Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,056
mtoa mada mbona kma unanchanganya topic yako inaonyesha kama unauliza swali vile, then mistari mitatau ya mwanzo hakukua na haja ya kuweka kiulizo??
any way misikiti mingi ya posta waumini wao wengi ni wahindi, na jamii ya watabu na wengi wao hutumia au huabudu tofauti na jamii ya kitanzania au huwa na madhehebu yao au mashia kwa hiyo vile wanavyoswali wao ni tofauti na Sie hapo ndo unaona kama wanakunagua mkui
any way misikiti mingi ya posta waumini wao wengi ni wahindi, na jamii ya watabu na wengi wao hutumia au huabudu tofauti na jamii ya kitanzania au huwa na madhehebu yao au mashia kwa hiyo vile wanavyoswali wao ni tofauti na Sie hapo ndo unaona kama wanakunagua mkui