kaoneka kaone
Member
- Oct 18, 2016
- 9
- 3
Sio kweli mm nimeingia kfanya ibada takriban misikit yote ya posta sijaona msikiti unaombagua mtu kwa rangi yake kwani itikadi ya uisilamu ni kuwa muislam ndugu yake ni muislamu bila kujali rangi ama kabila.
Wapi nimeng'ang'ania kwa nini Mungu asiumbe dunia isiyo na efficiency?
Hivi unaelewa hata ninachoandika?
Wewe hujui hata tofauti ya efficiency na inefficiency.swali hili umeliuliza kwa zaidi ya post tatu "Kama ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini hakuumba ulimwengu ambao hauna inefficiency?"
sasa ndio ujuwe kwamba haya ndio maisha aliyoumbia dunia,
na huo ulimwengu ambao hauna inefficiency ni ulimwengu wa Peponi(Firdaus)
Wewe unataka nijibu vipi, kwa kuwa umeuliza ambacho huna uhakika nacho na jibu utakalolipata vile vile utakuwa huna uhakika naloHujajibu ulichoulizwa, unataja usicho na uhakika nacho.
Wewe hujui hata tofauti ya efficiency na inefficiency.
Unachanganya mawili haya ambayo ni tofauti.
Sina confidence kwamba una uwezo wa kujadili uwepo wa Mungu kwa mantiki inayotakiwa.
Kwa mfano wako huo unaweza kusema Mungu hayupo ukimaanisha yupo, au kusema yupo ukimaanisha hayupo.
Kutotumia neno efficiency hakumaanishi kwamba huwezi kuchanganya efficiency na inefficiency.Hongera hivi unajiona wewe ni wa kunifundisha mimi kiingereza? kwanza neno "efficiency" sijalitumia popote kwenye post zangu.
Wewe hujui hata tofauti ya efficiency na inefficiency.
Unachanganya mawili haya ambayo ni tofauti.
Sina confidence kwamba una uwezo wa kujadili uwepo wa Mungu kwa mantiki inayotakiwa.
Kwa mfano wako huo unaweza kusema Mungu hayupo ukimaanisha yupo, au kusema yupo ukimaanisha hayupo.
Kutotumia neno efficiency hakumaanishi kwamba huwezi kuchanganya efficiency na inefficiency.
Kwa sababu unaweza kutumia neno inefficiency sehemu ulipotakiwa kutumia neno efficiency.
Zaidi ya Kiingereza, una tatizo la logic.
Tatizo hilo ni baya zaidi kwa sababu limejikita katika namna unavyofikiri katika lugha yoyote ile.
Kabla ya kusema Allah kafanya hivi na vile, unaweza kuthibitisha yupo?Wewe umeweka hoja kwamba kama yupo na Kama ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini hakuumba ulimwengu ambao hauna inefficiency?
nikakujibu kwamba kwa Allah kutokuumba Dunia isiyo na inefficiency haimaanishi kwamba hawezi na hayupo nikakupa na mifano.
matokeo yake umeanza kuja na maneno ya kejeli ati "Sina confidence kwamba una uwezo wa kujadili uwepo wa Mungu kwa mantiki inayotakiwa." wewe unapinga bila kujielewa unapinga nini.
aliteleta huu uzi ni mbumbumbuSio kweli mm nimeingia kfanya ibada takriban misikit yote ya posta sijaona msikiti unaombagua mtu kwa rangi yake kwani itikadi ya uisilamu ni kuwa muislam ndugu yake ni muislamu bila kujali rangi ama kabila.
Wewe umeshindwa hata kurudia nilichoandika.Yaelekea hujaweza kupambanua " negation of a negative statement"
Kupambanua utakuweza wapi wewe unayeamini Mungu mwenye contradiction?Yaelekea hujaweza kupambanua " negation of a negative statement"
Kabla ya kusema Allah kafanya hivi na vile, unaweza kuthibitisha yupo?
Kwa nini mtu yeyote mwenye akili zake timamu aamini kwamba huyo Allah yupo kweli na si hadithi za uongo tu?
Wewe umeshindwa hata kurudia nilichoandika.
Nitakuwaje na confidence kwamba unanielewa na una uwezo wa kupambanua mantiki katika maandishi yangu?
Mungu wako umemthibitisha zaidi ya maneno matupu?maneno matupu pasina ithbati.
Mungu wako umemthibitisha zaidi ya maneno matupu
Ni Khoja Shia Ithinasharia ndio ni Indian tupu, Shia Ithinasharia ndio kuna wamatumbiHuu ni Msikiti wa Shia Ithinasharia katika Itikadi hii waswahili huwezi waoma wengi kutokana kuwepo kwa tofauti ya mapokeo. Waswahili ni wachache na wengi wao husalia kwenye Msikiti wao uliopo kule Kigogo.