Mtoto wa kiume anaelelewa na single mother kuna uwezekano mkubwa akawa "beta male"

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,032
Muhimu: watoto wa kiume wanaozungumziwa ni wale ambao wapo sana na mama zao, achana na wale ambao wana lelewa na single mothers ila wana farher figures au wana kampani kubwa ya wajomba au hata kuwa na marafiki wanaume wenye maadili.

Sababu kubwa ni kwasababu wanawake wanalea watoto kwa kuwalinda dhidi ya changamoto, wao wamejikita zaidi kuwa kama miamvuli huku wanaume wanafundisha watoto jinsi ya kukabiliana na matatizo ya hii dunia.

Pia mwanamke ana roho laini sana iliyojaa huruma iliyopitiliza (compassion) kwa mtoto wake wakiume, mtoto wa kiume hawezi kukuzwa hivyo kuwa mwanaume rijali, dunia hii haina huruma kwa wanaume, ukikosea kuna majuto yake, mtoto wa kiume ni vema kumuandaa mapema kwa hii hali, pale anapokosea mpe adhabu hata kama atapatwa na maumivu ili ajue mapema uhalisia wa dunia, hapa kina mama huwa hawawezi kabisa kuona watoto wao wakipata adhabu zinazowatesa hata kama zinawafunza uhalisia wa dunia

Badala ya mtoto kuwa mwanaume (Alpha) anaweza kuwa wa kiume (Beta0

ALPHA​
BETA​
Hujilaumu yeye mwenyewe kwa makosa aliyofanya​
Hutafuta watu wa kuwaangushia lawama au visiingizio kwa makosa yake​
Wanajiamini sana, hukabiliana na tatizo​
Wana asili ya uoga, hukimbia matatizo​
Huwa na asili ya uongozi wakiwa kwenye vikundi, akiwa kwenye mazungumzo anasikilizwa sana na wenzake​
Hawaoni kero yoyote katika kuongozwa, kutumwa, n.k​
huwaona wanawake kama wasaidizi wao, kwenye mahusiano wao ndio wanataka wawe wa kusikilizwa na kufanya maamuzi,​
Huwaona wanawake kama madini, huwanyeyekea sana, kwenye mahusiano si ajabu kukuta mwanamke ana kauli kubwa ya kuwaaamuru wafanye nini,​
Hawaogopi kujitetea kwa kutumia miili yao​
Wanaogopa sana ugomvi wa ngumi​
Maisha yao huongozwa kwa kiasi kikubwa vile wanavyotaka wao​
Maisha yao huendeshwa kwa kiasi kikubwa na mawazo ya wngine​
Watu upenda kuwaomba usauri na muongzo kwenye changamoto za kimaisha​
Hupenda kuomba ushuri kwa Alpha males​
Hawapendi kuoa single mothers na kulea watoto wasio wao​
Hawaoni shida kuoa single mothers wenye watoto, kwao kulea mtoto wa mwanaume mwengi sio taabu​
Hawana unafki, wanapenda kuyatoa kama talivyo​
Wapo indirect​
Hupaza sauti wanapoona hakuna usawa / haki​
Husuburi wengine wawapazie sauti​
Hawasiti kuchukua hatua yoyote kulinda watu wao wa karibu, anaweza kufa kwa mateso ili kulinda watu wake​
Hujiangalia kwanza usalama wao, hapa nyumba inaweza kuvamiwa, wazo likawa kila mtu ajifiche​
 
Kuna siku humu humu j.f kuna mama aliweka koment kwamba yeye huwa anamuogesha mtoto wake wa kiume wa miaka 11 ili awe anamchunguza marinda, :oops:

yani kitu cha kwanza hapo hivi unaogeshaje mvulana ana miaka 11 wakati mvulana huo umri tayar anakaribia balehe, hii sio sawa kabisa maana itaathiri saikolojia ya mtoto wa kiume kujiona hana mamlaka

kitu kiingine anasubiria tukio litokee alafu afanye nini??
 
Sababu kubwa ni kwasababu wanawake wanalea watoto kwa kuwalinda dhidi ya changamoto, wao wamejikita zaidi kuwa kama miamvuli huku wanaume wanafundisha watoto jinsi ya kukabiliana na matatizo ya hii dunia.

Pia mwanamke ana roho laini sana iliyojaa huruma iliyopitiliza (compassion) kwa mtoto wake wakiume, mtoto wa kiume hawezi kukuzwa hivyo kuwa mwanaume rijali, ataishia kuwa beta

Badala ya mtoto kuwa mwanaume (Alpha) anaweza kuwa wa kiume (Beta0

ALPHA​
BETA​
Hujilaumu yeye mwenyewe kwa makosa aliyofanya​
Hutafuta watu wa kuwaangushia lawama au visiingizio kwa makosa yake​
Wanajiamini sana, hukabiliana na tatizo​
Wana asili ya uoga, hukimbia matatizo​
Huwa na asili ya uongozi wakiwa kwenye vikundi, akiwa kwenye mazungumzo anasikilizwa sana na wenzake​
Hawaoni kero yoyote katika kuongozwa, kutumwa, n.k​
huwaona wanawake kama wasaidizi wao, kwenye mahusiano wao ndio wanataka wawe wa kusikilizwa na kufanya maamuzi,​
Huwaona wanawake kama madini, huwanyeyekea sana, kwenye mahusiano si ajabu kukuta mwanamke ana kauli kubwa ya kuwaaamuru wafanye nini,​
Hawaogopi kujitetea kwa kutumia miili yao​
Wanaogopa sana ugomvi wa ngumi​
Maisha yao huongozwa kwa kiasi kikubwa vile wanavyotaka wao​
Maisha yao huendeshwa kwa kiasi kikubwa na mawazo ya wngine​
Watu upenda kuwaomba usauri na muongzo kwenye changamoto za kimaisha​
Hupenda kuomba ushuri kwa Alpha males​
Hawapendi kuoa single mothers na kulea watoto wasio wao​
Hawaoni shida kuoa single mothers wenye watoto, kwao kulea mtoto wa mwanaume mwengi sio taabu​
Hawana unafki, wanapenda kuyatoa kama talivyo​
Wapo indirect​
Hupaza sauti wanapoona hakuna usawa / haki​
Husuburi wengine wawapazie sauti​
Hawasiti kuchukua hatua yoyote kulinda watu wao wa karibu, anaweza kufa kwa mateso ili kulinda watu wake​
Hujiangalia kwanza usalama wao, hapa nyumba inaweza kuvamiwa, wazo likawa kila mtu ajifiche​
Beta male a.k.a people pleaser. Hii ni character ambayo wanawake hawavutiwi nayo. Unless huyo mwanamke ni muelewa, grown ass woman.
 
Beta male a.k.a people pleaser. Hii ni character ambayo wanawake hawavutiwi nayo. Unless huyo mwanamke ni muelewa, grown ass woman.
Mwanamke akiona kakosa soko kwa alpha males kwasababu ni single mother, chaguo lililobaki huwa ni kuwapa tiketi Beta males, hawa hawaonagi shida kuoa wanawake waliotafunwa na kuzalishwa na alpha males, Pia hawana noma kulea watoto ambao sio damu yao
 
Mie ni Hybrid baina ya hizo species 2! Kuna muda nakuwa Beta kuna Muda nakuwa Alpha kulingana na muktadha!

NB: Zero fuckks allowed😎
Kwa malezi ya zamani hata mtoto akiwa fatherless kulikuwa na male figures wengi wa ku impact maisha yake, kwa sasa hiki kizazi mtoto wa kiume kulelewa na single mom tena town ni shida kweli kweli, Mama anatamani aachane na baba mtoto ili apate mgao wa mali bila kujua athari kwa mtoto
 
Kwa malezi ya zamani hata mtoto akiwa fatherless kulikuwa na male figures wengi wa ku impact maisha yake, kwa sasa hiki kizazi mtoto wa kiume kulelewa na single mom tena town ni shida kweli kweli, Mama anatamani aachane na baba mtoto ili apate mgao wa mali bila kujua athari kwa mtoto
Apate mgao au adange kwa uhuru!😅 Matokeo yake ndio ana risk ndoa anafumaniwa anaona sawa tu waachane af baada ya muda anaangukia kwenye majuto tu!
 
Nasisi wanaume, tuache kumbia mimba!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mwanamke ndie mlinzi mkuu wa mtambo wake wa kuzalisha (head of security of vag*in@ yake)

Anapomruhusu kulaliwa na mwanaume anajua kabisa kitachotokea.

Katika dunia hii ambayo kuna mbinu kama 30 za kujikinga na mimba, mwanamke anashindwa vp kuimarisha ulinzi wake?
 
Back
Top Bottom