Mtumbuizaji kupewa bendera ya Taifa!

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,561
2,857
Nawasalimu wakuu,

Katika pitapita yangu leo nimeona picha Waziri NAPE akikabidhi bendera kwa ndugu yetu Diamond ambaye amepata kandarasi ya kutumbuiza kwenye Uzinduzi wa mashindano ya mpira ya AFCON.

Hivi uwakilishi tunaoutaka kama taifa ni wa Mwenzetu mmoja kutumbuiza kwa mda wa saa moja au tunahitaji timu bora itakayoshiriki kwenye medani hizo?

Waziri amefanya jitihada zipi kwamba tunapata uwakilishi wa kushiriki soka huko toka akalie kiti? pia nchi zingine zinafanya kama alichokifanya NAPE?

Ni mtizamo wangu kwamba we should aim higher, i stand to be corrected please.
 
Diamond is doing a good job, and Mr. Nape anampenda Diamond kupita wasanii wote nchini,ndo siku anatoa tuzo za Eatv ,aliomba waongeze washiriki ,ikiwa ina maana hakuwa amevutiwa na washiriki.
 
kwani kampa akacheze mpira?
bendera ni bendera tu!
iwe ya michezo au burudani.

ndio mjifunze kuwa diamond ndio icon ya Taifa
kakabidhiwa bendera iwe fundisho kwa Taifa stars, kuwa wajitambue
maana bendera ya michezo wamepewa burudani ,kumanisha Taifa stars ni sikio LA Kufa.... ujumbe wao nadhani wameupata kiutu uzima.
 
Main event pale ni mpira wa miguu.kwenda kuitangaza nchi tunatakiwa tufanye maandalizi angalau twende tukashiriki kwakuwa kiwango cha kushindana hatujakifikia.sasa kuweka matumaini yetu kwa mtu mmoja anayetumbuiza masaa machache naamini haku add value yetu katika medani za kimataifa.
 
kwani kampa akacheze mpira?
bendera ni bendera tu!
iwe ya michezo au burudani.

ndio mjifunze kuwa diamond ndio icon ya Taifa
kakabidhiwa bendera iwe fundisho kwa Taifa stars, kuwa wajitambue
maana bendera ya michezo wamepewa burudani ,kumanisha Taifa stars ni sikio LA Kufa.... ujumbe wao nadhani wameupata kiutu uzima.
hakuna doubt juu ya.uwezo wa Mondi kupeperusha bendela yetu kwenye medani ya bongofleva.lakini.main event kule ni soka.waziri hana mkakati wa kutupatia uwakilishi katika kipindi chake cha uwaziri.ameridhika na mtumbuizaji atushikie bendela yetu kwenye soka!
 
Inabidi tukubali kuwa Tanzania Bongo Fleva ndo fani ya vijana
kuliko mpira kuliko riadha kuliko chochote
Wanasiasa wetu wanatufanya hatujui kuwaza kama wao ile sehemu main event ni soccer na hatuna uwakilishi na mikakati ya kupata uwakilishi katika kipindi chake hana.angekuwa na mikakati angeona aibu kuridhika kutoa bendela ya taifa kwa tukio ambalo ni nje ya main event.
 
Nawasalimu wakuu
Katika pitapita yangu leo nimeona picha Waziri NAPE akikabidhi bendela kwa ndugu yetu Diamond ambaye amepata kandarasi ya kutumbuiza kwenye Uzinduzi wa mashindano ya mpira ya AFCON.
Hivi uwakilishi tunaoutaka kama taifa ni wa Mwenzetu mmoja kutumbuiza kwa mda wa saa moja au tunahitaji timu bora itakayoshiriki kwenye medani hizo?
Waziri amefanya jitihada zipi kwamba tunapata uwakilishi wa kushiriki soka huko toka akalie kiti? pia nchi zingine zinafanya kama alichokifanya NAPE?
Ni mtizamo wangu kwamba we should aim higher,i stand to be corrected please.
You are Absolutelly right Mkuu BOB LUSE.

Ulichokiandika kina mapana yake na ni suala nyeti la kulijadili sote kwa pamoja kwa Maslahi mapana ya Jamii na hata Taifa kwa Ujumla.

Bendera ya Taifa ni Moja kati ya Nembo za Taifa.Kisheria ina taratibu zake,ie siyo kila sehemu pa kuweka Bendera ya Taifa,Zipo sehemu maalum za kupeperushwa.

Huwa napenda ukweli,Napenda usahihi na sipendi maisha ya mazoea kwenye sheria.Na sipendi mtu fulani ajione bora dhidi ya mtu mwingine.WE ARE ALL EQUAL AND NO ONE IS ABOVE THE LAW.

Mtu anashinda U-miss hapa nchini there after anakwenda kushiriki huo u-miss nje huku kakabidhiwa Bendera ya Taifa.Yaani anakwenda kutembea mbele za watu Nusu uchi kwa kigezo cha kumpata mlimbwede bora kuliko wote huku kashikilia Bendera ya Nchi ilhali kila Jamii,Kabila,Taifa ina sifa zake za kumpata mlimbwede wake.Then tukihoji tunaambiwa UHURU wa soko huria,Mara utandawazi na mambo mengine yanayofanan na hayo.Hivi kweli huu siyo Ukoloni/Utumwa mamboleo?.

Mleta mada umeuliza jambo la msingi sana.Inabidi tulijadili kwa mapana yake huku Ushabiki ukiwa pembeni kabisa kwa maslahi mapana ya Taifa.
 
Diamond is doing a good job, and Mr. Nape anampenda Diamond kupita wasanii wote nchini,ndo siku anatoa tuzo za Eatv ,aliomba waongeze washiriki ,ikiwa ina maana hakuwa amevutiwa na washiriki.
Waziri wa michezo na wasanii anapaswa kuwapenda wote na kuwa na mikakati endelevu kwa wote.
 
You are Absolutelly right Mkuu BOB LUSE.

Ulichokiandika kina mapana yake na ni suala nyeti la kulijadili sote kwa pamoja kwa Maslahi mapana ya Jamii na hata Taifa kwa Ujumla.

Bendera ya Taifa ni Moja kati ya Nembo za Taifa.Kisheria ina taratibu zake,ie siyo kila sehemu pa kuweka Bendera ya Taifa,Zipo sehemu maalum za kupeperushwa.

Huwa napenda ukweli,Napenda usahihi na sipendi maisha ya mazoea kwenye sheria.Na sipendi mtu fulani ajione bora dhidi ya mtu mwingine.WE ARE ALL EQUAL AND NO ONE IS ABOVE THE LAW.

Mtu anashinda U-miss hapa nchini there after anakwenda kushiriki huo u-miss nje huku kakabidhiwa Bendera ya Taifa.Yaani anakwenda kutembea mbele za watu Nusu uchi kwa kigezo cha kumpata mlimbwede bora kuliko wote huku kashikilia Bendera ya Nchi ilhali kila Jamii,Kabila,Taifa ina sifa zake za kumpata mlimbwede wake.Then tukihoji tunaambiwa UHURU wa soko huria,Mara utandawazi na mambo mengine yanayofanan na hayo.Hivi kweli huu siyo Ukoloni/Utumwa mamboleo?.

Mleta mada umeuliza jambo la msingi sana.Inabidi tulijadili kwa mapana yake huku Ushabiki ukiwa pembeni kabisa kwa maslahi mapana ya Taifa.
nashukuru mkuu kwa kunielewa.iko siku bendela yetu itakabidhiwa kwa Shilole/Snura tukaishia kutangaza CHURA Medani za kimataifa.
 
Nawasalimu wakuu
Katika pitapita yangu leo nimeona picha Waziri NAPE akikabidhi bendela kwa ndugu yetu Diamond ambaye amepata kandarasi ya kutumbuiza kwenye Uzinduzi wa mashindano ya mpira ya AFCON.
Hivi uwakilishi tunaoutaka kama taifa ni wa Mwenzetu mmoja kutumbuiza kwa mda wa saa moja au tunahitaji timu bora itakayoshiriki kwenye medani hizo?
Waziri amefanya jitihada zipi kwamba tunapata uwakilishi wa kushiriki soka huko toka akalie kiti? pia nchi zingine zinafanya kama alichokifanya NAPE?
Ni mtizamo wangu kwamba we should aim higher,i stand to be corrected please.
We jinga sana si anakwenda kiwakilisha nchi ama we umeona kuna msanii mwingine wa Tanzania zaid yake apo
 
Back
Top Bottom