Mtizamo: Let love lead the way

hahahaha na sie huku jua ndo linatoka kwa hiyo ntaenda nao tu taratibu mpaka wataelewa,!!
Mi nawaambia "hakuna raha ya penzi if you let "love" leads the way"!!
Maana hata kama nikitoswa sitakua na maumivu kabisa!!
Hahaha!!! Hommie
 
What if there is no Love.....!!!!, Can't you Create Love...???,
Can't you learn to love...?, Can't Love Grow....?

You can't let something to lead the way if its not there..., and if something can be born that means it can grow and can also die...,

Therefore just like a candle flame should be protected from wind and rain.., so that it wont vanish....
 
Asante mfalme wa Amani na Upendo..Teamo

Please sister,
repent before the day is off.
It's only God who deserve that (mfalme wa amani na upendo)!!!!!!

Gadaffi called himself "king of kings" now he is no more.
Ops,i feel healthy kusema nacho amini.

Sorry if i disappoint you.
 
hahahaha na sie huku jua ndo linatoka kwa hiyo ntaenda nao tu taratibu mpaka wataelewa,!!
Mi nawaambia "hakuna raha ya penzi if you let "love" leads the way"!!
Maana hata kama nikitoswa sitakua na maumivu kabisa!!


Dah!!!
 
emjei wani just "let it flow"....!let love flow in its natural path!hauhitaji sana kujengea jengea mfereji na kuusafisha saaana ili maji yapite....yaache maje yatiririke kwenye mfereji wake sahihi....naturalle!
 
Hili nalo neno, unakuta binti ana mtoto tayari eti anafanyiwa kitchen party, hapana kwa kweli.

Hivi jamani kwani kitchen party mtu anafundishwa kufanya tendo la ndoa???!!!! Binafsi, kitchen party nilizohudhuria wala hicho kipengele hakipo...... Kama binti ni mgeni kabisa katika maswala hayo, basi mama mmoja atakaa naye kumwambia mawili matatu....

Lakini kwangu mimi, kitchen party nimeiona ni muhimu sana kwa sababu inatoa some tips za kwenda kudumisha mahusiano ambayo binti anayaendea. Na ndo maana hata hapa MMU, kuna mengi tu tunajifunza kuhusu mahusiano kwa ujumla.

Mawazo yangu mimi, ni kweli upendo utawale, lakini bado kuna vitu vingine unaweza ukajifunza ili kuboresha zaidi mahusiano yenu.

Mbarikiwe.
 
What if there is no Love.....!!!!, Can't you Create Love...???,
Can't you learn to love...?, Can't Love Grow....?

You can't let something to lead the way if its not there..., and if something can be born that means it can grow and can also die...,

Therefore just like a candle flame should be protected from wind and rain.., so that it wont vanish....


VOR mimi naamini kua Love can grow ambapo haikuwepo kabisa… thou ni rare but very possible… Tutulee mfano wa sasa ambao couples nyingi wanaoana out of logic rather than love… When I say out of Logic, I mean vigezo ndo huchukua mkondo… basing from the answers ya maswali kama ataweza toa support mkioana?? Ana mvuto?? Aweza handle nyumba?? Ana kazi nzuri?? And the like… watu wa namna hii wakioana… wenye bahati in time…hasa kama wanaendana tabia… what they like.. wazuri saana at compromising… taking care of each other and being there effectively kila in need… Falling in love may be inevitable in the Long run…. Mie naamini saana kua a person if good can make another person fall in love with him/her (ili mradi the person in question awe appreciative… of that love subjected at her/him)
 
Hapa ndipo watu watakapomshangaa ODM atakapopiga marufuku vibinti vyake kufanyiwa kitchen party.... Mtu kishalazwa kwenye sita kwa sita mpaka kanogewa, kishazungushiwa viuno mpaka anajisikia kupaa mbinguni. Labda kashapigwa vibao kavumilia. Kishampikia na jamaa limeinjoi mapishi yake.......... afu leo eti majimama ambayo yenyewe ndoa zao zimeyashinda ndo yaje kumkalisha kitako na kumfundisha "Jinsi ya kuishi na mmewe"............Hell NO!
Siku hizi hakuna hata hayo mafunzo, ni kupeana zawadi tu babu, au wewe hutaki wajukuu zako wapate vyombo na makorokoro mengine?
 
VOR nilikupata vilivyo.... hasa katika post ulopost kabla hujapost hii niloku quote... (post # 90).. The insight umetoa says it all.... it is not that simple.. kwamba as long as you love wee u-relax ukitegemea everything will sort it self... Hata kama the person in question is your spouse...

Ofcourse you should never relax, nadhani mimi na wewe tunakubaliana kabisa....

And this relaxing is what many couples do.!!! ( kuacha kumjali mwenza wao kama mwanzo, kuacha kujali kama nightdress ni chafu au safi, kuanza kuja kulala na majasho wakati before when dating alikuwa anahakikisha hata manukato yakiisha anaazima ... n.k.)

Yaani ni kweli kabisa watu wakishakuwa couples huwa wanajisahau na wanabadilika from the person the other loved before..., kama mwenza wako alipenda utanashati wako.., basi endelea hivyo hivyo na sio kungojea mkienda out ndio upendeze..

Kwahiyo unless ni kero kwa mwenza wako do all you can to make her/him very happy, nadhani kwa kufanya hivyo hata kesho au keshokutwa akikuacha he/she will always remember you and the good moments and it wont take long atajua kwamba alifanya makosa kuondoka..
 
emjei wani just "let it flow"....!let love flow in its natural path!hauhitaji sana kujengea jengea mfereji na kuusafisha saaana ili maji yapite....yaache maje yatiririke kwenye mfereji wake sahihi....naturalle!
Hahahahah haya kaka nimekubali........... I salute you mydia and thanx. For me it is flowing but najiona kama inaflow upande mmoja tu loh kuelekea kwangu sasa najihisi kupwaya loh
 
Ofcourse you should never relax, nadhani mimi na wewe tunakubaliana kabisa....

And this relaxing is what many couples do.!!! ( kuacha kumjali mwenza wao kama mwanzo, kuacha kujali kama nightdress ni chafu au safi, kuanza kuja kulala na majasho wakati before when dating alikuwa anahakikisha hata manukato yakiisha anaazima ... n.k.)

Yaani ni kweli kabisa watu wakishakuwa couples huwa wanajisahau na wanabadilika from the person the other loved before..., kama mwenza wako alipenda utanashati wako.., basi endelea hivyo hivyo na sio kungojea mkienda out ndio upendeze..

Kwahiyo unless ni kero kwa mwenza wako do all you can to make her/him very happy, nadhani kwa kufanya hivyo hata kesho au keshokutwa akikuacha he/she will always remember you and the good moments and it wont take long atajua kwamba alifanya makosa kuondoka..


Nimeipenda hii post VOR.... Saana tu.... Ila hio hapo in blue... imeniacha hoi!! kua na such guts... mmmh!
 
Hahahahah haya kaka nimekubali........... I salute you mydia and thanx. For me it is flowing but najiona kama inaflow upande mmoja tu loh kuelekea kwangu sasa najihisi kupwaya loh
<br />
<br />
kwa iyo ndo ivo mama....!
kitu cha msingi kwenye ma-welock ni kuconcetrate zaidi na kujiuliza "how much am i giving?satisfactory?...am i a responsible wife/husband?....am i playing my role as a husband/wife?"...trust me.pasi na kuangalia upande pili utajua utajua mwelekeo
 
Mkuu kila kitu kinachofanyika sababu ya upendo ni kizuri na bila shaka kitaleta maendeleo…. Sasa basi ni vema kufanya kila kitu kulinda pendo/ndoa sababu bila upendo mtakapokuwa manaelekea siko kabisa…

Hivyo basi fanya kila uwezalo kulinda pendo/ndoa sababu hii ndio foundation na mengine yatakuwa mazuri tu..

Na jinsi ya kulinda pendo/ndoa ni kufanya yale yampendezayo mwenza wako na kufanya sacrifice za hapa na pale…, yaani ubaki kuwa yule mwenza wako aliyempenda na sio kubadilika na kuwa kituko….

“Love is the Act of endless Forgiveness” na kwa kusamehe na kuvumilia ndio tunalinda pendo ambalo litatulinda
Ahsante mkuu kwa kuongezea tu hata kwenye kitabu chetu cha dini kuna usemi shika sana ulicho nacho, asije muovu akakupokonya, sijui huku hakumaanisha kulinda au?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kwa iyo ndo ivo mama....!<br />
kitu cha msingi kwenye ma-welock ni kuconcetrate zaidi na kujiuliza &quot;how much am i giving?satisfactory?...am i a responsible wife/husband?....am i playing my role as a husband/wife?&quot;...trust me.pasi na kuangalia upande pili utajua utajua mwelekeo
Hommie usingizi umegoma?
 
Hommie usingizi umegoma?
<br />
<br />
umegoma bana....!kuna mama mmoja wa kizanzibari tupo nae hulu anatunywesha viloba na biya...!

nimemweleza bana nke angu ni memba wa jf lakin hata haelewi kitu!

mambo haya magumu sana
 
Lol AshaDii naona unanichongea kwa Babu sasa mwe maana kwa sasa mie si fav Mjukuu wake tena, nimeshindwa kutimiza wajibu ndo maana mapenzi yamehamia kwa Gaga.....angeweza kuni-unbaptize aninyang'anye jina la Mjukuu Mtiifu angelifanya hivyo mwe

Ngoja nianze kujaribu kutimiza wajibu labda ntalirudisha penzi la Babu!!
halafu nakuona tu MJ1, mie nalinda ile mbaya ila hajui kama namlinda, ye anajua tu nimeacha ya lead the wei
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
umegoma bana....!kuna mama mmoja wa kizanzibari tupo nae hulu anatunywesha viloba na biya...!<br />
<br />
nimemweleza bana nke angu ni memba wa jf lakin hata haelewi kitu!<br />
<br />
mambo haya magumu sana
Hahaha halafu mtu anatka kuleta mambo ya teritori! Kha
 
Back
Top Bottom