Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 30,262
- 54,666
Yes they can, because police ni raia , jeshi ni moja tu. Under extreme measures wanaweza hata kuwa disarm policeHii siwezi kuamini.
Kufanya hivyo ni nusu ya kufanya utawala wa kijeshi.
Kwa sheria zetu jeshi la wananchi hawawezi kumkamata na kumhoji askari polisi kwa makosa ya jinai.
Ita depend na level ya threat iliyopo nchini