Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,801
- 71,228
Hawa watumishi wanaongozwa na vyama vyao, sasa waalimu ni CWT hii ambayo kila siku viongozi wake wanateuliwa kuwa ma DCKwani mkikataa kuchangia watawafanya nini? Huu ni upumbaf
Hawa watumishi wanaongozwa na vyama vyao, sasa waalimu ni CWT hii ambayo kila siku viongozi wake wanateuliwa kuwa ma DCKwani mkikataa kuchangia watawafanya nini? Huu ni upumbaf
Kabisa....huo ni uchawi wa kutupumbaza na kutugeuza makondoo.Tukisema mtu mweusi hana tofauti na nyani, ninakosea? Wanaoamrishwa na wanaomrisha huo ushenzi wote ni manyani.
Mwenge wa uhuru ni mauchawi, taifa la mazindiko na mauchawi.
"Usipojipanga utateswa na CCM wewe na kizazi chako kijacho..." Wazalendo 12 mstari wa 3. Mwingine aendelee na mstari unaofuata.
Mbio za mwenge zimeanza tenaaa, nakumbuka mwaka fulani nikiwa mikoa ya kusini, tulipanga lodge moja hivi kwa siku 10, zimebaki siku 3 tukaambiwa tunatakiwa tukatafte malazi sehemu nyingine ili kupisha wageni wa mbio za mwengeee, wakishapita ndo turudi kuendelea kukaa
Tafadhari sana Kiongozi kwa heshima ya kutosha nikupayo naomba uwaombe radhi walimu wate wa Tanzania kwa kauli yako hapo juu. binafsi naona umepitiliza sana katika uhuru wako wa kutoa maoni kikatiba lakini pia unajinasibu vipi wewe ni msomi na mwerevu katika mambo mengi kama unamdharau Mwalimu wako aliekufundisha mpaka kufika hapa?Walimu wa hii nchi ni wajinga saana
Kwani huo mwenge hauna bajeti serikalini? Kwa nini walazimishwe walimu kuchangia mwenge kutokana na fedha zao binafsi.Yaani mishahara yenu midogo, mapunjo na maslahi mengine kulipwa ni mbinde, matibabu mnayopaswa kugharamiwa ni
Ualimu ni kaliba ya juu yenye hadhi na heshima yake lakini kwa Tanzania na pengine Africa wanasiasa wameinyonga kifo cha mateso sanaYaani mishahara yenu midogo, mapunjo na maslahi mengine kulipwa ni mbinde, matibabu mnayopaswa kugharamiwa ni kama fadhila lakini bado mnachangishwa kwa nguvu kutoka katika mishahara yenu kugharimia mbio za Mwenge kama kwamba nyie ndio mlioziomba zifanyike.