Ndugu zangu fungueni BBC swahili ya leo asubuhi msike mahojiano ya Salva Rweyemamu mimi nimeskikia leo asubuhi!
Kwa kweli kwa majibu yake juu ya nini serilaki ifanye kuhusu tuhuma yamenisikitisha sana! Kwanza sijui yeye ameongea kama Rais au la!
Maana ANASEMA SERKALI HAINA MUUDA WA KIJIBU TUHUMA ZA KIPUUZI ZISIZO NA UKWELI NA KWAMBA ZILISHAJIBIWA BUNGENI ETC!!
Watu kama hawa ambao wameweka maslahi yao binafsi mbele ni hatari sana wao kuwa washauri wa rais, wanaweza kulifikisha taifa hili pabaya kama ya huko Rwanda etc!
Mtaalamu anaweza kuifungua huku BBC leo kabla haijatolewa ili aiweke hapa mumsikie ndugu yetu!.
Mimi sisemi ni za kweli au uongo lakini yeye anasema ni za kipuuzi Je ameisha fanya utafiti?
JK watu kama akina Rweyemamu ni wa kuwa nao makini sana! japo ni rafiki yako.
Kwa kweli kwa majibu yake juu ya nini serilaki ifanye kuhusu tuhuma yamenisikitisha sana! Kwanza sijui yeye ameongea kama Rais au la!
Maana ANASEMA SERKALI HAINA MUUDA WA KIJIBU TUHUMA ZA KIPUUZI ZISIZO NA UKWELI NA KWAMBA ZILISHAJIBIWA BUNGENI ETC!!
Watu kama hawa ambao wameweka maslahi yao binafsi mbele ni hatari sana wao kuwa washauri wa rais, wanaweza kulifikisha taifa hili pabaya kama ya huko Rwanda etc!
Mtaalamu anaweza kuifungua huku BBC leo kabla haijatolewa ili aiweke hapa mumsikie ndugu yetu!.
Mimi sisemi ni za kweli au uongo lakini yeye anasema ni za kipuuzi Je ameisha fanya utafiti?
JK watu kama akina Rweyemamu ni wa kuwa nao makini sana! japo ni rafiki yako.