Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,410
- 82,323
JihadSasa utakua umeenda kuswali au kutafta shari
JihadSasa utakua umeenda kuswali au kutafta shari
Nimewahi kuyaona upanga hayo...nilitafakari sana kaka.Mtoa mada mchochezi. Njoo huku nikuinyeshe mabasi ya njano, yameandikwa: INDIAN SCHOOL.
Hakuna ushia wa kihindi na wa kiafrika,in that case hakuna msikiti wa kihindi na wa kiafrika ,ndiyo maana ukenda msikiti wowote wa shia utaona watu mchanganyiko wakiswali,hata masunni pia wanaswali humo ingawa kuna baadhi ya watu wanajishtukiaHuu ni Msikiti wa Shia Ithinasharia katika Itikadi hii waswahili huwezi waoma wengi kutokana kuwepo kwa tofauti ya mapokeo. Waswahili ni wachache na wengi wao husalia kwenye Msikiti wao uliopo kule Kigogo.
Sina ujuzi na bohora,lakini kwa misikiti ya shia hakuna kitu kama hicho,I'm talking out of experienceInawezekana maana uwezekano wa kubaguliwa katika misikiti yetu ya kawaida hakuna
Huyo aliingia bohora ama Shia
Ukisikia kizunguzungu kama unazungukazunguka.kaneno kengine kenye utata ni kizunguzungu, kwanini isiwe kiafrikaafrika?![]()
![]()
![]()
Kiranga mmmmhhhhhhMisikiti yote ina ubaguzi.
Inabagua wasiotaka kuvua viatu mlangoni.
Sema jingine.



Ni kweli mkuu, misikiti kama hii mbona ipo mingi tu nchini??? Ni hali ya kawaida........HUO MSIKITI UPO JILANI NA LILIPODONDOKA LILE GHOROFA...NAZANI NI MTAA WA IDRAGANDI;
ULE MSIKITI KWAKWELI WANAOSALI NI WEUPE TU; NA WALIUJENGA SPECIAL KWA AJILI YAO! RANGI NYEUSI NI MARUFUKU! NAUJUWA
Kiranga at his best.............. Amepata exposure kubwa hadi kuwa exposed. Napenda msimamo wako kijana wa zamani wa YESUMimi Muafrika. "Kustaarabika" ni kuwa muarabu. Mzizi wa "ku sta arab ika ni kutaka kuwa muarabu.
Sitaki utumwa wa akili wa kutaka kuwa muarabu.
Ndiyo maana hata hizi habari za kuingia msikitini na kusujudu kwa waarabu sizitaki.
Kwa nini nitake kuwa muarabu wakati mimi Muafrika?
Sina ujuzi na bohora,lakini kwa misikiti ya shia hakuna kitu kama hicho,I'm talking out of experience
kwanini iwe ku-zungu-ka na sio ku-afrika-ka?Ukisikia kizunguzungu kama unazungukazunguka.
Msikiti wa Manyema kuna mtu aliwahi kurusha ngumi pale, kuna watu wa familia flani weupe walishajiwekea kuwa swafu ya mbele ni ya kwao, so wewe kanjangaz ukifika pale unatakiwa ukae ya pili hata kama ya kwanza haijajaa...Weka jina la msikiti nikajaribu...nione huyo atakayenizuia,patachimbika.
Uislamu hauna ubaguzi but kuna watu ndani ya uislamu wanabagua wenzao misikitini. Mwenyewe nina ushahidi.mnafiki mkubwa uislamu hauna ubaguzi kama wengine hata leo nikienda china nitaswali acha wehu wako
We ndiyo mwenye kuokoteza vitu hewani. Kuvua kwa viatu msikitini kuna mahusiano gani na ubaguzi?Hujaeleza umelitoa wapi la kanisani.
Unaokoteza vitu hewani.
Yote nina haki ya kuswali tatizo Huduma wanatoa kibaguzi, hawasemi bali matendo tuKuna misikiti ya Sunni, Ibadhi, Shia ....,, ya Bohora, Ismailia, Ithnaasheri, Kokny..... Ni upi hasa uliotaka kwenda?
Au ulitaka ukasali tu hata kama siyo madhehebu yako?
sasa we unashabikia ubaguziUanabaguliwa ndiyo..sasa ulitaka iwaje? Kwani itakuwa ni Mara ya kwanza kubaguliwa?? Ndo maana kuna wazungu,waarabu,waafrika wahindi nk. Similar birds flock together bwana...ulitaka uwe kenge kwny msafara wa mamba? Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba mkuu.. Kwani ukiswali msikiti mwingingine kwani kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi kaka. Hata watoto hucheza na wenzao wanaoendana! Unalalamika kubaguliwa nchini kwako? Ubaguzi ulikuwepo tangu enzi za akina Said Balaghash itakuwa leo?