Kati ya Simbu na Diamond, nani alistahili kukabidhiwa Bendera ya Taifa?

K M S

JF-Expert Member
Dec 18, 2016
524
424
Siku chache zilizopita tulimshudia waziri Nape akimkabidhi bendera ya taifa mwanamuziki diamond wakati akijiandaa kwenda kutumbiza kwny masshindano ya afcon wakati mwanariadha simbu akiondoka kinyonge kwenda india na kurudi shujaa na leo namwona Nape akimpongeza, nachojiuliza nani haswa alistahili kukabidhiwa benera ya Taifa
 
Siku chache zilizopita tulimshudia waziri Nape akimkabidhi bendera ya taifa mwanamuziki diamond wakati akijiandaa kwenda kutumbiza kwny masshindano ya afcon wakati mwanariadha simbu akiondoka kinyonge kwenda india na kurudi shujaa na leo namwona Nape akimpongeza, nachojiuliza nani haswa alistahili kukabidhiwa benera ya Taifa
Labda Nape anauzimikia zaidi muziki wa chibu kuliko simbu!!..
 
Wote walienda kuliwakilisha taifa ughaibuni, so wote walistahili kupewa bendera zikaonekane. Vyote ni vipaji kutoka Tanzania. Kwani si uliona hata Shakira alivyotumbuiza Afrika kusini kwenye kombe la dunia alipeperusha bendera ya nchi yake?
 
Mtanzania yeyote yule anastahili, ni bendera ya nchi sio ya mtu moja.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Back
Top Bottom