Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

Msitoe pesa CRDB ATM ya Royal Dodoma. Ni wezi

Sema wanaibaje ibaje sasa.

Je hela inatoka pungufu ama unapata pesa sawa huku wanapunguza ya kwenye Account?
Pesa inaingia bila kupewa notifications juzi nimetumiwa tsh 2750000 nimepata notifications,jana imetumwa pesa kama ya juzi 2750000 haijaja notification jamaa ananipigia simu anauliza umeona pesa,kuchek sim banking imeingia 2712000 na hapo nilijua kwa sababu nilikuwa nakumbuka salio lililobaki...namuliza mbona 2712000 jamaa na yeye anashangaa basi tukajua tayri Mangi wa CRDB kashafanya yake

Nambie huo muda wa kufatilia 38k utaupata wapi?kwa kifupi wanaiba vizuri tu wao wanajua mifumo wanavyoichezesha.

NMB sikumbuki kama nilishawah kuingizwa pesa halafu nisipewe notification.
 
CRDB ina watumishi wezi wa kalamu. Hawa watu huchepusha pesa za wateja kwa kutumia accounts zisizotumika sana kama zile za zamani zilizoanzishwa mfano Simaccounts. Badala ya kuzifunga kama hazitumiki zimebakia kuwa vichaka vya huchepusha na kuficha pesa za wateja wasioelewa sana taratibu za kibenki. Angry 😡
 
Naa

Naandika Kwa maandishi makubwa CRDB NI MAJAMBAZI WAKUBWA serikali iingilie kati wawajibishwe
Serikali yenyewe imeingia ubia na CRDB kupitia TAMISEMI eti kufadhiri miradi ya miundombinu, wakati hakuna kinachoendelea, barabara zote Dar zinageuka mito wakati kama huu wa mvua.
 
Zamani nilikuwaga nikisikia mtu anayo account ya Bank, huyo namuona kishatoboa maisha.
Kumbe sikujua huwa zinabaki mpk na 3000😁

Kuwa uyaone mwanangu
Oya sio powa kama hawa mawakala wanatusevu sana maana mtu unaweza kutoa hata chini ya buku teni.
 
Ukiwapigia simu watu wahuduma kwa wateja una dk zako kama ishirini za kusubiria, ndio wanapokea simu.Unasikia "....Swahiba langu ni lako.....swahiba langu ni lako........swahibaaaaa..... langu lako langu lako......".
Crdb hii bank inakufa kijinga Sana kwa kuendekeza tamaa
 
CRDB Hawajaanza leo wizi wa pesa za wateja wake.

Wateja wameshalalamika sana hata humu walileta mada kuhusu wizi wao
Binafsi mwaka jana waliniibia 58K
Pole ndugu Mteja
Tutakurudishia.
 
Back
Top Bottom