tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,440
hujaelewa mtoa post anamaanisha nini? Serikali kupitia TRA iliutangazia umma kwamba Sahara Media wanadaiwa shs 4.5b malimbikizo ya kodi hivyo wanafungiwa hadi walipe. Kwa mwenye akili timamu anayejitambua lazima ahoji/ajihoji mbona walewale hawajatangaza kwamba deni limelipwa lote au kiasi gani au kuna makubaliano gani. Hivi wewe hutaki kujua hili? Kujiamini kulekule walipotangaza kufungia, pia watangaze kuifungulia na sababu waitajeKuna watu mmeumia sana sahara kurejea hewani mtakufa na vijiba vya roho mbaya watu tulikuwa tumekoswa radio ya kusikiliza vipindi moto moto
Ndiyo iko hewani
Mbongo mkuu ni nomaKumbe watu mnaangalia Star tv lakini kusema itakufa baada ya kumrusha Bashite ilikua ni kick tu
Ndo umejenga hoja hivo?Unajuwa maana ya "kujitambua"? Basi hicho ndo ambacho wakikosa? Walonacho huweza kujenga hoja.
Bado hawajurudi hewaniBaada ya kufungiwa na TCRA takribani wiki mbili zilizopita kwa ukwepaji wa kodi sasa vyombo vya utanfangazaji vya Sahara media ([emoji93] tv, Radio free Africa na KISS FM RADIO) Usiku huu vimerudi angani mubashahara!!
Ni Imani yangu watakuwa wameweka Sawa mambo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Point mkuuhujaelewa mtoa post anamaanisha nini? Serikali kupitia TRA iliutangazia umma kwamba Sahara Media wanadaiwa shs 4.5b malimbikizo ya kodi hivyo wanafungiwa hadi walipe. Kwa mwenye akili timamu anayejitambua lazima ahoji/ajihoji mbona walewale hawajatangaza kwamba deni limelipwa lote au kiasi gani au kuna makubaliano gani. Hivi wewe hutaki kujua hili? Kujiamini kulekule walipotangaza kufungia, pia watangaze kuifungulia na sababu waitaje
Hivi ukisoma ulichoandika mwenyewe unaelewa?Hahahahaha aliechanhanyikiwa ni huyo anaeogopa kivuli,anaogopa hata MTU kwenda kuwashukuru wapiga kura tu,anaogopa na kusema hamna ruksa kufanya siasa,amefikia anazunguka mwenyewe nchi yote lkn bado anasema Mimi nampongeza mpinzani mwenye kufanya mambo ya ccm,sasa kwa akili yako wewe mpinzani anaweza Fanya mambo ya ccm,a support mikataba ya kuuza rasilimali zetu,apite makofi kwa kila jambo la kipuuzi huyo ni mpinzani au ccm B,huyo ndio alie changanyikiwa.
Aisee ni kweli kabisa, Dialo hawezi kupata shida shida ni hawa wafanyakazi wa Sahara Group.hulka ya mwanadabu ni ubinafsi hivyo akiona mwenzake alieanzisha kitu kinakufa yeye anafurahia.....hivyo sishangai kuona hata watu wakikasirika kwanini imerudi hewani na kwa wale wapenda maendeleo kufurahia kwakua kuna watanzania wangepoteza ajira zao huku wakitegemewa na watu kibao nyuma yao.
Mkuu una maana Mange Kimambi bado anapayuka huko US kuhusu Bashite? Maana alianza kuomba michango ya MAZUZU baada ya wale wauza madawa ya kulevya kupunguza ufadhili.Utamtaka wewe na njaa zako kama hizo media, huyo mange Kimambi aliye surrender ni wa chato au wapi....au hiyo page unaona peke ako yako tu....[emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app