kinjaanjaa
Member
- Mar 28, 2014
- 36
- 6
Kuoga si muhimu sana ila kula chakula ni lazima
Teh teh..Demu mchumi huyo..Anapunguza gharama zisizo za lazima..
Tatizo ccm
Unamaanisha na weye mchafukuoga???:wink:Halafu hata mimi naona hii tabia inaniandama
Ushauri mzuri sana huuKamchunguze shemeji kama mbunye ni safi au la...alafu ufanye maamuzi
Unamaanisha na weye mchafukuoga???:wink:
umeshatugawa wana jf, sisi wazanzibar haujatujumuisha kwenye salamu! ni watanganyika tu. duuu