Makala Jr.
Member
- Jun 20, 2014
- 35
- 11
Toa hoja ww acha kurukaruka kama unaakil toa sabab za kusapot hoja hiiNaona upeo wako wa akili umefikia hapo kwenye povu la hoja za kichovu! pole
Toa hoja ww acha kurukaruka kama unaakil toa sabab za kusapot hoja hiiNaona upeo wako wa akili umefikia hapo kwenye povu la hoja za kichovu! pole
naelewa hilo mkuu ndio maana nimesema Nasibu kapewa mkataba(kandarasi) serikali imedadia treni kwa mbeleAFCON hawachagui nchi kutumbuiza ufunguzi. Kwa hiyo NASIB amechaguliwa yeye kama yeye ila kwa kuwa Taifa halina timu inayoshiriki ikabidi wadandie hapo. Hakuna jinsi!
What is cv when you are discussing issue which requires brain wat is matter is how you can defend your argument. So you want me to be scared of you since you have great cv. Nonsense!Makala jr
nimecheki cv yako na yangu humu jf ni kama mbingu na Dunia tunavyotofautiana.tuishie hapo.inatosha
i have presented my case wise people have understood.if you cant comprehend is non of my damn business imbecile.What is cv when you are discussing issue which requires brain wat is matter is how you can defend your argument. So you want me to be scared of you since you have great cv. Nonsense!
Mkuu nakubaliana na wewe,jana wakati anakabidhiwa bendera nilikuwa nimekaa na watoto wangu sebuleni,wakaniuliza mbona shuleni tumesoma kwamba bendera ya Taifa inapatikana kwenye offisi ya Rais,police,office ya mkuu mkoa,Wilaya,Bunge na mahakama na hawa ni watoto wapo darasa la nne,wakashangaa wakasema kumbe hata kumbe bendera naye Diomond inapatikana kwake? ilibibidi nichekeYou are Absolutelly right Mkuu BOB LUSE.
Ulichokiandika kina mapana yake na ni suala nyeti la kulijadili sote kwa pamoja kwa Maslahi mapana ya Jamii na hata Taifa kwa Ujumla.
Bendera ya Taifa ni Moja kati ya Nembo za Taifa.Kisheria ina taratibu zake,ie siyo kila sehemu pa kuweka Bendera ya Taifa,Zipo sehemu maalum za kupeperushwa.
Huwa napenda ukweli,Napenda usahihi na sipendi maisha ya mazoea kwenye sheria.Na sipendi mtu fulani ajione bora dhidi ya mtu mwingine.WE ARE ALL EQUAL AND NO ONE IS ABOVE THE LAW.
Mtu anashinda U-miss hapa nchini there after anakwenda kushiriki huo u-miss nje huku kakabidhiwa Bendera ya Taifa.Yaani anakwenda kutembea mbele za watu Nusu uchi kwa kigezo cha kumpata mlimbwede bora kuliko wote huku kashikilia Bendera ya Nchi ilhali kila Jamii,Kabila,Taifa ina sifa zake za kumpata mlimbwede wake.Then tukihoji tunaambiwa UHURU wa soko huria,Mara utandawazi na mambo mengine yanayofanan na hayo.Hivi kweli huu siyo Ukoloni/Utumwa mamboleo?.
Mleta mada umeuliza jambo la msingi sana.Inabidi tulijadili kwa mapana yake huku Ushabiki ukiwa pembeni kabisa kwa maslahi mapana ya Taifa.
Hapana, Diamond ni mtanzania. Anakwenda nje ya nchi, hawezi kwenda yeye kama yeye tu mkuu. Ni raia wa Tz, tena icon... hata balozi kama yupo atahitajika kulijua hilo.AFCON hawachagui nchi kutumbuiza ufunguzi. Kwa hiyo NASIB amechaguliwa yeye kama yeye ila kwa kuwa Taifa halina timu inayoshiriki ikabidi wadandie hapo. Hakuna jinsi!
pointkwani kampa akacheze mpira?
bendera ni bendera tu!
iwe ya michezo au burudani.
ndio mjifunze kuwa diamond ndio icon ya Taifa
kakabidhiwa bendera iwe fundisho kwa Taifa stars, kuwa wajitambue
maana bendera ya michezo wamepewa burudani ,kumanisha Taifa stars ni sikio LA Kufa.... ujumbe wao nadhani wameupata kiutu uzima.
kwaniniHiki kizazi cha wakata viuno na wavaaa jeans-vimodo wanaua nchi
kuzaa tu mkuuUnayoyataka wewe kama tumeshindwa tufanyeje?
chuki binafsi mkuuubaya uko wapi hapo...
kwanini
Ukawajibuje wanao? Ungewaambia anakwenda nje ya nchi kuiwakilisha nchi yetu kupitia sanaa yake ya uimbaji. Tena anaweza akaimba wimbo wa salome au kitololondo, pure utanzania hapo. Hatoiweka tu nyumbani kwake.Mkuu nakubaliana na wewe,jana wakati anakabidhiwa bendera nilikuwa nimekaa na watoto wangu sebuleni,wakaniuliza mbona shuleni tumesoma kwamba bendera ya Taifa inapatikana kwenye offisi ya Rais,police,office ya mkuu mkoa,Wilaya,Bunge na mahakama na hawa ni watoto wapo darasa la nne,wakashangaa wakasema kumbe hata kumbe bendera naye Diomond inapatikana kwake? ilibibidi nicheke