Msikiti wa posta na ubaguzi??

Aisee mkuu!!!! Ebu endelea kuddaavua,tupe point nyingine
 
Maana ya hayo maneno ya kiarabu ni nin
 
Utaje huo msikiti, nikiujua nitaenda Ku volunteer kuzuia vibaka wanaoenda misikitini kuiba matalawanda na makubasi
Hicho kiatu kivueeeeee!!!! Wengine wanasema kiatu ni madhambi wengine wanasema ni kiatu halisi cha mguuni,hata twendeeee!!!
 
Aisee kumbeeee!!!!! Waislam takbir!!!!!!!
 
Acha Uongo, hata kama uislam hauruhusu Ubaguzi, Waarabu wanawabagua Wabantu hata katika Ibada.

OVA

thibitisha unayosema, pia fafanua wanabaguliwa vipi wabantu, kwenye safu, kwenye vyoo, ama kupewa nafasi ya kuongoza?
Miskiti karibu yote yenye waarabu wengi utakua Imamu ni mbantu kama ulivyowaita.
 
Hizi dini hiziiii!!!!!
 
HUO MSIKITI UPO JILANI NA LILIPODONDOKA LILE GHOROFA...NAZANI NI MTAA WA IDRAGANDI;
ULE MSIKITI KWAKWELI WANAOSALI NI WEUPE TU; NA WALIUJENGA SPECIAL KWA AJILI YAO! RANGI NYEUSI NI MARUFUKU! NAUJUWA
Huo mskiti ni wa dhehebu la shia ithnasharia, waislam wote wanaswali pale bila ubaguzi wowote, na mara nyingi swala pali msikiti huongozwa na sheikh mswahili anaitwa sheikh Lalalakama hujui kitu ni vizuri uulize kwanza kabla ya kupotosha ukweli.
 
Reactions: bbc

Allah ameweka mifumo na taratibu si kila kitu kiwe bila mfumo ndio maana kwa muono wa kibinadam ni inefficiency.
mfano wa uumbaji unasema wewe ndio uumbaji wa hereafter yaani huko akhera kutakua na kutokupata haja(waste) mkojo mavi jasho., pia hakuna mwisho, hakuna njaa unakula sio kwa ajili ya kuondoa njaa bali kwa starehe tu.
sasa wewe ulitaka mfumo wa akhera uwe sasa si wakati wake.
 
mkuu bila Shaka wewe unawalenga waumini wa dhehebu la BOHORAD SHIA, ambae wafuasi wake ni wahindi, na hao jamaa kwa utaratibu wao, hawaruhusu kwenye misikiti yao waingie waumini wa sio BOHORAD (madhehebu mengine ya kiislam) na hilo kwa sheria za imani na za tz, inakubalika
Kwa hiyo wajavunja sheria
 

Kashaumba ulimwengu huo, lakini kau reserve kwa maisha yajayo hereafter.
 
hata ukienda misikiti ya wasomali mambo ni hayo hayo,
 
Kule mbagala kuna msikiti wa wamwera kutoka Lindi,mtu wa kabila lingine uruhusiwi kuswali pale.
 
hata ukienda misikiti ya wasomali mambo ni hayo hayo,


Kwanza hakuna msikiti wa wasomali tanzania hii
Wewe una chuki zako tu

Pia mleta mada amedadavuliwa vizuri huo msikiti ni wa kibohora .mabohora hawaruhusu jamii zingine
Na hilo sio haki katika uisilamu la kubaguaana

Ila una govi mzee huruhusiwi
Una
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…