Hujajibu maswali yaliyoulizwa.Kashaumba ulimwengu huo, lakini kau reserve kwa maisha yajayo hereafter.
Thibitisha kwamba yupo kwanza.Allah hashindwi na chochote, ila ameumba Dunia akaweka taratibu na mifumo ili maisha yawe rahisi na salama, angefanya hewa ya msikiti iwe inasafisha viatu automatically, hiyo ingeleta fujo la watu kujazana msikitini kwenda kuoshewa viatu automatically badala ya wenye imani kwenda kuswali.
Waswahili bana! KHOJA ni dhehebu?Huo utakuwA msikiti wa wahindi wenye medhehebu ya SHIA, kama BOHORA , KHOJA na IthinaAsheria
Hujajibu maswali yaliyoulizwa.
Hujathibitisha Mungu yupo, hutakiwi kusema kafanya hili au lile kabla hujathibitisha yupo.
Thibitisha kwamba yupo kwanza.
Jumuia ya MABOHORA, kutokana wao misikiti yao ndio Sehemu ya kuhifadhia vitu vao va thamani, mimi naona sababu ya kutoruhusu waumini wengine kusali kwenye misikiti yao, ni hofu ya kuogopa vibaka na wezi kujichanganya na kuwaibia kama ibavotokea kwenye misikiti mingine![]()
![]()
![]()
![]()
Hata hilo swali hujalijibu.usibadilishe mada hapa, umeleta hoja kwamba kama anauwezo wa kufanya yote je, kwanini hajafanya Dunia isiyo na inefficiency, sasa kama unataka uthibisho wa uwepo ungeuliza mwanzo sio hoja juu ya hoja.
bohrA au ?Nenda pale Jirani na Hosp ya Bulhan Samora str kuna msikiti ujaribu kuingia uone....
bohrA au ?Nenda pale Jirani na Hosp ya Bulhan Samora str kuna msikiti ujaribu kuingia uone....
Hata hilo swali hujalijibu.
Kama ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini hakuumba ulimwengu ambao hauna inefficiency?
Kagera watu 23 wameuawa kwa tetemeko, kwa nini kaumba ulimwengu ambao unaruhusu matetemeko wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauna matetemeko?
Matetemeko mengine yamepiga Italy, baada ya yale ya August. Kwa nini Mungu huyu mnayemsema mwema sana kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea?
Kimbunga kimepiga Haiti, watu 900 wamefariki, kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao unaruhusu majanga haya wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu majanga haya kutokea?
Hujajibu swali hili.
Sijauliza kuhusu ulimwengu wa kufikirika ambao hata hauwezi kuthibitishwa kwamba upo.
Nimeuliza kuhusu huu tunaouona na kuujua. Naomba unijibu kuhusu ulimwengu huu, si wa kufikirika.
Hujajibu maswali niliyokuuliza.Wewe ndio unataka Dunia isiyo na inefficiency kwa sababu za kibinadam yeye hahitaji chochote kwetu, yeye ameumba na akaweka taratibu za maisha za kufutwa na viumbe vyake na utashi wake Dunia iende kwa utaratibu na mfumo ila akaumba na Akhera ambayo hiyo hali ya kutokuwepo kasoro iko huko, hakuna kufa wala kwenda choo wala kuchoka wala kasoro zozozte. hivyo si utaratibu wa Dunia kuwa unavyotaka wewe. huo unaotaka wewe ni utaratibu alioupanga kwa ajili ya akhera
Sidhani kama wanaweza kubaguana ingawaji mi ni mkiristoKuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?
Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!
Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .
Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua
Aisee endelea kueleza mkuuHata hilo swali hujalijibu.
Kama ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini hakuumba ulimwengu ambao hauna inefficiency?
Kagera watu 23 wameuawa kwa tetemeko, kwa nini kaumba ulimwengu ambao unaruhusu matetemeko wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauna matetemeko?
Matetemeko mengine yamepiga Italy, baada ya yale ya August. Kwa nini Mungu huyu mnayemsema mwema sana kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea?
Kimbunga kimepiga Haiti, watu 900 wamefariki, kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao unaruhusu majanga haya wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauruhusu majanga haya kutokea?
Hujajibu swali hili.
Sijauliza kuhusu ulimwengu wa kufikirika ambao hata hauwezi kuthibitishwa kwamba upo.
Nimeuliza kuhusu huu tunaouona na kuujua. Naomba unijibu kuhusu ulimwengu huu, si wa kufikirika.
Kuna watoto wadogo mabilioni wamefariki wakiwa wadogo sana, kwa sababu wakunga hawakujua kwamba wanatakiwa kuosha mikono.Aisee endelea kueleza mkuu