Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,199
- 855
Dah. Basi sawa
Nimekumisijee..japo umenisusa bado nakupenda eksi kidumu wangu. Uoge, usioge mie sawa tuu!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Dah. Basi sawa
Halafu hata mimi naona hii tabia inaniandama
jamaa yako ameamua kwenda kukutangaza wanaomba ushuri hadi jf badilika uwe unaoga hata mara mbili kwa wikiHalafu hata mimi naona hii tabia inaniandama
Ebana amani ya bwana iwe nanyi wote watanganyika wenzangu!Kuna mshikaji wangu kaniomba ushauri,anasema mpenzi wake hapendi kuoga,yani suala la mpenzi wake kuoga ni mpaka wagombane,jamaa anasema anahisi kumchoka huyu manzi kwa hzo tabia zake.
Sasa kesi imeletwa mezani kwangu nikiwa kama rafiki wa hyo couple ili niweze kumshauri huyu mshkaji wangu,na kwa kweli huyo manzi mwenyewe asieoga ukimuona ni mrembo wa haja kabisa kwa nje ila ndo hivo anaweza akamdanganya mshkaji kuwa anaenda kuoga ila akifka bafuni anapiga pasport size,kwa kweli hii kesi nimeona nisikurupuke kutoa ushauri maana naweza nikawa bias,so nimeona niilete kwenu wakubwa ili tushauriane cha kumwambia mwanaume mwenzetu.
Asanteni sana.
Halafu hata mimi naona hii tabia inaniandama
Mwambie amvizie akiwa amesinzia amwogeshe amsugue na stell waya