Mheshimiwa na shujaa wetu, Hon Dr. Harrison Mwakyembe amefiwa na mpendwa Mama yake mzazi, kwa mujibu wa mtangazo ya vifo ya Radio Free Afrika monitored here in Mbeya this morning
Mpendwa marehemu mama huyu atazikwa huko Kyela siku ya Jumatano
POLE SANA DR. MWAKYEMBE, MUNGU AKUTIE NGUVU!
Mpendwa marehemu mama huyu atazikwa huko Kyela siku ya Jumatano
POLE SANA DR. MWAKYEMBE, MUNGU AKUTIE NGUVU!