SPYMATE
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 2,256
- 2,196
Misikiti ya Anjuman e saifee (Dawoodi Bohra) mfano Hakimi Mosque uliopo upanga karibu na Olympio school na Ile ya Khoja Shia ndio Mswahili hatii pua kwenye ibada zao.......Inawezekana maana uwezekano wa kubaguliwa katika misikiti yetu ya kawaida hakuna
Huyo aliingia bohora ama Shia
Ukiona mmatumbi huko basi ni mlinzi tu