Msikiti wa posta na ubaguzi??

Msikiti wa posta na ubaguzi??

We ndiyo mwenye kuokoteza vitu hewani. Kuvua kwa viatu msikitini kuna mahusiano gani na ubaguzi?

Kila sehemu kuna utaratibu wake,hata ofisini kuna taratibu zake. Sasa wewe unataka utaratibu wa sehemu nyengine ndiyo utumike pahala pengine.

We kama ulizoe utaratibu wa kuingia na viatu kanisani basi usitake kufanya na sehemu zengine kuwe na utaratibu huo huo.
Huwezi kulalamika kubaguliwa katikadini ambayo imejengwa katika msingi wa kuwabagua watu wengine kwamba hawamjui Mungu na watu wa dini hiyo tu ndio wanamjua Mungu.

Msingi wa dini hii ni ubaguzi.

Utalalamika vipi kwamba dini ina ubaguzi wakati msingi wake ni ubaguzi?

Ina maana kila siku hujui kwamba ukisema tu "la ilaha illallah muhammadur rasulullah" ushakuwa mbaguzi umewabagua ma Buddhist na Wakristo na Wayahudi kwamba wanaabudu uongo?

Such hypocrisy!
 
Logical consistence inakujaje? usichoelewa ni kuwa having power to do smething hailazimishi kufanya kitu hicho. kuna several reasons behind doing or not doing s.thing, is not just a matter of power. uwe unaleta facts sio fallacies, sawa?
Sasa kama having power to do something does not force god to do that something, kwa nini kawa na power ya ku allow evil iwezekane halafu akaiachia iwezekane wakati hakuwa forced kuachia evil iwezekane?

Mungu mwenye uwezo wa kusafisha viatu vyote, mwenye upendo wa kusafisha viatu vyote, mwenye ujuzi wa kusafisha viatu vyote, kwa nini asisafishe viatu vyote?

Hujajibu swali hili.
 
Sasa kumbe kuna UBAGUZI namna hiyo?

Msikitini mnaponya roho za watu au Dushe zao, mpk muwaexclude wenye magovi?
Tunafuata mila ya Nabii Ibrahim, walio amini wote wanapswa kukata magovi ! ndio maana Wayahudi ni tofauti na Wakiristo !
 
Huwezi kulalamika kubaguliwa katikadini ambayo imejengwa katika msingi wa kuwabagua watu wengine kwamba hawamjui Mungu na watu wa dini hiyo tu ndio wanamjua Mungu.

Msingi wa dini hii ni ubaguzi.

Utalalamika vipi kwamba dini ina ubaguzi wakati msingi wake ni ubaguzi?

Ina maana kila siku hujui kwamba ukisema tu "la ilaha illallah muhammadur rasulullah" ushakuwa mbaguzi umewabagua ma Buddhist na Wakristo na Wayahudi kwamba wanaabudu uongo?

Such hypocrisy!
Hiyo ndiyo hasara ya kujiona unajua saana mwishoni unavamia mambo hata usiyoyajua na kujitia aibu.

Ishia kubishana na yale mambo yako uliyoyakariri kinyume na hivyo ni mtupu sana Kiranga.
 
Aaah wewe bhana ushashiba hivyo! Sasa ndio nn hivyo!! Sema msikiti ulipo, unaitwaje, ili tujue!!
 
Huwezi kulalamika kubaguliwa katikadini ambayo imejengwa katika msingi wa kuwabagua watu wengine kwamba hawamjui Mungu na watu wa dini hiyo tu ndio wanamjua Mungu.

Msingi wa dini hii ni ubaguzi.

Utalalamika vipi kwamba dini ina ubaguzi wakati msingi wake ni ubaguzi?

Ina maana kila siku hujui kwamba ukisema tu "la ilaha illallah muhammadur rasulullah" ushakuwa mbaguzi umewabagua ma Buddhist na Wakristo na Wayahudi kwamba wanaabudu uongo?

Such hypocrisy!
Huyu Kiranga anajua ukweli ........basi tu ujeuri, siku moja afunge mkojo wiki nzima ndo atajua Mungu yupo au ni stori !
 
Sasa kumbe kuna UBAGUZI namna hiyo?

Msikitini mnaponya roho za watu au Dushe zao, mpk muwaexclude wenye magovi?
Tunafuata mila ya Nabii Ibrahim, walio amini wote wanapswa kukata magovi ! ndio maana Wayahudi ni tofauti na Wakiristo !
 
Hahaha...wewe ni Mbantu tu mbele ya waarabu na dini yao
Waarabu hawana Dini yao kwa maana ya Uislaam, ndio maana hauitwi Ukiristo kuwakilisha jina la mtu, au Uyahudi kuwakilisha kabila. Kuna mtu mweusi akiitwa Bilal ambaye alitangaza Uislaam bega kwa bega na Mtume Muhammad Saw. Azarel
 
Kama ni ule pale karibu na ile hotel wamechoshwa na wizi wa watu weusi(Watanzania).
Niliwahi kuwa mitaa ya Mkwepu na nilishuhudia mara nyingi wakipitishwa watu weusi ambao walikuwa wakiingia kwenye saa za ibada na kuiba simu(kipindi kile ilikuwa Blackberry).
Ni wizi tu ndio umewaponza watu weusi, wanashindwa kutofautisha nani mwizi nani si mwizi.
 
Kuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?

Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!

Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .

Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua

Kama ni ule pale karibu na ile hotel wamechoshwa na wizi wa watu weusi(Watanzania).
Niliwahi kuwa mitaa ya Mkwepu na nilishuhudia mara nyingi wakipitishwa watu weusi ambao walikuwa wakiingia kwenye saa za ibada na kuiba simu(kipindi kile ilikuwa Blackberry).
Ni wizi tu ndio umewaponza watu weusi, wanashindwa kutofautisha nani mwizi nani si mwizi.
 
Tatizo wengine wanaenda na ndala za 500 unatoka na sandals za 5000
 
Hiyo ndiyo hasara ya kujiona unajua saana mwishoni unavamia mambo hata usiyoyajua na kujitia aibu.

Ishia kubishana na yale mambo yako uliyoyakariri kinyume na hivyo ni mtupu sana Kiranga.
Wewe ambaye hujaonesha sijui nini una hatari ya kuwa hujui ninachojua mimi wala unachojua wewe.
 
Huyu Kiranga anajua ukweli ........basi tu ujeuri, siku moja afunge mkojo wiki nzima ndo atajua Mungu yupo au ni stori !
That is a logical non sequitur.

Mimi kuwa na kitu kama mkojo tu ni ushahidi kwamba Mungu hayupo.

Mkojo ni waste product. Waste product ni sehemu ya an inefficient system.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote awaumbe watu kwa mfumo ambao upo inefficient na una produce waste poduct wakati alikuwa na uwezo wa kuumba watu ambao wana mfumo ambao ni 100% efficient na hautoi waste product?

Unaweza kujibu swali hili?
 
Vyombo vinavyohusika vifuatilie suala hili. Ni upuuzi ndani ya nchi yetu wenyewe kuwepo kwa mambo kama haya.otherwise uwepo ufafanuzi unaoeleweka. Wahindi na watu wa jamii kama hiyo wanafahamika kwa kuwa na kasumba kaliya ubaguzi wa rangi.lichunguzwe suala hilo vizuri ukweli ujulikane.
 
Una matatizo ya kisaikolojia.
Wataalamu wa Saikolojia wanasema kwamba dalili moja kubwa ya watu wenye matatizo ya kisaikolojia ni wao kuona wengine wana matatizo ya kisaikolojia.

Psychological projection is a theory in psychology in which humans defend themselves against their own unconscious impulses or qualities (both positive and negative) by denying their existence in themselves while attributing them to others.

Psychological projection - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Back
Top Bottom