Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
We kiumbe upogo?Daaahh nimepishana na gari la mshahara
We kiumbe upogo?Daaahh nimepishana na gari la mshahara
Mkuu achana na mimi ujue! Nimemind
Nipo nakuzoom tu hapa.We kiumbe upogo?
Nitajitahidi kuitafuta hiyo switchi yake iko wapi niikate kabisa.Nipo nakuzoom tu hapa.
Ila upunguze kuandika kwa ile lugha iliyokuja na mashua na akina Vasco Dagama, maana inanifanya uone sipo jamvini. Hahahaa
nyie huwa mnatumiwa hadi ya kutolea alafu mnazima simu.Kwani sisi wadada hatuko sharp mkuu? Why kiume pekee🤔
Hapo sawa, nitaimudu PGO vizuri sana. HahaaNitajitahidi kuitafuta hiyo switchi yake iko wapi niikate kabisa.
Kuna muvi nataka tuigize. Kuna watu nataka tuwaletee mapicha picha. Ntakuchek inbox.Hata zege nabeba mkuu, dili lolote tu napiga
PGO ndo nini ushaanza kuzinguaHapo sawa, nitaimudu PGO vizuri sana. Hahaa
Mkuu nimecheka Sana hii comment Yako. Nimechelewa kuiona hii lasivyo kwa magumu ninayopitia hata kama ingekuwa buku6 ningekubali chap kwa harakaOngeza elfu tano mkuu tumalize kazi