AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,117
Mkuu kila kitu kinachofanyika sababu ya upendo ni kizuri na bila shaka kitaleta maendeleo…. Sasa basi ni vema kufanya kila kitu kulinda pendo/ndoa sababu bila upendo mtakapokuwa manaelekea siko kabisa…
Hivyo basi fanya kila uwezalo kulinda pendo/ndoa sababu hii ndio foundation na mengine yatakuwa mazuri tu..
Na jinsi ya kulinda pendo/ndoa ni kufanya yale yampendezayo mwenza wako na kufanya sacrifice za hapa na pale…, yaani ubaki kuwa yule mwenza wako aliyempenda na sio kubadilika na kuwa kituko….
"Love is the Act of endless Forgiveness" na kwa kusamehe na kuvumilia ndio tunalinda pendo ambalo litatulinda
Great insight.... Qn. Do you think those spouses who fall out of LOVE should be blamed?? Kua wamefanya uzembe mpaka there is NO Love...