daughter
JF-Expert Member
- Jun 22, 2009
- 1,275
- 745
Daughter haya maswali yako haya yamekwenda shule ......sipati picha kuacha kuchimbua ule utundu wa kubana na kuachia loh........ila Babu kasema Love kulead the way maana yake ni kuwa uyafanye hayo yote kwa kigezo cha LOVE na si kwa kigezo cha kumfanya akuone wewe ndie wewe peke yako mwe!! ngumu eh?!
Aaaha nimeanza kuelewa
ila ngumu aisee,si nafikiria ukiyafanya kwa kigezo cha love ndio nia yako akuone wewe ndio wewe au?
mmmh sielewi