Nakumbuka kuna mdada mmoja nafahamiana nae yupo mkoani, alipata changamoto moja hivi ,ambayo ilihitaji msaada wa fedha wa haraka na ilikuwa 30k.Nilimtumia saa tatu usiku anakuja kuipata sita usiku na si mara moja hii kutuma na hela na kuchelewa kufika, halafu ukiwapigia watu wa huduma kwa wateja wanakusubirisha kwa dk 15-20.