Magurudumu
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,748
- 493
Mbona mademu wengi siku izi kutooga ndio zao? Na pichu pia wengi wao hawavai.
Khaa!! Umenivunja moyo
Wewe! I hope you are joking!
Mwambie amvizie akiwa amesinzia amwogeshe amsugue na stell waya
True wanaogopa nywele za maiti na kope na kucha bandia zisilowewasichana wengi hawapendi kuoga
Ha haa serious... Yani ikifika ile asubuhi naanza kufikiria kuoga lisaa lizima mpaka natamani kughairi ati
Nimekumisijee..japo umenisusa bado nakupenda eksi kidumu wangu. Uoge, usioge mie sawa tuu!!:glasses-nerdy::glasses-nerdy: