Mtikila amepatia sana kumwita huyu Kikwete muhuni na gaidi,na ndio jina analostahili...kuachia mabilioni ya BOT yanapotea huku wewe tumekuchagua usimamie nchi kuna uhuni zaidi ya huo,angalia mikataba ya kuuza nchi ambayo tumeipitia yote hapa kama Buzwagi na Richmond...hivi mnajua kwa vitu hivyo vitatu tuu tumepoteza pesa kiasi gani? ameshindwa hata kusimamia idara za serikali kama TRA ambazo zinaendeleza uhuni kwa wananchi? ni muhuni tuu na gaidi wa mali ya umma na hana maana kabisa sijui mnapulizia nini hapa wakati mnajifanya mna hasira za mikataba waliyotuingiza hawa wahuni...unafiki unafiki mpaka kiama na msahau maendeleo kaqma hamuoni huyu jamaa ni muhuni tena tapeli.