Mtoto wa kiume anaelelewa na single mother kuna uwezekano mkubwa akawa "beta male"

Bora huyo,yupo singomaza aliyekuwa analala na kijana wake wa kiume aliyemaliza form 4 eti anamhurumia baridi mvua ikinyesha. Ni mambo ya ajabu yanatendeka humu duniani. Mama anafikia hatua ya kumwambia mwanae wa kiume amfunge zipu ya gauni lake nyuma. Kiukweli vijana wa kiume wanaolelewa na singomaza bila baba ni hasara kwa familia,jamii na taifa.
Na ndio maana siku hizi watoto wanakuwa na tabia za ajabu ajabu sana. Halafu tukiongea hapa tunaonekana tunachuki na tunachukia wanawake waliopata watoto nje ya ndoa. Kumbe ni swala la kukemea mfumo ambao ni kinyume na maadili ya mtanzania ambao umeanzishwa na mabinti hawa wa kizazi cha 1980's na 1990's ambao unazalisha kizazi cha ajabu sana kwenye jamii kwasasa.
 
Baadae wanakuja kusema wanaume ni wabaya. Halaf kila single mother unae muuliza kulikoni.. huwa wanasema mwanaume ndio chanzo.. lakini huto kaa usikie wakisema wao ndio chanzo.
Kawaida ya wanawake kuanzisha misala halafu kuja kublame wanaume mambo yakishawashinda.

Utasikia binti anakwambia me nipe mtoto tu ntalea mwenyewe wala sitakusumbua. Mimba ikitungwa na akapata mtoto balaa linaanza hadi analia mwenyewe na kumwambia mtoto mambk ya kipuuzi kama baba yako alishakufa, mara wanaume hawana msaada etc.

Sasa uje umuulize wewe mimi si nilikukataza kuwa sipo tayari kuweza kulea mke na watoto kwa sasa, utaskia majibu yake, oooooh wenzako wanawezaje wewe ushindwe, ooooh ulipokuwa unakubali kutia ujauzito ulitegemea nini mtoto ajilee mwenyewe.

Wanakwenda kwa akina Ummy Mwalimu wakilialia na kusema wanawake tunanyanyasika kwenye jamii.

Hui upumbavu ukiutazama juu juu hautajua akili za mabinti wa kisasa namna zilivyo za kipopoma ila ukitazama kwa kina utaelewa ni kwann mabinti ndio wa kulaumiwa zaidi kuliko wanaume.....
 
Acha ujinga wew fala hivi hujui kati ya watu wanaofanikiwa zaidi na kupambana zaidi duniani wametoka familia zilizogawanyika angalia at akina ronaldo bieber hata bongo mondi ni mfano afu wew fala mmoja unasema sema tu upuuzi
Hiyo ilikuwa ni zamani na hao akina ronaldo hawakujilea wenyewe wala mama zao kuwalea wenyewe. Role models wao wa kiume walikuwa wapo kitaa na katika jamii iliyowazunguka..

Siku hizi hao role model hakuna..... Unakutana na mtu mzima mwanaume ambae unasema huyu mfano wa kuigwa yupo katika siku za maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani amefunga kibwebwe anamwaga uno akisema kwa sauti ya juu "Nani kama mwanamke" sifuri kabisa.
 
Hell no! Absolutely no!
Naipinga hi hoja So kweli kua watt wa kiume wengi waliolelewa na mama Kuna uwezekani mkubwa kua beta males

In case you didn't know! Almost great people ever walked in this world were raised by their single mom!!!

Isack newton(her mom later got married to another man),Barack Obama, jay Z,Thomas Edison, keenu reeves,Kanye west , Leonard do caprio ,John Stewart, Nikola Tesla, etc etc etc etc
Now you tell me all these men's above do they look like beta males to you,,,,,

in short the chance is 50 it of 50 stop making excuses tafuteni pesa wakuu



Sisi tunaongelea misingi wewe unaongelea Exceptional cases..... So hao uliowataja ni sampuli ya idadi gani ya wanaume.

Ni sawa na tanzania hapa useme hakuna wanaume masikini , kuna Mo, bakhressa, Jitu patel, manji, hawa wote ni wanaume matajiri na ni wa watanzania. Hivi utakuwa na akili sawa sawa?! Hivi tanzania unavyoijua wewe kwa hali ya uchumi ukichukua vinaja 1000 randomly kutoka maeneo tofauti na kuwatathimini uwezo wao kifedha je utawakuta ni matajiri?!

Shida ya wanatanzania huwa mnapenda kujifanya mpo too scientific to the Bliss point. Hivi ukitazama jamii ya mwafrika especially ya mtanzania kwa macho tu bila kuja na vihoja hivi vya aina ya "Education is better than Money" ambavyo unajaribu kutetea upuuzi wenye madhara ya kudumaza jamii yako unaona kitu gani?!

Hebu tazama vema jamii yako acha blah blah hapo. 100 from now hii jamii haitakuwa inaelewa tukiendelea kucheka na upumbavu unaoendelea.

We are the last Knights of the our society. We fight to protect not to attack. Sisi ndio masalia ya wanaume walinzi wa hii jamii na tupo hapa kuilinda na ndio maana tunaumia kuona lirusi kinachoitwa single mother kinatuharibia ustawi wa jamii yetu.

100 years from now sisi tukiwa hatupo nani atalinda mabinti zetu dhidi ya kizazi cha wanaume wezi, majambazi, wauwaji, wabakaji, wanaopiga kuumiza, wanyanyasaji, makatili etc?! Kwasasa inaweza kuwa sio shida ila in the near future hii dunia itakuwa haitawaliki tukikosa msingi wa wanaume viongozi wanaoweka Order katika jamii na kukemea utomvu wa nidhamu ndani ya jamii.

Hii kazi ya kulinda nidhamu ni kazi ya kiume nyie wanaume wachache mnaosapoti wanawake kuingia katika majukumu ya kiume ndio mnachangia sana sisi wanaume wote kuonekana tunasapoti ufala wa usingle mother na matokeo yake.
 
Sisi tunaongelea misingi wewe unaongelea Exceptional cases..... So hao uliowataja ni sampuli ya idadi gani ya wanaume.

Ni sawa na tanzania hapa useme hakuna wanaume masikini , kuna Mo, bakhressa, Jitu patel, manji, hawa wote ni wanaume matajiri na ni wa watanzania. Hivi utakuwa na akili sawa sawa?! Hivi tanzania unavyoijua wewe kwa hali ya uchumi ukichukua vinaja 1000 randomly kutoka maeneo tofauti na kuwatathimini uwezo wao kifedha je utawakuta ni matajiri?!

Shida ya wanatanzania huwa mnapenda kujifanya mpo too scientific to the Bliss point. Hivi ukitazama jamii ya mwafrika especially ya mtanzania kwa macho tu bila kuja na vihoja hivi vya aina ya "Education is better than Money" ambavyo unajaribu kutetea upuuzi wenye madhara ya kudumaza jamii yako unaona kitu gani?!

Hebu tazama vema jamii yako acha blah blah hapo. 100 from now hii jamii haitakuwa inaelewa tukiendelea kucheka na upumbavu unaoendelea.

We are the last Knights of the our society. We fight to protect not to attack. Sisi ndio masalia ya wanaume walinzi wa hii jamii na tupo hapa kuilinda na ndio maana tunaumia kuona lirusi kinachoitwa single mother kinatuharibia ustawi wa jamii yetu.

100 years from now sisi tukiwa hatupo nani atalinda mabinti zetu dhidi ya kizazi cha wanaume wezi, majambazi, wauwaji, wabakaji, wanaopiga kuumiza, wanyanyasaji, makatili etc?! Kwasasa inaweza kuwa sio shida ila in the near future hii dunia itakuwa haitawaliki tukikosa msingi wa wanaume viongozi wanaoweka Order katika jamii na kukemea utomvu wa nidhamu ndani ya jamii.

Hii kazi ya kulinda nidhamu ni kazi ya kiume nyie wanaume wachache mnaosapoti wanawake kuingia katika majukumu ya kiume ndio mnachangia sana sisi wanaume wote kuonekana tunasapoti ufala wa usingle mother na matokeo yake.
The world needs people like you,,,but u missed a point( indeed),,,
I said it's 50/50 chance didn't I???
But something keep eating us slowly and instead of solving it we react and put our emotions behinds our logics,,,, Single mothers will always be there (that's how 20's world going) don't ask me why because you know how folks of now days entertain sex!!!
but that doesn't give a complete definition of the male kids who are raised by them to either be Alfa or beta males ,,,,,it's laws of nature that decided and we can't defies the laws of nature it's a continuum in many multiverse that can not be solved in a single multiverse time. Let the laws of nature Decided and it's like that weather you like it or not!!!
Either you are atheist or God believer I know you know how deeply the religious teachings matter!!!
 
Acha ujinga wew fala hivi hujui kati ya watu wanaofanikiwa zaidi na kupambana zaidi duniani wametoka familia zilizogawanyika angalia at akina ronaldo bieber hata bongo mondi ni mfano afu wew fala mmoja unasema sema tu upuuzi
Siyo wote wanakuwa vizuri ila wengi wao huharibika kutokana na mazingira wanayokuzwa nayo.
 
Nasikitishwa sana na mashoga ila wazazi ndio wanayoyataka fikiria mtu tena mwanaume anakutumia mwanaume mwenzie ukafukue tope daah
 
Nasikitishwa sana na mashoga ila wazazi ndio wanayoyataka fikiria mtu tena mwanaume anakutumia mwanaume mwenzie ukafukue tope daah
Hivi huwa mnafanyaga utafiti wapi? Hakna mzazi anayefurahia wala kutaka, muwage mnawahoji hawa wahusika mtajua mengi zaidu kuliko kuongea msivyovijua, ushoga unasabishwa na factor nyingi.

Kuhusu hayo sasa ni makubaliano baina ya watu wawili, na hakna ulazima, wanaume nyie acheni unafiki huku mitandaoni mnapinga na kukemea sana, ila huko mtaan na uraiani ndo wenza wenu hao gays, tena wengine had wanagharamia khaaaah.

Hakna msenge bila basha, wote hao n mashoga, sasa huku mashoga n wasenge tyuuh, akati mabasha wamejaa mtaan kibao wengine had waume za watu na wenye status na uchumi mzuri, acheni unafiki bhana khaaah
 
Back
Top Bottom