MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Punguza wivu shosti...sisi sote tu wajukuu wa Babu mmoja (ODM)....chako changu...changu changu mwenyewe.
Eti?? Chako chako mwenyewe?? loh Manda leo umeniacha hoi!! Haya bwana tutabanana hapo hapo kwa ODM siyo?
Yaani nikibadili tu na kusubiria ijiendeshe, looo itakula kwangu,nazungushi michongoma kabisa babu
Hebu mweleze naona Babu kaamua kuweka nta masikioni!