Mtizamo: Let love lead the way

Mtizamo: Let love lead the way

<br /> <br />
kwa iyo ndo ivo mama....!
kitu cha msingi kwenye ma-welock ni kuconcetrate zaidi na kujiuliza "how much am i giving?satisfactory?...am i a responsible wife/husband?....am i playing my role as a husband/wife?"...trust me.pasi na kuangalia upande pili utajua utajua mwelekeo
Am carrying this Ujumbe all the way.............aksante Teamo kweli umenijuza kitu kikubwa sana. From now I am freeing myself nienjoy love as it is flowing. Thanx Bro......ulikuwa wapi siku zote??
 
halafu nakuona tu MJ1, mie nalinda ile mbaya ila hajui kama namlinda, ye anajua tu nimeacha ya lead the wei
Gaga hapa ndipo ninapokupendea kusema ukweli am so relaxed kujua kuwa Babu ODM yuko mikononi mwako! You have the taste mydia ..............keep it up.
 
Yeah na hii sacrifice ukiifanya kwa "love" inapendeza zaidi, maana kuna wengine wanafanya sacrifice hizi kwa unafiki tu na sometimes mpaka inapelekea mwenza wako anagundua na inamsababishia maumivu ya moyo..!

Ni kweli na si vema kumfanya mtu aache kile anachokipenda sababu wewe hukipendi..., (kama mtu anapenda kabia kake si vema kumzuia sababu wewe hupendi pombe....) kwa kufanya hivi in the long run hii huenda ikaleta chuki...

Nadhani ni vema mtu ufanye sacrifice bila kulazimishwa wala bila kutegemea kurudishiwa.., yaani sio kwamba sababu yeye aliangalia mpira na mimi, basi ni lazima nimsindikize shopping ya viatu..., Ndio maana nikasema mkiwa marafiki na wapenzi basi mtapenda kufanya kila kitu bila kulazimishana yaani ile company tu inakuwa furaha tosha,

Pia kuna suala la compatibility kama mnazo hobbies hata chache ambazo zipo sawa safari yenu itakuwa nzuri zaidi ingawa hata kama hamna hobbies mnaweza mkajifunza hobbies mpya ambazo zitawafurahisha nyote na zile chache za wewe kupenda kabia, na kuangalia mpira au shopping ya viatu kila mtu anaweza akawa anafanya kwa muda wake na marafiki zake, nyie mnakutana tu kwenye yale ambayo nyote mnayapenda...,
 
<br />
<br />
kwa iyo ndo ivo mama....!
kitu cha msingi kwenye ma-welock ni kuconcetrate zaidi na kujiuliza "how much am i giving?satisfactory?...am i a responsible wife/husband?....am i playing my role as a husband/wife?"...trust me.pasi na kuangalia upande pili utajua utajua mwelekeo
Teamo huku ndio kulinda kwenyewe haswaaaa
 
Atakuja muda si mrefu asha ratiba yake ya jioni kunywa kahawa na wazee wenzake umeosahau?
Na leo nimempakia bonge la uturi lol


Haya bana... ni kweli sijasahau lakini mmmh! Na leo
aliko amkia naomba hakikisha kila siku aamkie huko huko...
maana kanigusa saaana most of the things kaongelea....
 
&lt;span style=&quot;font-family: comic sans ms&quot;&gt;Wapendwa wana MMU.....!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
habari za muda kidogo!?nimewamisoooooooo mpaka natetemeka.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kidogo mtiririko wa matukio na mabandiko katika jukwaa hili ''mama'' la jamiiforums,nimedhani ni muhimu na mimi kama mwana MMU nikatoa ushauri wangu mdogo tu......!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
&lt;font color=&quot;#ee82ee&quot;&gt;Ninashauri tungeacha mapenzi yakatafuta njia na yakatuongoza pale ambapo kila wapendanao wanatamani kupafikia.....!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
I mean let us ''BE WHAT WE ARE''...and we let ''love'' lead us where we wanna be...!&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
''KIONJO KIMOJA TU CHA ZIADA KUTAKA KULILINDA PENZI/KULINDA NDOA-&lt;/font&gt;kitakuumbua&lt;font color=&quot;#EE82EE&quot;&gt;''&lt;/font&gt;&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
ahsanteni sana wakuu&lt;/span&gt;!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Teamo karibu sana MMU a.k.a mama la jamiiforums kama usemavyo, nimependa thread yako hii. Ulichozungumza kwa maono yangu si kitu kigeni machoni, masikioni na hada midomoni mwa member wa humu, pia humu jamvini. Mambo ya kuforce force vitu si sawa. Kama ni mapenzi basi utakuwa umezungumzia juu ya mapenzi ya dhati japo ni kwa style tofauti sana, natumai umeeleweka vyema. BUT napenda kusisitiza juu ya umuhimu wakuwa rational, kwamba tusiruhusu kila kitu kutawaliwa na hisia. Kuna haja ya kutumia Logic wakati fulani. Asante!
 
Mkuu VoR...Sometimes hakuna hizo sababu...moyo una hama kabisa japo mwenzio waona hajafanya lolote baya...basi unaishia kumuonea huruma tu...let love lead the way...

Mkuu hapo kama humpendi tena mwenza wako na kwa kosa lako ila bado unakaa nae kwa kutimiza wajibu, nadhani utakuwa hujitendei wewe wala yeye haki.., na ndio mara nyingi utaanza kumtendea visa..., akicheka unamuona kama ana kelele, ukifika ndani ya nyumba unakuwa umenuna, akikusemesha unaona kama anakusumbua..., na kama unavyojua hasira zako na kukosa kwako busara kunaweza kukafanya nyumba nzima ikawa na karaha...!!!

kwahiyo ni bora wewe huende huko unakodhani kuna mapenzi zaidi na kumuacha mwenza wako wanaoweza kum-care wapate upenyo sio wewe kumzibia wakati hakuna unachompa bali karaha
 
Ni kweli na si vema kumfanya mtu aache kile anachokipenda sababu wewe hukipendi..., (kama mtu anapenda kabia kake si vema kumzuia sababu wewe hupendi pombe....) kwa kufanya hivi in the long run hii huenda ikaleta chuki...
Hapo kwenye Red VoR hapo umenigusa.......katoka vitu ambavyo vinanishangaza kwa mwenzi wangu ni hilo kusema ukweli......unajua he is so free and allows me to be free in that to the extent that am thinking od quiting drinking kusema ukweli. I know haweziona hii kwani huwa sidhani kama ataingia humu but phweeee kweli kabisa ma ready to sacrifice that for the sake of loving him.

Nadhani ni vema mtu ufanye sacrifice bila kulazimishwa wala bila kutegemea kurudishiwa.., yaani sio kwamba sababu yeye aliangalia mpira na mimi, basi ni lazima nimsindikize shopping ya viatu..., Ndio maana nikasema mkiwa marafiki na wapenzi basi mtapenda kufanya kila kitu bila kulazimishana yaani ile company tu inakuwa furaha tosha,

Pia kuna suala la compatibility kama mnazo hobbies hata chache ambazo zipo sawa safari yenu itakuwa nzuri zaidi ingawa hata kama hamna hobbies mnaweza mkajifunza hobbies mpya ambazo zitawafurahisha nyote na zile chache za wewe kupenda kabia, na kuangalia mpira au shopping ya viatu kila mtu anaweza akawa anafanya kwa muda wake na marafiki zake, nyie mnakutana tu kwenye yale ambayo nyote mnayapenda...,

I salute You VoR. Salute
 
<br />
<br />
Teamo a.k.a mama la jamiiforums nimependa thread yako hii. Ulichozungumza kwa maono yangu si kitu kigeni machoni, masikioni na hada midomoni mwa member wa humu, pia humu jamvini. Mambo ya kuforce force vitu si sawa. Kama ni mapenzi basi utakuwa umezungumzia juu ya mapenzi ya dhati japo ni kwa style tofauti sana, natumai umeeleweka vyema. BUT napenda kusisitiza juu ya umuhimu wakuwa rational, kwamba tusiruhusu kila kitu kutawaliwa na hisia. Kuna haja ya kutumia Logic wakati fulani. Asante!
Gagurito.......Teamo ni mkaka ujue!
umepotea sana shemeji yangu kulikonii? naona unatukumbusha kupenda kwa akili sometimes si kutegemea hisia peke yake, sometimes hisia hasilipi lol. Umenilkumbusha rafiki yangu anampenda sana mpenzi wake kiasi kwamba huumia yeye pale mpenziwe anapoumwa na kuandikiwa sindano, analalamika kuwa inambidi apigane na hisia zake za kumwonea huruma mpenzi wake na yale maumivu ya sindano but logically anajua kabisa nii sindano zile ambazo zitamfanya mpenziwe apone!
 
Hapo kwenye Red VoR hapo umenigusa.......katoka vitu ambavyo vinanishangaza kwa mwenzi wangu ni hilo kusema ukweli......unajua he is so free and allows me to be free in that to the extent that am thinking od quiting drinking kusema ukweli. I know haweziona hii kwani huwa sidhani kama ataingia humu but phweeee kweli kabisa ma ready to sacrifice that for the sake of loving him.

I salute You VoR. Salute


I Concur... Yeye kujiita The "Voice of Reason" is Sooo RIGHT.....
 
Gagurito.......Teamo ni mkaka ujue!<br />
umepotea sana shemeji yangu kulikonii? naona unatukumbusha kupenda kwa akili sometimes si kutegemea hisia peke yake, sometimes hisia hasilipi lol. Umenilkumbusha rafiki yangu anampenda sana mpenzi wake kiasi kwamba huumia yeye pale mpenziwe anapoumwa na kuandikiwa sindano, analalamika kuwa inambidi apigane na hisia zake za kumwonea huruma mpenzi wake na yale maumivu ya sindano but logically anajua kabisa nii sindano zile ambazo zitamfanya mpenziwe apone!
<br />
<br />
Sikutambua hilo bt kwa msaada wako umenifumbua na nimefanya marekebisho ya ktk ile post. Ujue natumia simu thats why nashindwa tambua kwani Avatar haisomi! Yeah kutumia akili ni sehem muhim sana kama wasaka mafanikio. Kwa upande wa huyo rafiki yako nadhani anapaswa kuwa mfariji kwa mwenzake, anapaswa kumwelekeza mwenzie juu ya umuhimu wa matibabu! Kifupi KUPENDA SANA NI UGONJWA.
 
VOR mimi naamini kua Love can grow ambapo haikuwepo kabisa…

I am a great believer kwamba mtu unaweza kujifunza kupenda.... na kuna post nilishatoa the good old days.... https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/98695-can-we-learn-to-love-someone.html

Nikisema kwamba sababu tunaweza kujifunza kupenda basi ni bora utafute mtu anaekupenda kwa dhati na ujifunze kumpenda as they say...

Instead of trying the perfect person, learn to love the imperfect person perfectly....
 
Tnanx Voice of Reason kwa kutumia maneno yako wameelewa tulichukua tunakizungumzia hapa!
Dah hope wote wataelewa kua we need to leave the love to lead the way
 
Wapendwa wana MMU.....!

habari za muda kidogo!?nimewamisoooooooo mpaka natetemeka.

baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kidogo mtiririko wa matukio na mabandiko katika jukwaa hili ''mama'' la jamiiforums,nimedhani ni muhimu na mimi kama mwana MMU nikatoa ushauri wangu mdogo tu......!

Ninashauri tungeacha mapenzi yakatafuta njia na yakatuongoza pale ambapo kila wapendanao wanatamani kupafikia.....!

I mean let us ''BE WHAT WE ARE''...and we let ''love'' lead us where we wanna be...!

''KIONJO KIMOJA TU CHA ZIADA KUTAKA KULILINDA PENZI/KULINDA NDOA-
kitakuumbua''

ahsanteni sana wakuu
!

Karibu sana mzazi Tip Top hata Chawote wanakumiss sana
 
I am a great believer kwamba mtu unaweza kujifunza kupenda.... na kuna post nilishatoa the good old days.... <a href="https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/98695-can-we-learn-to-love-someone.html" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/98695-can-we-learn-to-love-someone.html<br />
<br />
</a>Nikisema kwamba sababu tunaweza kujifunza kupenda basi ni bora utafute mtu anaekupenda kwa dhati na ujifunze kumpenda as they say...<br />
<br />
<b>Instead of trying the perfect person, learn to love the imperfect person perfectly....</b>
<br />
<br />
Hii thread tunayoijadili sasa pamoja na ile yako ya zamani zipo poa. Nakushauri VoR fatilia mjadala vizuri then mwisho wa siku utuletee majumuisho, i mean points za msingi zinazobeba hzi thread kwa ajili ya kumbukumbu kwa baadae! Nimependa sana kwa hii coincedence inaonyesha JF members tuna focus fulani hivi!
 
Kimey na Teamo..............natafuta SABABU ya kunileta huko kwenye kipande chenu!! tuidiscuss vizuri hii inshu (kwa hisani ya watu wa Kanyigo).
 
Hapo kwenye Red VoR hapo umenigusa.......katoka vitu ambavyo vinanishangaza kwa mwenzi wangu ni hilo kusema ukweli......unajua he is so free and allows me to be free in that to the extent that am thinking od quiting drinking kusema ukweli. I know haweziona hii kwani huwa sidhani kama ataingia humu but phweeee kweli kabisa ma ready to sacrifice that for the sake of loving him.

Ni kweli kabisa hakuna kitu kibaya kama kulazimishwa kitu..., lakini wewe ukiacha kwa uamuzi wako mwenyewe, itakuwa ni kwa mapenzi yako mwenyewe, na ni muhimu kupima furaha yake na huzuni yako katika uamuzi wako wa kuacha jambo fulani.

Na kama kuacha kwako kitu fulani kutakupunguzia zile furaha zako za kuwa the really MJ1 nadhani hapo utakuwa umepungukiwa na jambo muhimu katika maisha yako ya kila siku (after all life needs to be enjoyed...) lakini even just thinking about it shows great consideration and caring from your part, and he is indeed a lucky man.....
 
Back
Top Bottom