Mtoto wa kiume anaelelewa na single mother kuna uwezekano mkubwa akawa "beta male"

Kuna siku humu humu j.f kuna mama aliweka koment kwamba yeye huwa anamuogesha mtoto wake wa kiume wa miaka 11 ili awe anamchunguza marinda, :oops:

yani kitu cha kwanza hapo hivi unaogeshaje mvulana ana miaka 11 wakati mvulana huo umri tayar anakaribia balehe, hii sio sawa kabisa maana itaathiri saikolojia ya mtoto wa kiume kujiona hana mamlaka

kitu kiingine anasubiria tukio litokee alafu afanye nini??
Mimi kijana akifika miaka 7 anakoga mwenyewe ila maramoja moja namfuatilia akiwa anakoga nione anavyoona na mambo mengine ya kiume kijana wako kama ni rajali utaona ukienda kumuangalia anakoga lazima aone aibu lakini akienda mama yake haoni aibu unajua huyo ni dume haogopi jinsia ya kike
 
Acha ujinga wew fala hivi hujui kati ya watu wanaofanikiwa zaidi na kupambana zaidi duniani wametoka familia zilizogawanyika angalia at akina ronaldo bieber hata bongo mondi ni mfano afu wew fala mmoja unasema sema tu upuuzi
Hongera singomaza,nakutakia kila la heri.
 
Hell no! Absolutely no!
Naipinga hi hoja So kweli kua watt wa kiume wengi waliolelewa na mama Kuna uwezekani mkubwa kua beta males

In case you didn't know! Almost great people ever walked in this world were raised by their single mom!!!

Isack newton(her mom later got married to another man),Barack Obama, jay Z,Thomas Edison, keenu reeves,Kanye west , Leonard do caprio ,John Stewart, Nikola Tesla, etc etc etc etc
Now you tell me all these men's above do they look like beta males to you,,,,,

in short the chance is 50 it of 50 stop making excuses tafuteni pesa wakuu 😂😂



 
Watoto mchelemchele...

Ukweli kwa sasa kulea mtoto wa kiume inahitaji mpango kazi kabisa.... Madogo wamekuwa walaini sana... Wanatamani vitu vya dada zao siku hzi.... Hawana jambo kabisa...

Wanaume tunaoungua sana....unafikiri watu sampuli ya juma lokole watalea vipi watoto wao wa kiume..
 
Ukweli usemwe single maza wengi wamechangia sana kuharibika watoto hasa wakiume !

Single maza wengi huwalea watoto wa kiume kama wanawake wenzao au wanawake...

Ukweli ni kwamba mtoto wa kiume ana hitaji kuwa karibu na wajomba, wababa au wanaume wanaomzunguka kuliko kuwa na mama kila muda!

Watoto wa kiume wengi wanaharibiwa na mama zao kwa fashio iliyo ingia ya kulea mwenyewe mtoto bila kushirikisha mtu yeyote kisa baba wa mtoto haeleweki.... watoto wakiume wengi wamekuwa kama mashoga wakiwa wadogo na chanzo kikuu kikiwa mama zao!

Single maza wengine hata kuwapeleka watoto kwa wajomba au baba zao wadogo kuchanganyika ni mwiko wakidhani ni fashion au malezi mazuri .
Mbna mashoga wengine wanatoka familia iliyo na wazazi wote wawili, tena yenye msingi imaraa. Mmmmh
 
Waangamiao ni wanaopuuza maarifa, angalia mambo yanayoendelea huko marekani na ulaya, watoto wa kiume wengi wanalelewa na single mothers na wengi huishia kuwa majanga
Mazingira wanayokulia watoto ndio tatizo, maeneo kama magomeni, Kinondoni kuna mabasha wengi ndio maana vijana wadogo wanaishia kulawitiwa. Wapo wengi tu mikoani na watoto wapo poa tu.

Hili nalikataa kabisa chagua mazingira mazuri kwa familia yako.
 
Mazingira wanayokulia watoto ndio tatizo, maeneo kama magomeni, Kinondoni kuna mabasha wengi ndio maana vijana wadogo wanaishia kulawitiwa. Wapo wengi tu mikoani na watoto wapo poa tu.

Hili nalikataa kabisa chagua mazingira mazuri kwa familia yako.
Sasa hivi hata huko mikoani kumeharibika, ukweli usemwe na wengi wanatoka mikoani wanajazana Dar,
Ushoga hausababishwi na single mothers tyuuh, kna factors nyingi mno. Watu wakitoa ukweli mnakimbilia modes wafute nyuzi sasa mnahaha nn

Sema tyuuh %kubwa ya mashoga wa mikoani wana upeo na Elimu, pia wanajua kujitafutia maisha yao, hapo wapo kwa sex orrients tyuu, ,tofaut na Dar walozoea kila kitu kufanyiwa. Uwiiiiih
 
Sababu kubwa ni kwasababu wanawake wanalea watoto kwa kuwalinda dhidi ya changamoto, wao wamejikita zaidi kuwa kama miamvuli huku wanaume wanafundisha watoto jinsi ya kukabiliana na matatizo ya hii dunia.

Pia mwanamke ana roho laini sana iliyojaa huruma iliyopitiliza (compassion) kwa mtoto wake wakiume, mtoto wa kiume hawezi kukuzwa hivyo kuwa mwanaume rijali, dunia hii haina huruma kwa wanaume, ukikosea kuna majuto yake, mtoto wa kiume ni vema kumuandaa mapema kwa hii hali, pale anapokosea mpe adhabu hata kama atapatwa na maumivu ili ajue mapema uhalisia wa dunia, hapa kina mama huwa hawawezi kabisa kuona watoto wao wakipata adhabu zinazowatesa hata kama zinawafunza uhalisia wa dunia

Badala ya mtoto kuwa mwanaume (Alpha) anaweza kuwa wa kiume (Beta0

ALPHA​
BETA​
Hujilaumu yeye mwenyewe kwa makosa aliyofanya​
Hutafuta watu wa kuwaangushia lawama au visiingizio kwa makosa yake​
Wanajiamini sana, hukabiliana na tatizo​
Wana asili ya uoga, hukimbia matatizo​
Huwa na asili ya uongozi wakiwa kwenye vikundi, akiwa kwenye mazungumzo anasikilizwa sana na wenzake​
Hawaoni kero yoyote katika kuongozwa, kutumwa, n.k​
huwaona wanawake kama wasaidizi wao, kwenye mahusiano wao ndio wanataka wawe wa kusikilizwa na kufanya maamuzi,​
Huwaona wanawake kama madini, huwanyeyekea sana, kwenye mahusiano si ajabu kukuta mwanamke ana kauli kubwa ya kuwaaamuru wafanye nini,​
Hawaogopi kujitetea kwa kutumia miili yao​
Wanaogopa sana ugomvi wa ngumi​
Maisha yao huongozwa kwa kiasi kikubwa vile wanavyotaka wao​
Maisha yao huendeshwa kwa kiasi kikubwa na mawazo ya wngine​
Watu upenda kuwaomba usauri na muongzo kwenye changamoto za kimaisha​
Hupenda kuomba ushuri kwa Alpha males​
Hawapendi kuoa single mothers na kulea watoto wasio wao​
Hawaoni shida kuoa single mothers wenye watoto, kwao kulea mtoto wa mwanaume mwengi sio taabu​
Hawana unafki, wanapenda kuyatoa kama talivyo​
Wapo indirect​
Hupaza sauti wanapoona hakuna usawa / haki​
Husuburi wengine wawapazie sauti​
Hawasiti kuchukua hatua yoyote kulinda watu wao wa karibu, anaweza kufa kwa mateso ili kulinda watu wake​
Hujiangalia kwanza usalama wao, hapa nyumba inaweza kuvamiwa, wazo likawa kila mtu ajifiche​
Kazi ipo

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Waangamiao ni wanaopuuza maarifa, angalia mambo yanayoendelea huko marekani na ulaya, watoto wa kiume wengi wanalelewa na single mothers na wengi huishia kuwa majanga
Huyu unakuta na yeye ni Beta male na ni mhanga wa haya malezi. Otherwise why aje kupinga. Ni sawa na ukiongelea ugaidi mtu aje kupinga it means anasapoti ugaidi.
 
Wanawake pia waache kuzaa zaa hovyo, kinga si zipo kwani lazima amzalie mwanaume mtoto? Sio wanawaume wote wanapenda watoto, wanawake wawe makini na mimba za kutegesha
Kuzaa sio kosa. Ukizaa ndani ya ndoa na mahusino ya heshima nini kinatokea wadhani..... Mpango wa MUNGU ni watu kuzaa na kupata watoto ndani ya familia na si vinginevyo. Mbona wakina mama wa miaka hiyo walipata watoto hata kumi na tano na haikuwa issue.

So swala ni kujizalia hovyo hovyo kama kuku wa amadoli. Na hii wanawake wasilaumu mwanaume yoyote sababu ni matokeo ya maamuzi na tamaa zao. Anazaa na mume wa mtu sababu alimletea mapozi kijana mtaratibu asie na mali na uwezo wa kumpa mahitaji.
 
Mwanamke ndie mlinzi mkuu wa mtambo wake wa kuzalisha (head of security of vag*in@ yake)

Anapomruhusu kulaliwa na mwanaume anajua kabisa kitachotokea.

Katika dunia hii ambayo kuna mbinu kama 30 za kujikinga na mimba, mwanamke anashindwa vp kuimarisha ulinzi wake?
Hivi wewe una akili sawa sawa?! Hivi utamu wa ile kitu unachomoaje sasa ikishakuwa kwenye over drive?!

Kuchomoa ile kitu ikishabutuka ni sawa na kuruka kutoka kwenye gari iliyo katika kasi ya 360km/hr. We unaweza ruka katika kasi hiyo?!
 
Back
Top Bottom