Msichana wa mshikaji wangu hapendi kuoga

Msichana wa mshikaji wangu hapendi kuoga

umeshatugawa wana jf, sisi wazanzibar haujatujumuisha kwenye salamu! ni watanganyika tu. duuu

kwa hyo mkuu,ulitaka nisalimiaje na wkt me ni mtanganyika kwa asili na kuzaliwa?na wakenya au waganda nao walalamike kwa hyo
 
tang'ana na "mshikaji" wako na "msichana wake" wote ni "wapumbavu"
 
Last edited by a moderator:
Kuna zile sabuni huwa zinauzwa kwenye mabasi ya mikoani (Hasa kwenda Mwanza) huwa wanasema zinaongeza hamu ya kuoga amtafutie hiyo 😁
 
akamwogeshe au na yeye anaogopa kwenda kuoga nae tena na kumsafisha amsafishe
 
Hapa Kidogo Umenichanganya Umesema Mrembo Tena Haogi Huyo Anakuaje Mrembo Gani Huyo Asie Oga? Au Hakuoga Siku Moja Tu?
 
Back
Top Bottom