DuuhKuna jamaa yangu tangu kile kipindi walijifanya sijui mfumo umechanganyikiwa hela zikawa zinakatwa ovyo, mpaka Leo kakatwa zaidi ya 2M kaenda Kila tawi wanamzumgusha tu. Akiacha tu hela wanapita na kiasi kadhaa.
Usiwanyamazie,watimbie ukawaweke sawaMbwa hao.
Wizi umetamalaki.