mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,519
- 19,885
Hata kama alikuwa anauza haramu ndy ateswe Hadi kupelekea KIfo?Sawa alikua anajishughulisha na nini? Ili tuanzie hapo haiwezi kuja tu asachiwe, auliwe kama hakuna taarifa yoyote yaani wazee waje tu?
Haya basi mshamuua pesa zake zipo wapi?
Mtu kakutwa ana coins kibao lakini cash kubwa hazipo na police walimtesa hadi KIfo hawapo..
Huwa inasikitisha sana Mtu jambo hulijuwi chanzo unaanza kupayuka hovyo..
Huyo Mwana ni mpambanaji kama wewe ukiwa kwenye kigenge chako Cha bodaboda.