ArD67
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 2,817
- 2,044
Mi siupendi mziki wa dmond, siupendi mziki wa kizazi kipya kwa ujumla wake. Ila lolote lenye maslahi kwa taifa lifanyike tu, tumeshajitumbukiza kwenye uchumi wa kibepari, tena wengi pasi hata kuujua tunaushadadadia sana, lolote lifanyike. Hata wizi ufundishwe mashuleni, kwangu ubinafsi ni wizi tu wa akili.