Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,064
- 18,367
unahisi akipewa hiyo bendera kwasababu amepata hiyo nafasi adhimu inamaanisha hawapendi wengine?Waziri wa michezo na wasanii anapaswa kuwapenda wote na kuwa na mikakati endelevu kwa wote.
je, diamond kupewa hiyo bendera kunazuia vipi hiyo mikakati endelevu?