Uislamu hauruhusu kufanya "reservation" ya mstari wa kusimana katika ibada.
Huku Asia, Waislamu wa kike wanafanya ibada na full make up, kama wanakwenda harusini.
Nilipowauliza, wakajibu, kama unakwenda kuonana na Mola wako, lazima upendeze saa zote.
Huko Afrika, kutumia manukato/ perfume ni mwiko kwa wengi. Vinuka Vikwapa vinakata stimu ya kusali kwa kweli.
Sababu moja naswali msikiti wa Kishiia badala wa Kisunni ni kuwa kuna vinuka vikwapa wachache sana katika msikiti wa Kishiia.
Labda hao jamaa hawataki kusali na vinuka vikwapa, japo hairuhusiwi kidini kubagua.