .katika kuangamiza alikuwepo mtoto wa jini ambapo malaika walimuonea huruma na kumuomba Mungu wachukue wakaishi nae mbinguni.mungu mwanzo aliwakatalia ila walimuomba sana akawaambia Mimi najua msichokijua.ni kisa kirefu kidogo
 
Ibilisi hakuwa malaika.
Malaika waliumbwa Kwa Nuru,majini ambapo na ibilisi yupo wameumbwa Kwa moto na Adam alikuwa Kwa udongo.

Hebu niletee aya ya Quran inayosema
Hii ya Ibilisi kuumbwa kwa moto.

Alaf urudie kusoma Quran 18:50.
Msisitizo weka pale Allah aliposema
"Na tulipowaambia Malaika, msujudie Adam....

Alaf Shetan akakataa..
" hapa shetan amehusikaje?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom