Mtizamo: Let love lead the way

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,034
Wapendwa wana MMU.....!

habari za muda kidogo!?nimewamisoooooooo mpaka natetemeka.

baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kidogo mtiririko wa matukio na mabandiko katika jukwaa hili ''mama'' la jamiiforums,nimedhani ni muhimu na mimi kama mwana MMU nikatoa ushauri wangu mdogo tu......!

Ninashauri tungeacha mapenzi yakatafuta njia na yakatuongoza pale ambapo kila wapendanao wanatamani kupafikia.....!

I mean let us ''BE WHAT WE ARE''...and we let ''love'' lead us where we wanna be...!

''KIONJO KIMOJA TU CHA ZIADA KUTAKA KULILINDA PENZI/KULINDA NDOA-
kitakuumbua''

ahsanteni sana wakuu
!
 
thank you for the useful thread....na siku nyingine usipotee hivyo banaa
 
Wapendwa wana MMU.....!

habari za muda kidogo!?nimewamisoooooooo mpaka natetemeka.

baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kidogo mtiririko wa matukio na mabandiko katika jukwaa hili ''mama'' la jamiiforums,nimedhani ni muhimu na mimi kama mwana MMU nikatoa ushauri wangu mdogo tu......!

Ninashauri tungeacha mapenzi yakatafuta njia na yakatuongoza pale ambapo kila wapendanao wanatamani kupafikia.....!

I mean let us ''BE WHAT WE ARE''...and we let ''love'' lead us where we wanna be...!

''KIONJO KIMOJA TU CHA ZIADA KUTAKA KULILINDA PENZI/KULINDA NDOA-
kitakuumbua''

ahsanteni sana wakuu
!
Teamo Ti ndani ya nyumba...

Umeiba maneno yangu mkuu. Unajua kila siku mi huwa nawaambiaga watu humu ndani kuwa mapenzi hayana formula moja kiasi kwamba ukiingiza data na kukalkuleti unapata jibu moja sawa na wenzako.

Kila mtu ana kionjo chake katika mapenzi. Kila mtu ana mbinu zake za kukoleza mapenzi. Kila mtu ana ujanja wake wa kusovle matatizo katika mapenzi..... Mapenzi yanaflow naturally. Ukianza kujifunza njia za kuyaendesha mapenzi ujue unatumbukia shimoni.

Acheni mapenzi yatawale na si kujifunza kanuni za kuyafanya mapenzi yadumu.

Imetolewa na ODM
Kaunta ya JUU
King Star.
 
thank you for the useful thread....na siku nyingine usipotee hivyo banaa

haya mama..!

lakini haya mambo tungeyaacha yajiendeshe yenyewe bana!naona kama tunayapa ''external support'' kubwa mno kiasi kwamba yanashindwa kujiendesha yenyewe automatically...

nb:habari za zimbabwe?
 
Teamo Ti ndani ya nyumba...

Umeiba maneno yangu mkuu. Unajua kila siku mi huwa nawaambiaga watu humu ndani kuwa mapenzi hayana formula moja kiasi kwamba ukiingiza data na kukalkuleti unapata jibu moja sawa na wenzako.

Kila mtu ana kionjo chake katika mapenzi. Kila mtu ana mbinu zake za kukoleza mapenzi. Kila mtu ana ujanja wake wa kusovle matatizo katika mapenzi..... Mapenzi yanaflow naturally. Ukianza kujifunza njia za kuyaendesha mapenzi ujue unatumbukia shimoni.

Acheni mapenzi yatawale na si kujifunza kanuni za kuyafanya mapenzi yadumu.

Imetolewa na ODM
Kaunta ya JUU
King Star.

FIRST-CLASS mkuu....!

mi nimeshachoka kuandika andika...mods wangeiclose tu hii nyuzi maanake huu ni ''ukweli-unaohudhunisha''
 
haya mama..!

lakini haya mambo tungeyaacha yajiendeshe yenyewe bana!naona kama tunayapa ''external support'' kubwa mno kiasi kwamba yanashindwa kujiendesha yenyewe automatically...

nb:habari za zimbabwe?
Hapa ndipo watu watakapomshangaa ODM atakapopiga marufuku vibinti vyake kufanyiwa kitchen party.... Mtu kishalazwa kwenye sita kwa sita mpaka kanogewa, kishazungushiwa viuno mpaka anajisikia kupaa mbinguni. Labda kashapigwa vibao kavumilia. Kishampikia na jamaa limeinjoi mapishi yake.......... afu leo eti majimama ambayo yenyewe ndoa zao zimeyashinda ndo yaje kumkalisha kitako na kumfundisha "Jinsi ya kuishi na mmewe"............Hell NO!
 
Hapa ndipo watu watakapomshangaa ODM atakapopiga marufuku vibinti vyake kufanyiwa kitchen party.... Mtu kishalazwa kwenye sita kwa sita mpaka kanogewa, kishazungushiwa viuno mpaka anajisikia kupaa mbinguni. Labda kashapigwa vibao kavumilia. Kishampikia na jamaa limeinjoi mapishi yake.......... afu leo eti majimama ambayo yenyewe ndoa zao zimeyashinda ndo yaje kumkalisha kitako na kumfundisha "Jinsi ya kuishi na mmewe"............Hell NO!

hahahahahahah!.....

hapa napo pana shida kubwa sana
 
Teamo Ti ndani ya nyumba...

Umeiba maneno yangu mkuu. Unajua kila siku mi huwa nawaambiaga watu humu ndani kuwa mapenzi hayana formula moja kiasi kwamba ukiingiza data na kukalkuleti unapata jibu moja sawa na wenzako.

Kila mtu ana kionjo chake katika mapenzi. Kila mtu ana mbinu zake za kukoleza mapenzi. Kila mtu ana ujanja wake wa kusovle matatizo katika mapenzi..... Mapenzi yanaflow naturally. Ukianza kujifunza njia za kuyaendesha mapenzi ujue unatumbukia shimoni.

Acheni mapenzi yatawale na si kujifunza kanuni za kuyafanya mapenzi yadumu.

Imetolewa na ODM
Kaunta ya JUU
King Star.


ODM Shem... naona wanitisha sasa.... Khaa!!
 
Teamo habari yako bana?kwani mapenzi huwa hayana formular kama hesabu umeniacha kizani mwenzio
 
Wapendwa wana MMU.....!

habari za muda kidogo!?nimewamisoooooooo mpaka natetemeka.

baada ya kufuatilia kwa muda mrefu kidogo mtiririko wa matukio na mabandiko katika jukwaa hili ''mama'' la jamiiforums,nimedhani ni muhimu na mimi kama mwana MMU nikatoa ushauri wangu mdogo tu......!

Ninashauri tungeacha mapenzi yakatafuta njia na yakatuongoza pale ambapo kila wapendanao wanatamani kupafikia.....!

I mean let us ''BE WHAT WE ARE''...and we let ''love'' lead us where we wanna be...!

''KIONJO KIMOJA TU CHA ZIADA KUTAKA KULILINDA PENZI/KULINDA NDOA-
kitakuumbua''

ahsanteni sana wakuu
!



Mkuu Teamo... naomba kujua kama nimekuelewa sawa.... SWALI... Kwamba "if i love, i should follow my heart as long as nalinda ndoa yangu??"
 
Mkuu Teamo... naomba kujua kama nimekuelewa sawa.... SWALI... Kwamba "if i love, i should follow my heart as long as nalinda ndoa yangu??"

cista....!
yani unapenda nje ya ndoa??!......

inawezekana kweli?
 
Mkuu Teamo... naomba kujua kama nimekuelewa sawa.... SWALI... Kwamba "if i love, i should follow my heart as long as nalinda ndoa yangu??"

Inaelekea na mimi nilimuelewa the same na kama ni hilo kuna ukweli ndani yake na there is no real formula ya kujua kuwa mapenzi yanatakiwa kwenda hivi au vile
Au Ad tumeingia chaka
 
Mh aksante Teamo ingawa nina mashaka kama nimewaelewa wewe na Babu..........eti hakuna haja ya kuhangaika KUYAFANYA mapenzi yadumu?!! hebu nielewesheni kwanza kabla sijapanda juu ya meza kwa ubishi!
 
hivi ninyi rock na ashadii nina wasi wasi kama nimewaelewa
 
Husninyo kulinda penzi sidhani kama ni sawa na kulazimisha penzi au mimi ndo sielewi leo wajameni!? Mbona kila kitu naona kichina tu hapa?
Najiona kama vile mnaniambia once am married, am being loved so sina haja ya kuhangaika kulidumisha??!!
 
Back
Top Bottom